Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba, Mtibwa ngoma inogile

>Simba leo inaanza kibarua kigumu cha kutafuta pointi 12 katika mechi zake tatu za nje ya Dar es Salaam itakapovaana Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BUNGE LA KATIBA NGOMA INOGILE!

Stori: Mwandishi Wetu, Dodoma
WAKATI msuguano  wa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba ukiendelea mjini Dodoma na kuzua majadiliano makali juu ya upigaji kura ya wazi au ya siri, ngoma inogile kwani inatabiriwa kuwa huenda bunge hilo lisifikishe  siku 90 za uhai wake na kuishia siku 70, baadhi wa wajumbe wameliambia Risasi Mchanganyiko. Wakizungumza bila ya kutaka kutajwa majina yao, baadhi ya wajumbe wa bunge hilo wamesema...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga ngoma inogile kileleni

>Mabingwa watetezi, Yanga wamekwea kileleni mwa Ligi Kuu Bara baada ya kuichakaza JKT Ruvu mabao 4-0 jana  kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Simba yatakata, Mtibwa majanga

Simba imewafuta machozi mashabiki wake baada ya kuichapa Kagera Sugar mabao 2-1, wakati Stand United ikishinda bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar katika michezo hiyo miwili ya kiporo iliyochezwa jana kwenye Uwanja wa Kambarage, Shinyanga.

 

9 years ago

Habarileo

Simba, Mtibwa zamtisha Wawa

BEKI mahiri wa timu ya soka ya Azam, Pascal Wawa, amesema kuimarika kwa timu za Simba na Mtibwa Sugar kumeongeza ukali wa mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.

 

10 years ago

TheCitizen

Simba, Mtibwa eye final

Mainland representatives at the Mapinduzi Cup, Simba SC and Mtibwa Sugar, are in action today, seeking to qualify for the final.

 

10 years ago

TheCitizen

Simba held, Yanga take on Mtibwa

 Mainland giants Simba and Azam FC dropped two points each in their respective Premier League matches yesterday.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtibwa yazishukia Simba, Yanga

Klabu ya Mtibwa Sugar imedai kuwa soka la Tanzania linauliwa na timu za Simba na Yanga kutokana na kitendo cha timu hizo kukumbatia wachezaji kutoka nje ya nchi ambao wamekuwa hawana msaada.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtibwa Sugar yataka ‘salio’ Simba

SIKU chache baada ya Klabu ya Simba kumsainisha kipa Hussen Sharif ‘Casillas’, kutoka Mtibwa Sugar, wakali hao kutoka Turiani, Morogoro, wameibuka na kusema usajili wa nyota huyo ni kinyume na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani