Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JB: BORA UIGIZAJI KULIKO UBUNGE

Mkurugenzi wa Jerusalem Film Company, Jacob Stephen ‘JB’. Erick evarist MKURUGENZI wa Jerusalem Film Company, Jacob Stephen ‘JB’ ameweka wazi kuwa kamwe hafikirii kuwa mwanasiasa kwani sanaa inamlipa zaidi.Akizungumza na mwanahabari wetu katika mahojiano mafupi, JB alisema kipindi cha nyuma ziliibuka tetesi kuwa huenda anaweza kuwa mwanasiasa lakini ukweli kutoka moyoni, sanaa inamlipa. “Sanaa inanilipa, sifikirii kama...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

UBUNGE KUMWACHISHA KINGWENDU UIGIZAJI

Mchekeshaji maarufu Bongo, Rashidi Mwinishehe ‘Kingwendu’. Chande Abdallah Mchekeshaji maarufu Bongo, Rashidi Mwinishehe ‘Kingwendu’ ameweka wazi kwamba yupo njiani kuachana na mambo ya uigizaji mara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge. Akizungumza na mwandishi wetu, Kingwendu ambaye anagombea nafasi ya ubunge katika Jimbo la Kisarawe kwa kupitia tiketi ya CUF, amesema kwamba kwa sasa kitu anachokifikiria ni kuwatumikia...

 

10 years ago

Michuzi

Julianne More na Eddie Redmayne washinda tuzo za uigizaji bora wa filamu za oscar

Mwigizaji  Julianne Moore ndiye mshindi wa mwaka huu wa waigizaji sinema wa kike na kushinda tuzo ya Oscar kwa kucheza vyema kwenye filamu ya "Still Alice."Usiku wa kuamka leo huko Marekani, Moore amewashinda Felicity Jones ("The Theory of Everyting"), Marion Cotillard ("Two Days, One Night"), Reese Witherspoon ("Wild") na  Rosamund Pike ("Gone Girl) katika kinyang'anyiro hicho.  Awali alipendekezwa mara tano kugombea tuzo hiyo ya juu katika tasnia ya sinema duniani, na ni mmoja wa waigizaji...

 

11 years ago

Dewji Blog

Washindi 3 Bora wa Shindano la kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania kwa kanda ya ziwa kupatikana leo

Majaji wa Shindano la Kusaka Vipaji vya Uigizaji Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents, Single Mtambalike (kulia), Yvonne Chery (Katikati) na Roy Sarungi (Kushoto) wakipitia alama za washiriki kwaajili ya kuweza kuwatangaza washindi waliofanikiwa kuingia hatua ya tatu ambapo wanachukuliwa washiriki 30 kwaajili ya kupata mchujo wa washindi watatu bora ambao wataibuka na Kitita Cha Shilingi laki 5 kila Mmoja kwa Kanda ya Ziwa na baadae kujiunga na washindi wengine watatu...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga: Mtibwa bora kuliko Simba

YANGA imesema kuwa Mtibwa Sugar ni bora zaidi ya Simba pamoja na ukongwe wa timu hiyo yenye maskani yake katika Barabara ya Msimbazi, Kariakoo jijini Dar es Salaam. Jumamosi iliyopita, Simba ilipokea kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa watani zao, Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Pellegrini: City ni bora kuliko Man U

Kocha wa Manchester City Manuel Pellegrini amesema kuwa timu yake ni bora kuiliko Manchester United na kwamba itatamba katika CL.

 

10 years ago

GPL

BORA USIWE HEWANI KULIKO KUTOPOKEA SIMU!

NIJumanne tena! Kweli siku hazigandi kwani mara nimalizapo kuandika safu hii, kufumba na kufumbua siku ya kuandika tena inafika!Baada ya wiki iliyopita kumalizana na mada ya Mke Kumchuna Mume Ipo Sana! Leo nashuka na mada nyingine. Hii ni kwa wapenzi, wachumba au wanandoa. Kila mtu anajua maisha ya sasa kuhusu mawasiliano ni simu za mikononi. Simu hizi zimekuwa mwiba katika baadhi ya uhusiano kutokana na baadhi yao kuzitumia kwa...

 

10 years ago

GPL

BORA USIWE HEWANI KULIKO KUTOPOKEA SIMU-2

NI Jumanne nyingine tena ambapo safu hii ya Mapenzi na Maisha inakupa elimu, inakosoa na kurekebisha namna ya kuishi kwa watu waliopo ndani ya uhusiano. Mada hii inaendelea kutokea wiki iliyopita ambapo niliishia pale niliposema kuwa, nilibaini ugomvi wa kutopokea simu wakati inapatikana hewani unatokana na tabia ya mmiliki wa simu.  Nilisema baadhi ya watu wanajulikana kuwa, hawakai mbali na simu hata kwa dakika mbili, sasa...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND: BORA NIFE KULIKO KUMRUDIA WEMA

Musa mateja
KIAPO! Kuonesha kwamba hana mpango wa kurudi nyuma, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ amefungukia msimamo wake juu ya mwandani wake wa zamani, Wema Sepetu ‘Madam’ kwa kusema kuwa kamwe hawezi kumrudia tena, Risasi Jumamosi lina mkanda kamili. Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’. Licha ya Diamond kufunguka hayo, wawili hao wamekuwa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Walcott:sisi bora kuliko kina Henry

Winga klabu ya Arsenal Theo Walcott,ameeleza safu yao ushambuliaji ya sasa ni bora Zaidi kuliko ya mwaka 2006.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani