Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OFM YAFICHUA MAGUMASHI YA KUSAJILI LAINI

Kikiosi cha OFM kikifanya uchunguzi kwa wakala magumashi. Stori: Waandishi Wetu/Amani WAKATI Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), ikiwasisitiza Watanzania na wamiliki wa kampuni za simu za mkononi kusajili laini zao kihalali ili kila mmoja abaki na taarifa sahihi, kitengo cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) cha Global Publisher mwanzoni mwa mwaka huu kilibaini usajili usiokidhi vigezo unaofanywa na mawakala wa Kampuni moja....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

OFM YAFICHUA UCHAFU WA KUTISHA

WAandishi Wetu INATISHA! Hivi ndivyo unavyoweza kusema mara tu unapofika katika hospitali ya serikali ya Kijitonyama, iliyopo Sinza Mapambano jijini Dar es Salaam kwani kuna uchafu mwingi unaoenda tofauti kabisa na mazingira yanayostahili katika kituo hicho cha huduma za afya, Risasi Mchanganyiko linakuthibitishia.  .....Soma zaidi===>http://bit.ly/1J2DooD ...

 

10 years ago

GPL

OFM YAFICHUA UDHAIFU MLIMANI CITY TENA

Deogratius Mongela na Chande Abdallah WIKI hii Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers kwa mara nyingine ilitimba eneo la kibiashara la Mlimani City jijini Dar ikiwa na mfano wa silaha aina ya bastola ‘toy’ ili kupima ulinzi kwenye eneo hilo kufuatia matukio mbalimbali ya uvamizi wa kutumia silaha na ugaidi ambapo ilibaini kuwa ulinzi ni hafifu. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1Mgtxzi ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wateja wahimizwa kusajili laini

KAMPUNI ya simu za mikononi ya Zantel imezindua zoezi la kuhamasisha wateja kusajili laini zao. Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Pratap Ghose, alisema juzi kuwa kampeni hiyo inalenga kutambua wateja wote...

 

11 years ago

GPL

OFM KAZINI; KAMANDA WA OFM AKIRIPOTI JINSI ALIVYOMNASA MZUNGU AKIWA NA DENTI

Mshuhudie Kamanda hatari wa OFM aliyepania kuibadilisha Tanzania, akiripoti tukio la aina yake ambapo mara hii amemnasa mzungu aliyekuwa na denti wa kidato cha tatu gesti, tena usiku wa manane! Ungana na Global TV Online kupata full stori!

 

10 years ago

GPL

MADAI MAZITO: UTAJIRI WA ZARI MAGUMASHI

Mwandishi Wetu
NI madai ya chini kwa chini kutoka vyanzo vilivyo karibu na mwanamuziki nyota nchini Uganda, Zarina Hassan ‘Zari The Bosslady’ ambaye kwa sasa ameshikamana kimapenzi na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kwamba, utajiri anaoutangaza kuwa nao siyo kweli! Mwanamuziki nyota nchini Uganda, Zarina Hassan ‘Zari The Bosslady’. Madai hayo yalilishangaza Risasi Jumamosi kiasi cha...

 

10 years ago

GPL

SAUDA: NANI KASEMA NDOA YANGU MAGUMASHI?

Gladness Mallya
MTANGAZAJI mkongwe wa televisheni, Sauda Mwilima ambaye mumewe, Kauli Juma aliondoka mara tu baada ya kufunga naye ndoa kuelekea Afrika Kusini kikazi, amesema wa ubani wake huyo amesharejea na hivyo kuwakejeli waliokuwa wakisema kuwa ndoa yao ilikuwa ni magumashi. Mtangazaji mkongwe wa televisheni, Sauda Mwilima. Akipiga stori na paparazi wetu, Sauda alisema kwa sasa anaifurahia ndoa yake vilivyo baada ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ripoti yafichua udhalilishaji wanawake

Shirika la Human Rights Watch limeripoti udhalilishwaji kijinsia wanaofanyiwa wanawake nchini Somalia na askari wa kulinda amani

 

10 years ago

BBCSwahili

BBC yafichua usafirishaji watoto

BBC imepata ushahidi unao onesha namna wachezaji wa hadi umri wa miaka kumi na nne wanasafirishwa kinyume cha sheria kutoka bara Afrika na Asia kinyume na sheria za FIFA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani