Simba laini sana kwa Mtibwa
Nahodha wa zamani na Taifa Stars,Mecky Mexime ambae kwa sasa anakiongoza kikosi cha Mtibwa Sugar.
Simba imejikuta ikifunzwa soka na Mtibwa Sugar baada ya jana kukubali kichapo cha mabao 4-2 katika mchezo wa kirafiki uliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam uliopo Chamazi jijini Dar es Salaam, hiyo ikiwa ni mechi ya kwanza kwa Kikosi A cha Simba kucheza kwenye uwanja huo tangu ujengwe miaka minne iliyopita.
Wenyeji Simba walifungua mlango wa mabao dakika 23 kiungo Said Ndemla alipokifungia Kikosi cha...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Apr
Mtunisia: Nyota Yanga laini sana
10 years ago
TheCitizen08 Feb
Simba held, Yanga take on Mtibwa
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Mtibwa yazishukia Simba, Yanga
10 years ago
Mwananchi07 Apr
Simba yatakata, Mtibwa majanga
9 years ago
Habarileo02 Nov
Simba, Mtibwa zamtisha Wawa
BEKI mahiri wa timu ya soka ya Azam, Pascal Wawa, amesema kuimarika kwa timu za Simba na Mtibwa Sugar kumeongeza ukali wa mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.
10 years ago
TheCitizen10 Jan
Simba, Mtibwa eye final
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Simba, Mtibwa ngoma inogile
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX1KFU6WTUn0TdeLiw1nhRbT0kkAHnnz1KxtXHDCMM1QMwgfnEys9CeBz50bMRxkcit5Xy6IpLqXQ-yV1xhLXAu6/YANGA.jpg?width=650)
Yanga, Simba zamwania kipa Mtibwa
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Simba SC, Mtibwa Sugar kiama leo