Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pellegrini: City ni bora kuliko Man U

Kocha wa Manchester City Manuel Pellegrini amesema kuwa timu yake ni bora kuiliko Manchester United na kwamba itatamba katika CL.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Sterling can be Man City provider: Pellegrini

Manchester City manager Manuel Pellegrini believes that Raheem Sterling can be more prolific for his new employers than he was for former club Liverpool.

 

10 years ago

BBC

Toure happy at Man City - Pellegrini

Ivory Coast midfielder Yaya Toure is happy at Man City despite reports he is seeking "new challenges", says boss Manuel Pellegrini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Man City ndio wenye nguvu zaidi - Pellegrini

Meneja wa Manchester City Manuel Pellegrini anaamini timu yake ndiyo yenye nguvu zaidi katika Ligi ya Premia, wachezaji wake wote wakiwa sawa.

 

11 years ago

GPL

Kim: Mbeya City ni bora kuliko Yanga, Simba

Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen. Na Nicodemus Jonas
KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen, amesifia kiwango cha timu changa kwenye ligi kuu, Mbeya City na kusema kuwa ndiyo timu iliyopo kwenye kiwango cha juu zaidi kwa sasa. Kim amesema katika mechi alizofuatilia, Mbeya City ndiyo imekuwa kwenye kiwango zaidi huku timu nyingine zikitetereka katikati mwa msimu.… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Man City wapewa Barca 16 bora Ligi ya Mabingwa Ulaya

Nyon, Uswisi. Droo ya hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imepangwa jana huku Manchester City wakikutana na Barcelona.

 

10 years ago

BBCSwahili

Man Utd haijaimarika asema Pellegrini

Manuel Pellegrini adai timu ya Manchester United haijaimarika na haina tofauti na ile ya msimu uliopita .

 

9 years ago

GPL

JB: BORA UIGIZAJI KULIKO UBUNGE

Mkurugenzi wa Jerusalem Film Company, Jacob Stephen ‘JB’. Erick evarist MKURUGENZI wa Jerusalem Film Company, Jacob Stephen ‘JB’ ameweka wazi kuwa kamwe hafikirii kuwa mwanasiasa kwani sanaa inamlipa zaidi.Akizungumza na mwanahabari wetu katika mahojiano mafupi, JB alisema kipindi cha nyuma ziliibuka tetesi kuwa huenda anaweza kuwa mwanasiasa lakini ukweli kutoka moyoni, sanaa inamlipa. “Sanaa inanilipa, sifikirii kama...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga: Mtibwa bora kuliko Simba

YANGA imesema kuwa Mtibwa Sugar ni bora zaidi ya Simba pamoja na ukongwe wa timu hiyo yenye maskani yake katika Barabara ya Msimbazi, Kariakoo jijini Dar es Salaam. Jumamosi iliyopita, Simba ilipokea kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa watani zao, Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani