Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga: Mtibwa bora kuliko Simba

YANGA imesema kuwa Mtibwa Sugar ni bora zaidi ya Simba pamoja na ukongwe wa timu hiyo yenye maskani yake katika Barabara ya Msimbazi, Kariakoo jijini Dar es Salaam. Jumamosi iliyopita, Simba ilipokea kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa watani zao, Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Kim: Mbeya City ni bora kuliko Yanga, Simba

Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen. Na Nicodemus Jonas
KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen, amesifia kiwango cha timu changa kwenye ligi kuu, Mbeya City na kusema kuwa ndiyo timu iliyopo kwenye kiwango cha juu zaidi kwa sasa. Kim amesema katika mechi alizofuatilia, Mbeya City ndiyo imekuwa kwenye kiwango zaidi huku timu nyingine zikitetereka katikati mwa msimu.… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Mtibwa yazishukia Simba, Yanga

Klabu ya Mtibwa Sugar imedai kuwa soka la Tanzania linauliwa na timu za Simba na Yanga kutokana na kitendo cha timu hizo kukumbatia wachezaji kutoka nje ya nchi ambao wamekuwa hawana msaada.

 

10 years ago

TheCitizen

Simba held, Yanga take on Mtibwa

 Mainland giants Simba and Azam FC dropped two points each in their respective Premier League matches yesterday.

 

11 years ago

GPL

Yanga, Simba zamwania kipa Mtibwa

Kipa wa Mtibwa Sugar, Hussein Shariff ‘Casillas’. Na Hans Mloli
SIMBA na Yanga zimeingia kwenye vita moja ya usajili kwa mara nyingine baada ya kila mmoja kuhitaji huduma ya kipa wa Mtibwa Sugar, Hussein Shariff ‘Casillas’, kwa ajili ya kuvitumikia vikosi vyao kwenye msimu ujao wa ligi. Vuguvugu hilo la usajili wa kipa huyo linakuja baada ya timu zote mbili kuwa na matarajio ya kupoteza makipa wao,...

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

YANGA SC NA SHOOTING YAINGIZA FEDHA NYINGI KULIKO SIMBA NA JKT RUVU


Na Boniface Wambura, Dar es Salaam MECHI za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) zilizohusisha timu za Yanga na Simba, na kuchezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki zimeingiza jumla ya sh. 101,165,000.Yanga ambayo iibugiza Ruvu Shooting mabao 7-0 mechi yake iliingiza sh. 68,450,000 kutokana na washabiki 11,972 kwa viingilio vya sh. 5,000, sh. 15,000 na sh. 20,000.Katika mechi hiyo kila klabu ilipata mgao wa sh. 15,687,488 wakati Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) iliyolipwa kutokana na...

 

9 years ago

GPL

JB: BORA UIGIZAJI KULIKO UBUNGE

Mkurugenzi wa Jerusalem Film Company, Jacob Stephen ‘JB’. Erick evarist MKURUGENZI wa Jerusalem Film Company, Jacob Stephen ‘JB’ ameweka wazi kuwa kamwe hafikirii kuwa mwanasiasa kwani sanaa inamlipa zaidi.Akizungumza na mwanahabari wetu katika mahojiano mafupi, JB alisema kipindi cha nyuma ziliibuka tetesi kuwa huenda anaweza kuwa mwanasiasa lakini ukweli kutoka moyoni, sanaa inamlipa. “Sanaa inanilipa, sifikirii kama...

 

11 years ago

BBCSwahili

Pellegrini: City ni bora kuliko Man U

Kocha wa Manchester City Manuel Pellegrini amesema kuwa timu yake ni bora kuiliko Manchester United na kwamba itatamba katika CL.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani