MAKALA YA SHERIA: KISHERIA ALIYEFUNGA NDOA YA MKE MMOJA HAWEZI KUOA MKE WA PILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-l-C7WpxHWJw/VYr7NWmkVGI/AAAAAAAHjn0/HY9ExkXfZEQ/s72-c/african-weddings%2B%25281%2529.jpg)
Na Bashir YAkub
Sura ya 29 Sheria ya ndoa imeeleza mambo mengi . Baadhi yanajulikana na baadhi hayajulikani. Wakati mwingine hata baadhi ya yanayojulikana haijulikani kama yameruhusiwa na sheria au yanafanyika kimazoea. Na hapa ndipo inapoibukia migogoro mingi ambayo tunayoshuhudia mahakamani na hata nje ya mahakama. Aidha sheria hii imebeba mambo mengi ya talaka, matunzo ya watoto na mwanamke, jinai za unyanyasaji wa kijinsia, ndoa haramu ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g3fkfqmzjBA/VPN81rBbEBI/AAAAAAAHG0o/--NlsHTonD8/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MKE ASIYE WA NDOA NA MTOTO WA NJE YA NDOA HAWARITHI KISHERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-g3fkfqmzjBA/VPN81rBbEBI/AAAAAAAHG0o/--NlsHTonD8/s1600/law_5.jpg)
Kumekuwepo na utata mkubwa kuhusu urithi wa mali za marehemu hasa inapotokea kuwa marehemu alikuwa na mke zaidi ya mmoja na hapohapo watoto wanaotokana na mama tofauti. Tumeshashuhudia magomvi makubwa misibani lakini pia tumeshuhudia na tunaendelea kushuhudia utitiri wa mashauri kuhusu mkanganyiko wa mali za marehemu ambaye familia yake ni ya watoto wanatokana na mama tofauti. Kutokana na hayo kuna umuhimu mkubwa wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8tRtbUJ3HO4/VN0QOK6LUmI/AAAAAAAHDYM/pbg04cUgsOM/s72-c/download.jpeg)
MAKALA YA SHERIA: KISHERIA, MAHUSIANO KATI YA MME NA MKE KWA MIAKA MIWILI NI NDOA
![](http://1.bp.blogspot.com/-8tRtbUJ3HO4/VN0QOK6LUmI/AAAAAAAHDYM/pbg04cUgsOM/s1600/download.jpeg)
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania, zipo aina nyingi za ndoa. Pamoja na kuwa na aina nyingi za ndoa, ndoa hizi tunaweza kuzigawa katika makundi makuu mawili. Kwanza, ndoa za serikali(civil marriage) na Pili ni ndoa za kimila(customary marriage).
Ndoa za serikali ni zile ndoa zinazofungwa kwa mkuu wa Wilaya, Msajili wa ndoa pamoja na katika Ofisi nyingine za serikali kama Ubalozini n.k.
Ndoa za kimila ni zile ndoa zinazofungwa kulingana na taratibu za kabila la wahusika; kwa mfano...
9 years ago
Bongo503 Nov
Cassim Mganga apanga kuoa mke wa pili
![11078950_1402240830096916_1993740470_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11078950_1402240830096916_1993740470_n-300x194.jpg)
Hitmaker wa Subira, Cassim Hemedy Mganga amesema anafikiria kuoa mke wa pili.
Akizungumza kwenye kipindi cha Mkasi, Cassim alisema anaamini kuwa Mungu amewataka wanaume kuwahifadhi wanawake kwa kuwaoa. “Natarajia, muislamu mimi, Cassim alijibu kama anataka kuona mke wa pili.
“Nasema haya kwanza ni maamuzi na dini yetu inaheshimu hii sheria. Lakini lazima tuwahifadhi akina mama, tunaruhusiwa na si lazima, unaruhusiwa kama una uwezo wa kuwahudumia.”
Cassim ni baba wa mtoto mmoja.
Jiunge na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q1FuZ6uQ5Z1Uoq8z546pbcSOkJBJJH3ztW4kE8Y3fRNucZ74avpGk*rJ8PVm4hJcmboj0YmBeO*Vry0TmgjZN84/ndoa.jpg)
WANAUME HURU KUOA MKE ZAIDI YA MMOJA NCHINI KENYA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WPj9IlWixIU/VOJe7-3evlI/AAAAAAAHEHo/93lhP6X1ALg/s72-c/images.jpeg)
MAKALA YA SHERIA: KISHERIA MAMA WA NYUMBANI ANASTAHILI MGAO WA MALI NDOA INAPOVUNJIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-WPj9IlWixIU/VOJe7-3evlI/AAAAAAAHEHo/93lhP6X1ALg/s1600/images.jpeg)
Ndoa inapovunjika kuna kuna mambo makuu matatu ambayo hutokea yakiwa kama matokeo ya ndoa hiyo kuvunjika. Kwanza ni kugawana mali walizochuma wanandoa , pili hifadhi ya watoto na tatu matunzo ya watoto. Haya ni matokeo ya kuvunjika kwa ndoa, mengine zaidi kuhusu kuvunjika kwa ndoa tutayaona hapa wakati nikieleza mgawanyo wa mali za wanandoa.
1.MALI ZIPI HUTAKIWA HUGAWANYWA NDOA INAPOVUNJIKA.
Ndoa inapotangazwa kuvunjika mali ambazo hupaswa kugawanywa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--q5pOEu1H0g/VO1xF1d2pOI/AAAAAAAHFw8/G2cITBf59is/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: WATOTO WA MAREHEMU, MKE/MME, WAJUKUU.N.K HUGAWANAJE MIRATHI
![](http://1.bp.blogspot.com/--q5pOEu1H0g/VO1xF1d2pOI/AAAAAAAHFw8/G2cITBf59is/s1600/law_5.jpg)
Mara nyingi nimeandika kuhusu mirathi lakini zaidi nimegusia habari ya usimamizi wa mirathi . Leo nimeona ni muhimu kueleza mgao wa mirahi kwa kuangalia nani anapata nini kupitia Sheria ya mirathi ya serikali. Fuatana nami.
( A ) MGAO UKOJE IKIWA MUME AMEFARIKI AKAACHA MJANE, WATOTO NA NDUGU ZAKE.
Kama mume amefariki na akaacha mjane na watoto basi moja ya tatu ( 1/3) ya mali za marehemu zilizo kwenye mirathi anatakiwa apewe mke wake. Mbili ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0NN-LABgVJs/VRnBF4iXhdI/AAAAAAAHOdw/n35tfWtQooc/s72-c/Divorce-in-Islam.jpg)
JE WAJUA MGAWANYO WA MALI NDOA YA MKE ZAIDI YA MMOJA INAPOVUNJIKA?.
![](http://4.bp.blogspot.com/-0NN-LABgVJs/VRnBF4iXhdI/AAAAAAAHOdw/n35tfWtQooc/s1600/Divorce-in-Islam.jpg)
Kipindi cha nyuma wakati nikieleza masuala ya sheria za ndoa niliwahi kueleza utaratibu wa mgawanyo wa mali iwapo ndoa inavunjika. Kimsingi nilieleza mgawanyo wa mali katika msingi wa uwepo wa ndoa ya mke mmoja. Sikuwahi kueleza mgawanyo wa mali iwapo ndoa ni ya mke zaidi ya mmoja. Wengi waliuliza swali hili ambapo baadhi niliwajibu na baadhi sikuwajibu. Leo sasa nitaeleza mgawanyo wa mali ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1bpm*HH-DycXKB5KgnqbMwYsfJKvkqrHJGTpx7MWWpWaUWOEnOhTp7qfkQJjauM*DrusdV-y0LWKXZPeyZc*zxC/334.jpg?width=650)
MKE AANGUA KILIO KANISANI MUMEWE AKIFUNGA NDOA YA PILI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ad3__WwW3qs/VLLg4_swIEI/AAAAAAAG8yw/jhr-Ps0TUOs/s72-c/images.jpg)
MAKALA YA SHERIA: UNAPONUNUA KIWANJA/NYUMBA HAKIKISHA MKE WA MNUNUZI ANASAINI DOCUMENT HII, USITAPELIWE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ad3__WwW3qs/VLLg4_swIEI/AAAAAAAG8yw/jhr-Ps0TUOs/s1600/images.jpg)