Simba, Mtibwa zamtisha Wawa
BEKI mahiri wa timu ya soka ya Azam, Pascal Wawa, amesema kuimarika kwa timu za Simba na Mtibwa Sugar kumeongeza ukali wa mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen03 Dec
Wawa links up with Azam squad ahead of Simba tie
10 years ago
TheCitizen10 Jan
Simba, Mtibwa eye final
10 years ago
TheCitizen08 Feb
Simba held, Yanga take on Mtibwa
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Simba, Mtibwa ngoma inogile
10 years ago
Mwananchi07 Apr
Simba yatakata, Mtibwa majanga
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Mtibwa yazishukia Simba, Yanga
9 years ago
Habarileo29 Sep
Yanga: Mtibwa bora kuliko Simba
YANGA imesema kuwa Mtibwa Sugar ni bora zaidi ya Simba pamoja na ukongwe wa timu hiyo yenye maskani yake katika Barabara ya Msimbazi, Kariakoo jijini Dar es Salaam. Jumamosi iliyopita, Simba ilipokea kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa watani zao, Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Vijimambo08 Dec
Simba laini sana kwa Mtibwa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/mecky-mexime-nipashe-December8-2014.jpg)
Simba imejikuta ikifunzwa soka na Mtibwa Sugar baada ya jana kukubali kichapo cha mabao 4-2 katika mchezo wa kirafiki uliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam uliopo Chamazi jijini Dar es Salaam, hiyo ikiwa ni mechi ya kwanza kwa Kikosi A cha Simba kucheza kwenye uwanja huo tangu ujengwe miaka minne iliyopita.
Wenyeji Simba walifungua mlango wa mabao dakika 23 kiungo Said Ndemla alipokifungia Kikosi cha...
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Simba SC, Mtibwa Sugar kiama leo