SERIKALI: NI KOSA KISHERIA KUSAJILIANA LAINI ZA SIMU, HATA AKIWA MKE AU MUME WAKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-P_alNUmivKk/XmS7p1Ly72I/AAAAAAACITc/BTwh7SHLJc4Nd-YrKxz_GHdbP2RaLvKYwCLcBGAsYHQ/s72-c/SIMU.jpg)
Na Prisca Ulomi, WUUM, Iringa
Serikali imepiga marufuku kwa mwananchi yeyote kumsajilia laini ya simu ya mkononi kwa alama ya vidole kwa kutumia kitambulisho cha taifa cha NIDA mtu mwingine kwa kuwa kufanya hivyo ni kosa la kisheria.
Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye mkoani Iringa wakati akiwa kwenye mikutano ya hadhara kwenye kijiji cha Idodi na Isoliwaya mkoani humo akizindua minara ya mawasiliano kwenye kata ya Idodi, Kihesa na Ihimbo...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L02gkksm_mA/XmTi4bTZU8I/AAAAAAALh7o/qnGKVX11iRA4oEsvNOuwaBqPLp07uFGIgCLcBGAsYHQ/s72-c/ab83d7a326da2335e0a921bda57b0f489001981e.jpg)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MWANANCHI KUMSAJILIA LAINI YA SIMU MTU MWINGINE
![](https://1.bp.blogspot.com/-L02gkksm_mA/XmTi4bTZU8I/AAAAAAALh7o/qnGKVX11iRA4oEsvNOuwaBqPLp07uFGIgCLcBGAsYHQ/s400/ab83d7a326da2335e0a921bda57b0f489001981e.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Oct
Serikali yaweka taratibu za kuzingatia ili kuhakikisha kunakuwa na wamiliki halali wa laini za simu
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Mwanadamu ameumbwa na kuzaliwa akiwa na asili ya kuwa na uwezo na upeo unaomuwezesha kuwasiliana baina ya mtu na mtu kunzia ngazi ya familia, jamii inayomzunguka, taifa na hatimaye ulimwengu mzima.
Akiwa na mamlaka ya kutumia mawasiliano katika maisha yake ya kila siku, mwanadamu anayatumia mawasiliano hayo kama mchakato wa kuhamisha na kupashana taarifa ama habari kutoka sehemu moja hadi nyingine kwa nyakati tofauti tofauti.
Mchakato huo wa mawasiliano unaweza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcIkwe79Xf*bMKoF4R9FbewQXeyINX6RzAGzhSuWOwPYDD5JgyVpjIVKOxRsXcX26sWJiOYVK9626gtBKHQVuzb2/mkewamtusumu.jpg?width=650)
MUME WA MTU AFA AKIWA NA MKE WA MTU
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-l-C7WpxHWJw/VYr7NWmkVGI/AAAAAAAHjn0/HY9ExkXfZEQ/s72-c/african-weddings%2B%25281%2529.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KISHERIA ALIYEFUNGA NDOA YA MKE MMOJA HAWEZI KUOA MKE WA PILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-l-C7WpxHWJw/VYr7NWmkVGI/AAAAAAAHjn0/HY9ExkXfZEQ/s640/african-weddings%2B%25281%2529.jpg)
Na Bashir YAkub
Sura ya 29 Sheria ya ndoa imeeleza mambo mengi . Baadhi yanajulikana na baadhi hayajulikani. Wakati mwingine hata baadhi ya yanayojulikana haijulikani kama yameruhusiwa na sheria au yanafanyika kimazoea. Na hapa ndipo inapoibukia migogoro mingi ambayo tunayoshuhudia mahakamani na hata nje ya mahakama. Aidha sheria hii imebeba mambo mengi ya talaka, matunzo ya watoto na mwanamke, jinai za unyanyasaji wa kijinsia, ndoa haramu ...
11 years ago
Habarileo18 Feb
Zantel yahamasisha usajili wa laini za simu
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Zantel imezindua mpango mahususi wa kuhamasisha wateja kusajili laini zao kwa mujibu wa sheria ya serikali inayozitaka kampuni za simu kufanya usajili wa wateja wao.
11 years ago
Habarileo21 Jan
Tigo kurejesha gharama za laini za simu kwa wateja wake
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tigo imezindua utaratibu wa kurudishia wateja wake gharama zote za ununuzi wa laini za simu kwa kuwapa muda wa maongezi na salio katika akaunti za Tigo pesa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZC5JInj-FNk/XmzDRUw5rWI/AAAAAAALjY8/ioB6yZtliogO8Eq2Goj7qFc0xe_mwNVFACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B2.22.01%2BPM.jpeg)
TCRA yapata manufaa katika usajili wa Laini za Simu kwa Alama za Vidole.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZC5JInj-FNk/XmzDRUw5rWI/AAAAAAALjY8/ioB6yZtliogO8Eq2Goj7qFc0xe_mwNVFACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B2.22.01%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vhZcr9bLb_w/XmzDRJAgHwI/AAAAAAALjY4/OJeV0LN5NCAH-SjBcHVzHHQq5_pHDxsFQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B2.25.01%2BPM.jpeg)
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiMAMLAKA ya Mawasiliano nchini(TCRA)...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NB_lyrZRum0/VfdHfnCnlNI/AAAAAAAH40s/zqWPN0RLQ-A/s72-c/download.jpg)
JE WAJUA MKATABA WAKO WA AJIRA NI WA AINA GANI KISHERIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-NB_lyrZRum0/VfdHfnCnlNI/AAAAAAAH40s/zqWPN0RLQ-A/s640/download.jpg)
Na Bashir Yakub
Kama ilivyo makubaliano katika shughuli nyingine za kijamii ajira nayo huwa na makubaliano maalum wakati inapoingiwa. Makubaliano haya ndiyo huitwa mkataba na yumkini huingiwa kati ya wahusika wawili yaani muajiriwa na muajiri. Aina ya mahusiano wanayoingia wahusika ndiyo huibua aina za haki na wajibu kwa pande zote mbili. Mwenye haki hutakiwa kutoa haki hiyo kwa mwenzake naye mwenye wajibu huwa hana hiari isipokuwa ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6JoCghYlMR0/VTnwm0MNFvI/AAAAAAAHS1M/gZudUDChCxM/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KISHERIA MATUNZO KWA MWANAMKE HUENDELEA KUTOLEWA HATA BAADA YA KUTENGANA NAYE
![](http://3.bp.blogspot.com/-6JoCghYlMR0/VTnwm0MNFvI/AAAAAAAHS1M/gZudUDChCxM/s1600/1.1774256.jpg)