Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI: NI KOSA KISHERIA KUSAJILIANA LAINI ZA SIMU, HATA AKIWA MKE AU MUME WAKO

Na Prisca Ulomi, WUUM, Iringa
Serikali imepiga marufuku kwa mwananchi yeyote kumsajilia laini ya simu ya mkononi kwa alama ya vidole kwa kutumia kitambulisho cha taifa cha NIDA mtu mwingine kwa kuwa kufanya hivyo ni kosa la kisheria.

Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye mkoani Iringa wakati akiwa kwenye mikutano ya hadhara kwenye kijiji cha Idodi na Isoliwaya mkoani humo akizindua minara ya mawasiliano kwenye kata ya Idodi, Kihesa na Ihimbo...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MWANANCHI KUMSAJILIA LAINI YA SIMU MTU MWINGINE

*Usimsajilie mtu mwingine yeyote hata awe mkeo au mumeoNa Prisca Ulomi, WUUM, IringaSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepiga marufuku kwa mwananchi yeyote kumsajilia laini ya simu ya mkononi kwa alama ya vidole kwa kutumia kitambulisho cha taifa cha NIDA mtu mwingine kwa kuwa kufanya hivyo ni kosa la kisheriaHayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye kwa waandishi wa habari wa mkoa wa Iringa wakati akiwa kwenye mikutano ya hadhara kwenye...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yaweka taratibu za kuzingatia ili kuhakikisha kunakuwa na wamiliki halali wa laini za simu

tcra2

Na Eleuteri Mangi-MAELEZO

Mwanadamu ameumbwa na kuzaliwa akiwa na asili ya kuwa na uwezo na upeo unaomuwezesha kuwasiliana baina ya mtu na mtu kunzia ngazi ya familia, jamii inayomzunguka, taifa na hatimaye ulimwengu mzima.

Akiwa na mamlaka ya kutumia mawasiliano katika maisha yake ya kila siku, mwanadamu anayatumia mawasiliano hayo kama mchakato wa kuhamisha na kupashana taarifa ama habari kutoka sehemu moja hadi nyingine kwa nyakati tofauti tofauti.

Mchakato huo wa mawasiliano unaweza...

 

11 years ago

GPL

MUME WA MTU AFA AKIWA NA MKE WA MTU

NI gumzo la aina yake ndani ya mji wa Kibaha mkoani Pwani ambapo mume wa mtu aliyejulikana kwa jina la Vedasto Ager (43) amefariki dunia baada ya kupata ajali ya kugongwa na gari aina ya Fuso akiwa amempakiza mke wa mtu kwenye pikipiki. Mwili wa marehemu Vedasto Ager ukiwa kwenye jeneza tayari kwa kuagwa. Kifo cha Vedasto kilichotokea Aprili 6, mwaka huu kimeacha maswali kibao kutokana na muda
wa tukio hilo kuwa usiku wa saa...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: KISHERIA ALIYEFUNGA NDOA YA MKE MMOJA HAWEZI KUOA MKE WA PILI


Na Bashir YAkub
Sura  ya  29  Sheria  ya ndoa  imeeleza  mambo  mengi . Baadhi  yanajulikana  na  baadhi  hayajulikani.  Wakati  mwingine  hata  baadhi  ya yanayojulikana   haijulikani  kama  yameruhusiwa  na  sheria  au  yanafanyika  kimazoea.  Na  hapa  ndipo  inapoibukia  migogoro mingi  ambayo  tunayoshuhudia  mahakamani  na  hata nje  ya  mahakama. Aidha  sheria  hii  imebeba  mambo  mengi  ya  talaka, matunzo  ya  watoto  na  mwanamke, jinai  za  unyanyasaji  wa  kijinsia, ndoa  haramu ...

 

11 years ago

Habarileo

Zantel yahamasisha usajili wa laini za simu

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Zantel imezindua mpango mahususi wa kuhamasisha wateja kusajili laini zao kwa mujibu wa sheria ya serikali inayozitaka kampuni za simu kufanya usajili wa wateja wao.

 

11 years ago

Habarileo

Tigo kurejesha gharama za laini za simu kwa wateja wake

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tigo imezindua utaratibu wa kurudishia wateja wake gharama zote za ununuzi wa laini za simu kwa kuwapa muda wa maongezi na salio katika akaunti za Tigo pesa.

 

5 years ago

Michuzi

TCRA yapata manufaa katika usajili wa Laini za Simu kwa Alama za Vidole.

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Mhandisi James Kilaba akizungumza katika Siku ya Walaji ambayo huadhimishwa kila Machi 15 Duniani ya kila mwaka.Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano  wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Fredrick Ntobi akitoa maelezo kuhusiana na maadhinisho ya Siku ya Walaji ambayo huadhimishwa kila Machi 15 ya Kila Mwaka Mkutano uliofanyika makao makuu ya TCRA jijini Dar es Salaam.
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiMAMLAKA ya Mawasiliano nchini(TCRA)...

 

9 years ago

Michuzi

JE WAJUA MKATABA WAKO WA AJIRA NI WA AINA GANI KISHERIA.


Na  Bashir  Yakub
Kama  ilivyo  makubaliano  katika  shughuli  nyingine  za  kijamii  ajira  nayo  huwa  na  makubaliano  maalum  wakati   inapoingiwa. Makubaliano  haya ndiyo  huitwa  mkataba na  yumkini  huingiwa  kati  ya  wahusika  wawili  yaani  muajiriwa  na  muajiri. Aina  ya  mahusiano  wanayoingia  wahusika  ndiyo  huibua  aina za haki  na   wajibu  kwa  pande  zote  mbili. Mwenye  haki  hutakiwa  kutoa  haki  hiyo  kwa  mwenzake  naye  mwenye  wajibu  huwa  hana hiari  isipokuwa ...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: KISHERIA MATUNZO KWA MWANAMKE HUENDELEA KUTOLEWA HATA BAADA YA KUTENGANA NAYE

Na  Bashir  Yakub.Suala   la  matunzo  haliishi  tu kwa  mtoto/ watoto.  Wengi  wa  wanaume wamekuwa  wakipendelea  kuwajibika  kwa  kutoa  matunzo  ya  watoto  na  kumuacha  mwanamke.  Jambo  hili  si  sawa  na  halikubaliki  kisheria. Ni  vema  kufahamu    kuwa  suala  la matunzo  kwa  mwanamke  limegawanyika   mara  nne.  Kwanza   kuna  matunzo  kipindi  ambacho  ni  cha  ndoa  ambapo  hakuna  mgogoro  wowote  baina  ya  wanandoa. Pili  kuna  matunzo  kwa  mwanamke  kipindi  ambacho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani