Mtibwa yazishukia Simba, Yanga
Klabu ya Mtibwa Sugar imedai kuwa soka la Tanzania linauliwa na timu za Simba na Yanga kutokana na kitendo cha timu hizo kukumbatia wachezaji kutoka nje ya nchi ambao wamekuwa hawana msaada.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen08 Feb
Simba held, Yanga take on Mtibwa
9 years ago
Habarileo29 Sep
Yanga: Mtibwa bora kuliko Simba
YANGA imesema kuwa Mtibwa Sugar ni bora zaidi ya Simba pamoja na ukongwe wa timu hiyo yenye maskani yake katika Barabara ya Msimbazi, Kariakoo jijini Dar es Salaam. Jumamosi iliyopita, Simba ilipokea kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa watani zao, Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX1KFU6WTUn0TdeLiw1nhRbT0kkAHnnz1KxtXHDCMM1QMwgfnEys9CeBz50bMRxkcit5Xy6IpLqXQ-yV1xhLXAu6/YANGA.jpg?width=650)
Yanga, Simba zamwania kipa Mtibwa
10 years ago
Michuzi30 Dec
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/s6FOf8W4TCY/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
10 years ago
Mwananchi07 Apr
Simba yatakata, Mtibwa majanga
10 years ago
TheCitizen10 Jan
Simba, Mtibwa eye final