Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba, Mtibwa zamtisha Wawa

BEKI mahiri wa timu ya soka ya Azam, Pascal Wawa, amesema kuimarika kwa timu za Simba na Mtibwa Sugar kumeongeza ukali wa mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Wawa links up with Azam squad ahead of Simba tie

Azam FC defender Pascal Wawa has linked up with teammates after a long mid-season vacation in Cote d’Ivoire.

 

10 years ago

TheCitizen

Simba, Mtibwa eye final

Mainland representatives at the Mapinduzi Cup, Simba SC and Mtibwa Sugar, are in action today, seeking to qualify for the final.

 

10 years ago

TheCitizen

Simba held, Yanga take on Mtibwa

 Mainland giants Simba and Azam FC dropped two points each in their respective Premier League matches yesterday.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba, Mtibwa ngoma inogile

>Simba leo inaanza kibarua kigumu cha kutafuta pointi 12 katika mechi zake tatu za nje ya Dar es Salaam itakapovaana Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

 

10 years ago

Mwananchi

Simba yatakata, Mtibwa majanga

Simba imewafuta machozi mashabiki wake baada ya kuichapa Kagera Sugar mabao 2-1, wakati Stand United ikishinda bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar katika michezo hiyo miwili ya kiporo iliyochezwa jana kwenye Uwanja wa Kambarage, Shinyanga.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtibwa yazishukia Simba, Yanga

Klabu ya Mtibwa Sugar imedai kuwa soka la Tanzania linauliwa na timu za Simba na Yanga kutokana na kitendo cha timu hizo kukumbatia wachezaji kutoka nje ya nchi ambao wamekuwa hawana msaada.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga: Mtibwa bora kuliko Simba

YANGA imesema kuwa Mtibwa Sugar ni bora zaidi ya Simba pamoja na ukongwe wa timu hiyo yenye maskani yake katika Barabara ya Msimbazi, Kariakoo jijini Dar es Salaam. Jumamosi iliyopita, Simba ilipokea kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa watani zao, Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

Simba laini sana kwa Mtibwa

Nahodha wa zamani na Taifa Stars,Mecky Mexime ambae kwa sasa anakiongoza kikosi cha Mtibwa Sugar.
Simba imejikuta ikifunzwa soka na Mtibwa Sugar baada ya jana kukubali kichapo cha mabao 4-2 katika mchezo wa kirafiki uliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam uliopo Chamazi jijini Dar es Salaam, hiyo ikiwa ni mechi ya kwanza kwa Kikosi A cha Simba kucheza kwenye uwanja huo tangu ujengwe miaka minne iliyopita.

Wenyeji Simba walifungua mlango wa mabao dakika 23 kiungo Said Ndemla alipokifungia Kikosi cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Simba SC, Mtibwa Sugar kiama leo

Ni fainali ya aina yake ya Kombe la Mapinduzi baina ya vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Mtibwa Sugar na Simba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani