Walcott:sisi bora kuliko kina Henry
Winga klabu ya Arsenal Theo Walcott,ameeleza safu yao ushambuliaji ya sasa ni bora Zaidi kuliko ya mwaka 2006.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bQfOv76fsJfc0T8e8iii1hQYZYGRhFBLgpzxbsdTAJbB5ck9TpZbEO2nDT*EHTSSbiU6qBqTisJFm0Q-8Jl3IqZD-mugccfX/dollars.jpg?width=650)
WENYE FEDHA WANA AKILI KULIKO SISI?
Hili ni moja kati ya maswali muhimu ambayo mtu anapaswa kujiuliza, pale anapofikiria kama anaweza kutengeneza pesa na kuwa tajiri kama walivyo matajiri wengine. Jibu la swali hili linaweza kuwa ‘Inawezekana’. Kwamba inawezekana matajiri wana akili kuliko sisi kwa sababu wamefanikiwa kupata fedha, achana na hawa tunaosikiasikia kuwa wanapata utajiri kwa sababu ya nguvu za giza. Lakini hata hivyo, akili ambazo wanazo...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TxtLZ0aSbwzvdEnVwWtNo5tiV-xtuXFnITZkZ1t-nYvBYZxhm*BrScff6h1zZ3Amvzi25zDg8FferoHOEh307TP-AhNp6RJo/JB11.jpg?width=650)
JB: BORA UIGIZAJI KULIKO UBUNGE
Mkurugenzi wa Jerusalem Film Company, Jacob Stephen ‘JB’. Erick evarist MKURUGENZI wa Jerusalem Film Company, Jacob Stephen ‘JB’ ameweka wazi kuwa kamwe hafikirii kuwa mwanasiasa kwani sanaa inamlipa zaidi.Akizungumza na mwanahabari wetu katika mahojiano mafupi, JB alisema kipindi cha nyuma ziliibuka tetesi kuwa huenda anaweza kuwa mwanasiasa lakini ukweli kutoka moyoni, sanaa inamlipa. “Sanaa inanilipa, sifikirii kama...
9 years ago
Bongo529 Oct
Thierry Henry amtaja Paul Scholes kuwa ndiye mchezaji bora wa muda wote katika ligi kuu England
Mchezaji soka na gwiji wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa, Thierry Henry amewafanya watu kubaki na mshangao kwa kumtaja kiungo wa zamani wa England na Manchester United, Paul Scholes kuwa ndiye mchezaji bora aliyewahi kukutana naye katika historia ya Premier League. Henry alijibu swali hilo katika interview moja na Sky Sport, […]
9 years ago
Habarileo29 Sep
Yanga: Mtibwa bora kuliko Simba
YANGA imesema kuwa Mtibwa Sugar ni bora zaidi ya Simba pamoja na ukongwe wa timu hiyo yenye maskani yake katika Barabara ya Msimbazi, Kariakoo jijini Dar es Salaam. Jumamosi iliyopita, Simba ilipokea kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa watani zao, Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
11 years ago
BBCSwahili18 Feb
Pellegrini: City ni bora kuliko Man U
Kocha wa Manchester City Manuel Pellegrini amesema kuwa timu yake ni bora kuiliko Manchester United na kwamba itatamba katika CL.
10 years ago
BBCSwahili25 Apr
Mayweather:Mimi ni bora kuliko Moh'd Ali
Floyd Mayweather amesisitiza kuwa yeye ndio bondia bora zaidi kuliko Mohammed Ali.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjJaQ7w7BN4VWt80*4j*gFpi7Zw3VpOt05PAlt*CXHb3ptAyrnj8erG1m3Ofv9P5g6bLVuF0iR*fwD01WW239bYr/url.jpg?width=750)
BORA USIWE HEWANI KULIKO KUTOPOKEA SIMU-2
NI Jumanne nyingine tena ambapo safu hii ya Mapenzi na Maisha inakupa elimu, inakosoa na kurekebisha namna ya kuishi kwa watu waliopo ndani ya uhusiano. Mada hii inaendelea kutokea wiki iliyopita ambapo niliishia pale niliposema kuwa, nilibaini ugomvi wa kutopokea simu wakati inapatikana hewani unatokana na tabia ya mmiliki wa simu. Nilisema baadhi ya watu wanajulikana kuwa, hawakai mbali na simu hata kwa dakika mbili, sasa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avoOUPCgkrKmYkDeSBSQ2PrJg8F5YHD3n7BImVHYNS3AzjGtl7m9-ZRvIbo9fOpj5DhFeRZns9py4XMULlJY5A*B/8.jpg)
BORA USIWE HEWANI KULIKO KUTOPOKEA SIMU!
NIJumanne tena! Kweli siku hazigandi kwani mara nimalizapo kuandika safu hii, kufumba na kufumbua siku ya kuandika tena inafika!Baada ya wiki iliyopita kumalizana na mada ya Mke Kumchuna Mume Ipo Sana! Leo nashuka na mada nyingine. Hii ni kwa wapenzi, wachumba au wanandoa. Kila mtu anajua maisha ya sasa kuhusu mawasiliano ni simu za mikononi. Simu hizi zimekuwa mwiba katika baadhi ya uhusiano kutokana na baadhi yao kuzitumia kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hcqb7DAu6uw40AsOMi5Opx-G3M4P5-aPwmRWdGml3JqkJZAD6OdBc9aT2TZlAGgjwvbwgNQYeQM5o6-5h7xjhGa/RisasiJumamosifrontpdf.jpg?width=650)
DIAMOND: BORA NIFE KULIKO KUMRUDIA WEMA
Musa mateja
KIAPO! Kuonesha kwamba hana mpango wa kurudi nyuma, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ amefungukia msimamo wake juu ya mwandani wake wa zamani, Wema Sepetu ‘Madam’ kwa kusema kuwa kamwe hawezi kumrudia tena, Risasi Jumamosi lina mkanda kamili. Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’. Licha ya Diamond kufunguka hayo, wawili hao wamekuwa na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania