Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba laini sana kwa Mtibwa

Nahodha wa zamani na Taifa Stars,Mecky Mexime ambae kwa sasa anakiongoza kikosi cha Mtibwa Sugar.
Simba imejikuta ikifunzwa soka na Mtibwa Sugar baada ya jana kukubali kichapo cha mabao 4-2 katika mchezo wa kirafiki uliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam uliopo Chamazi jijini Dar es Salaam, hiyo ikiwa ni mechi ya kwanza kwa Kikosi A cha Simba kucheza kwenye uwanja huo tangu ujengwe miaka minne iliyopita.

Wenyeji Simba walifungua mlango wa mabao dakika 23 kiungo Said Ndemla alipokifungia Kikosi cha...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mtunisia: Nyota Yanga laini sana

Dar es Salaam. Beki wa kati wa Etoile du Sahel, Bedoui Rami amesema tatizo kubwa la Yanga ni wachezaji wake kuwa legelege, hawana nguvu na kwa staili hiyo hawawezi kupiga hatua kwenye soka la kimataifa.

 

10 years ago

TheCitizen

Simba held, Yanga take on Mtibwa

 Mainland giants Simba and Azam FC dropped two points each in their respective Premier League matches yesterday.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtibwa yazishukia Simba, Yanga

Klabu ya Mtibwa Sugar imedai kuwa soka la Tanzania linauliwa na timu za Simba na Yanga kutokana na kitendo cha timu hizo kukumbatia wachezaji kutoka nje ya nchi ambao wamekuwa hawana msaada.

 

10 years ago

Mwananchi

Simba yatakata, Mtibwa majanga

Simba imewafuta machozi mashabiki wake baada ya kuichapa Kagera Sugar mabao 2-1, wakati Stand United ikishinda bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar katika michezo hiyo miwili ya kiporo iliyochezwa jana kwenye Uwanja wa Kambarage, Shinyanga.

 

9 years ago

Habarileo

Simba, Mtibwa zamtisha Wawa

BEKI mahiri wa timu ya soka ya Azam, Pascal Wawa, amesema kuimarika kwa timu za Simba na Mtibwa Sugar kumeongeza ukali wa mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.

 

10 years ago

TheCitizen

Simba, Mtibwa eye final

Mainland representatives at the Mapinduzi Cup, Simba SC and Mtibwa Sugar, are in action today, seeking to qualify for the final.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba, Mtibwa ngoma inogile

>Simba leo inaanza kibarua kigumu cha kutafuta pointi 12 katika mechi zake tatu za nje ya Dar es Salaam itakapovaana Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

 

11 years ago

GPL

Yanga, Simba zamwania kipa Mtibwa

Kipa wa Mtibwa Sugar, Hussein Shariff ‘Casillas’. Na Hans Mloli
SIMBA na Yanga zimeingia kwenye vita moja ya usajili kwa mara nyingine baada ya kila mmoja kuhitaji huduma ya kipa wa Mtibwa Sugar, Hussein Shariff ‘Casillas’, kwa ajili ya kuvitumikia vikosi vyao kwenye msimu ujao wa ligi. Vuguvugu hilo la usajili wa kipa huyo linakuja baada ya timu zote mbili kuwa na matarajio ya kupoteza makipa wao,...

 

10 years ago

Mwananchi

Simba SC, Mtibwa Sugar kiama leo

Ni fainali ya aina yake ya Kombe la Mapinduzi baina ya vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Mtibwa Sugar na Simba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani