Zantel yahamasisha usajili wa laini za simu
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Zantel imezindua mpango mahususi wa kuhamasisha wateja kusajili laini zao kwa mujibu wa sheria ya serikali inayozitaka kampuni za simu kufanya usajili wa wateja wao.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZC5JInj-FNk/XmzDRUw5rWI/AAAAAAALjY8/ioB6yZtliogO8Eq2Goj7qFc0xe_mwNVFACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B2.22.01%2BPM.jpeg)
TCRA yapata manufaa katika usajili wa Laini za Simu kwa Alama za Vidole.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZC5JInj-FNk/XmzDRUw5rWI/AAAAAAALjY8/ioB6yZtliogO8Eq2Goj7qFc0xe_mwNVFACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B2.22.01%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vhZcr9bLb_w/XmzDRJAgHwI/AAAAAAALjY4/OJeV0LN5NCAH-SjBcHVzHHQq5_pHDxsFQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B2.25.01%2BPM.jpeg)
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiMAMLAKA ya Mawasiliano nchini(TCRA)...
11 years ago
Habarileo21 Jan
Tigo kurejesha gharama za laini za simu kwa wateja wake
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tigo imezindua utaratibu wa kurudishia wateja wake gharama zote za ununuzi wa laini za simu kwa kuwapa muda wa maongezi na salio katika akaunti za Tigo pesa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L02gkksm_mA/XmTi4bTZU8I/AAAAAAALh7o/qnGKVX11iRA4oEsvNOuwaBqPLp07uFGIgCLcBGAsYHQ/s72-c/ab83d7a326da2335e0a921bda57b0f489001981e.jpg)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MWANANCHI KUMSAJILIA LAINI YA SIMU MTU MWINGINE
![](https://1.bp.blogspot.com/-L02gkksm_mA/XmTi4bTZU8I/AAAAAAALh7o/qnGKVX11iRA4oEsvNOuwaBqPLp07uFGIgCLcBGAsYHQ/s400/ab83d7a326da2335e0a921bda57b0f489001981e.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Oct
Serikali yaweka taratibu za kuzingatia ili kuhakikisha kunakuwa na wamiliki halali wa laini za simu
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Mwanadamu ameumbwa na kuzaliwa akiwa na asili ya kuwa na uwezo na upeo unaomuwezesha kuwasiliana baina ya mtu na mtu kunzia ngazi ya familia, jamii inayomzunguka, taifa na hatimaye ulimwengu mzima.
Akiwa na mamlaka ya kutumia mawasiliano katika maisha yake ya kila siku, mwanadamu anayatumia mawasiliano hayo kama mchakato wa kuhamisha na kupashana taarifa ama habari kutoka sehemu moja hadi nyingine kwa nyakati tofauti tofauti.
Mchakato huo wa mawasiliano unaweza...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-P_alNUmivKk/XmS7p1Ly72I/AAAAAAACITc/BTwh7SHLJc4Nd-YrKxz_GHdbP2RaLvKYwCLcBGAsYHQ/s72-c/SIMU.jpg)
SERIKALI: NI KOSA KISHERIA KUSAJILIANA LAINI ZA SIMU, HATA AKIWA MKE AU MUME WAKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-P_alNUmivKk/XmS7p1Ly72I/AAAAAAACITc/BTwh7SHLJc4Nd-YrKxz_GHdbP2RaLvKYwCLcBGAsYHQ/s1600/SIMU.jpg)
Serikali imepiga marufuku kwa mwananchi yeyote kumsajilia laini ya simu ya mkononi kwa alama ya vidole kwa kutumia kitambulisho cha taifa cha NIDA mtu mwingine kwa kuwa kufanya hivyo ni kosa la kisheria.
Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye mkoani Iringa wakati akiwa kwenye mikutano ya hadhara kwenye kijiji cha Idodi na Isoliwaya mkoani humo akizindua minara ya mawasiliano kwenye kata ya Idodi, Kihesa na Ihimbo...
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Millicom kuanza utekelezaji wa mkakati wake wa uwekezaji kwa kampuni ya simu ya Zantel Tanzania
Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin akijibu maswali ya waandishi (hawapo pichani) katika mkutano huo. Kushoto kwake ni Rachel Samren, Mwenyekiti wa Bodi ya Zantel na kulia ni Cynthia Gordon, Mkurugenzi Mtendaji wa Millicom Upande wa Afrika.
Mwenyekiti wa Bodi, Rachel Samren akizungumza na waandishi wa habari. Katikakati ni Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin na kulia ni Cynthia Gordon, Mkurugenzi Mtendaji wa Millicom Upande wa Afrika.
Bi Rachel Samren, Mwenyekiti wa Bodi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b6-3nGbVi0Q/XlaR5UgS5HI/AAAAAAAEFz8/HTXgsTASh-8vqILkIW6e74ZAXeiXYhTggCLcBGAsYHQ/s72-c/2dec0f48-c958-40c0-b6b4-572f1efcbd7b.jpg)
Zantel yazindua BongaMpakaBasi kuwawezesha wateja kupiga simu mitandao yote kwa gharama nafuu
Huduma hiyo, itawafanya wateja wa Zantel kupiga simu kwenda mitandao mingine kwa gharama ileile ya kupiga ndani ya mtandao kupitia kifurushi kimoja cha ‘BongaMpakaBasi’.Bidhaa hiyo inatajwa kuchochea shughuli za kiuchumi na kijamii hapa nchini.
Akizungumza wakati wa uzinduzi...
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
Zantel yaingia ubia na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) kutoa huduma za kibenki kupitia simu za mkononi
Waziri wa Fedha wa Zanzibar, Mheshimiwa Omari Yusuf Mzee, akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa huduma ya Benki yako Kiganjani ya Zantel pamoja na benki ya PBZ. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Zantel, Pratap Ghose, akifuatiwa na Mwenyekiti wa bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, Salmin Senga, na mwisho kulia ni Mkurugenzi wa benki ya PBZ, Juma Mohammed.
Mkurugenzi wa Zantel, Pratap Ghose akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma mpya kati ya kampuni yake na benki ya PBZ, Benki Yako...
10 years ago
GPLMAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL