Yanga: Mtibwa bora kuliko Simba
YANGA imesema kuwa Mtibwa Sugar ni bora zaidi ya Simba pamoja na ukongwe wa timu hiyo yenye maskani yake katika Barabara ya Msimbazi, Kariakoo jijini Dar es Salaam. Jumamosi iliyopita, Simba ilipokea kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa watani zao, Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb12s4rA*XkSH4AHz-z6oeKf0XtTRbifok6tZHkHMFlnjjiAgVsJthJdTPns5c-ovzlksLlyrVuz5DWHKMk*AnNY/KIM.gif?width=650)
Kim: Mbeya City ni bora kuliko Yanga, Simba
Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen. Na Nicodemus Jonas
KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen, amesifia kiwango cha timu changa kwenye ligi kuu, Mbeya City na kusema kuwa ndiyo timu iliyopo kwenye kiwango cha juu zaidi kwa sasa. Kim amesema katika mechi alizofuatilia, Mbeya City ndiyo imekuwa kwenye kiwango zaidi huku timu nyingine zikitetereka katikati mwa msimu.… ...
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Mtibwa yazishukia Simba, Yanga
Klabu ya Mtibwa Sugar imedai kuwa soka la Tanzania linauliwa na timu za Simba na Yanga kutokana na kitendo cha timu hizo kukumbatia wachezaji kutoka nje ya nchi ambao wamekuwa hawana msaada.
10 years ago
TheCitizen08 Feb
Simba held, Yanga take on Mtibwa
 Mainland giants Simba and Azam FC dropped two points each in their respective Premier League matches yesterday.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX1KFU6WTUn0TdeLiw1nhRbT0kkAHnnz1KxtXHDCMM1QMwgfnEys9CeBz50bMRxkcit5Xy6IpLqXQ-yV1xhLXAu6/YANGA.jpg?width=650)
Yanga, Simba zamwania kipa Mtibwa
Kipa wa Mtibwa Sugar, Hussein Shariff ‘Casillas’. Na Hans Mloli
SIMBA na Yanga zimeingia kwenye vita moja ya usajili kwa mara nyingine baada ya kila mmoja kuhitaji huduma ya kipa wa Mtibwa Sugar, Hussein Shariff ‘Casillas’, kwa ajili ya kuvitumikia vikosi vyao kwenye msimu ujao wa ligi. Vuguvugu hilo la usajili wa kipa huyo linakuja baada ya timu zote mbili kuwa na matarajio ya kupoteza makipa wao,...
10 years ago
Michuzi30 Dec
11 years ago
Michuzi24 Feb
YANGA SC NA SHOOTING YAINGIZA FEDHA NYINGI KULIKO SIMBA NA JKT RUVU
Na Boniface Wambura, Dar es Salaam MECHI za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) zilizohusisha timu za Yanga na Simba, na kuchezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki zimeingiza jumla ya sh. 101,165,000.Yanga ambayo iibugiza Ruvu Shooting mabao 7-0 mechi yake iliingiza sh. 68,450,000 kutokana na washabiki 11,972 kwa viingilio vya sh. 5,000, sh. 15,000 na sh. 20,000.Katika mechi hiyo kila klabu ilipata mgao wa sh. 15,687,488 wakati Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) iliyolipwa kutokana na...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/s6FOf8W4TCY/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TxtLZ0aSbwzvdEnVwWtNo5tiV-xtuXFnITZkZ1t-nYvBYZxhm*BrScff6h1zZ3Amvzi25zDg8FferoHOEh307TP-AhNp6RJo/JB11.jpg?width=650)
JB: BORA UIGIZAJI KULIKO UBUNGE
Mkurugenzi wa Jerusalem Film Company, Jacob Stephen ‘JB’. Erick evarist MKURUGENZI wa Jerusalem Film Company, Jacob Stephen ‘JB’ ameweka wazi kuwa kamwe hafikirii kuwa mwanasiasa kwani sanaa inamlipa zaidi.Akizungumza na mwanahabari wetu katika mahojiano mafupi, JB alisema kipindi cha nyuma ziliibuka tetesi kuwa huenda anaweza kuwa mwanasiasa lakini ukweli kutoka moyoni, sanaa inamlipa. “Sanaa inanilipa, sifikirii kama...
11 years ago
BBCSwahili18 Feb
Pellegrini: City ni bora kuliko Man U
Kocha wa Manchester City Manuel Pellegrini amesema kuwa timu yake ni bora kuiliko Manchester United na kwamba itatamba katika CL.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania