JE WAJUA MGAWANYO WA MALI NDOA YA MKE ZAIDI YA MMOJA INAPOVUNJIKA?.
![](http://4.bp.blogspot.com/-0NN-LABgVJs/VRnBF4iXhdI/AAAAAAAHOdw/n35tfWtQooc/s72-c/Divorce-in-Islam.jpg)
Na Bashir Yakub.
Kipindi cha nyuma wakati nikieleza masuala ya sheria za ndoa niliwahi kueleza utaratibu wa mgawanyo wa mali iwapo ndoa inavunjika. Kimsingi nilieleza mgawanyo wa mali katika msingi wa uwepo wa ndoa ya mke mmoja. Sikuwahi kueleza mgawanyo wa mali iwapo ndoa ni ya mke zaidi ya mmoja. Wengi waliuliza swali hili ambapo baadhi niliwajibu na baadhi sikuwajibu. Leo sasa nitaeleza mgawanyo wa mali ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjKGO08Ol-TdLcDMKNqmE7R2r4IkMeyAY-nxvN8*x9xGXVjtiV0AtA33oJQ-PL0obj*B30WzMV7SrO7Ty0RHk1th/laws.jpg?width=650)
KISHERIA LAZIMA MAMA WA NYUMBANI KUPATA MGAO WA MALI NDOA INAPOVUNJIKA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WPj9IlWixIU/VOJe7-3evlI/AAAAAAAHEHo/93lhP6X1ALg/s72-c/images.jpeg)
MAKALA YA SHERIA: KISHERIA MAMA WA NYUMBANI ANASTAHILI MGAO WA MALI NDOA INAPOVUNJIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-WPj9IlWixIU/VOJe7-3evlI/AAAAAAAHEHo/93lhP6X1ALg/s1600/images.jpeg)
Ndoa inapovunjika kuna kuna mambo makuu matatu ambayo hutokea yakiwa kama matokeo ya ndoa hiyo kuvunjika. Kwanza ni kugawana mali walizochuma wanandoa , pili hifadhi ya watoto na tatu matunzo ya watoto. Haya ni matokeo ya kuvunjika kwa ndoa, mengine zaidi kuhusu kuvunjika kwa ndoa tutayaona hapa wakati nikieleza mgawanyo wa mali za wanandoa.
1.MALI ZIPI HUTAKIWA HUGAWANYWA NDOA INAPOVUNJIKA.
Ndoa inapotangazwa kuvunjika mali ambazo hupaswa kugawanywa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-l-C7WpxHWJw/VYr7NWmkVGI/AAAAAAAHjn0/HY9ExkXfZEQ/s72-c/african-weddings%2B%25281%2529.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KISHERIA ALIYEFUNGA NDOA YA MKE MMOJA HAWEZI KUOA MKE WA PILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-l-C7WpxHWJw/VYr7NWmkVGI/AAAAAAAHjn0/HY9ExkXfZEQ/s640/african-weddings%2B%25281%2529.jpg)
Na Bashir YAkub
Sura ya 29 Sheria ya ndoa imeeleza mambo mengi . Baadhi yanajulikana na baadhi hayajulikani. Wakati mwingine hata baadhi ya yanayojulikana haijulikani kama yameruhusiwa na sheria au yanafanyika kimazoea. Na hapa ndipo inapoibukia migogoro mingi ambayo tunayoshuhudia mahakamani na hata nje ya mahakama. Aidha sheria hii imebeba mambo mengi ya talaka, matunzo ya watoto na mwanamke, jinai za unyanyasaji wa kijinsia, ndoa haramu ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q1FuZ6uQ5Z1Uoq8z546pbcSOkJBJJH3ztW4kE8Y3fRNucZ74avpGk*rJ8PVm4hJcmboj0YmBeO*Vry0TmgjZN84/ndoa.jpg)
WANAUME HURU KUOA MKE ZAIDI YA MMOJA NCHINI KENYA
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Wosia, sheria zinazosimamia mgawanyo wa mali
WOSIA ni kauli inayotolewa na mtu wakati wa uhai wake kwa hiari yake kuonyesha jinsi gani angependa mali yake igawanywe baada ya kufa kwake. Wosia unaweza kuwa wa mdomo na...
9 years ago
Dewji Blog02 Sep
Mmliki wa St. Mathew achomolewa kesi ya talaka na mgawanyo wa mali
Na Mwandishi wetu
MAHAKAMA ya Mwanzo Mbagala, Dar es Salaam imesema haiwezi kumuamuru Mmiliki wa nne za Shule za Sekondari, St Mathew na St Marks ,Thadei Mtembei kutoa talaka kwa Magreth Mwangu kutokana na ndoa yao kuwa batili.
Akisoma hukumu hiyo leo, Hakimu Rajab Tamambele alisema ndoa aliyofunga Mwangu pamoja na Mtembei ambayo ni ya kimila ni batili kwa kuwa mdai hakutoa cheti cha ndoa hiyo ilipofungwa.
Alisema kwa misingi hiyo, mahakama haiwezi kumuamuru Mtembei kutoa talaka kwani...
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Mmliki wa St. Mathew, St. Mark adaiwa talaka na mgawanyo wa mali
Na Mwandishi Wetu
MDAI katika kesi ya madai ya talaka na mgawanyo wa mali Magreth Mwangu mkazi wa Mkoani Singida dhidi ya Mkurugenzi wa Shule za sekondari za St.Mathew na St Marks Thadei Mtembei amelalamikia kitendo cha Benki ya CRDB kutoa taarifa zake za benki bila idhini yake wala ya mahakama.
Pia ameilalamikia mahakama ya Mwanzo Kizuiani inayosikiliza kesi hiyo kwa kutumia Wakili wa kujitegemea licha ya kuwa mawakili hawaruhusiwi katika mahakama ya Mwanzo.
Kesi hiyo inasikilizwa na...
9 years ago
StarTV17 Dec
Mgawanyo Wa Mali, Watumishi Madiwani Ulanga na Malinyi wavutana
Mvutano mkali umezuka baina ya madiwani wa Halmashauri ya Ulanga na wale wa Halmashauri mpya ya Malinyi baada ya Madiwani wa Malinyi kutaka kupewa muongozo na kufahamishwa juu ya mgawanyo wa mali na watumishi utakaofanyika katika halmashauri hizo.
Mjadala huo umetokea mara baada ya mkurungezi wa Ulanga kusoma taarifa ya utekelezaji wa kipindi cha miezi sita ambacho madiwani hao hawakuwepo ndipo wakaanza kuhoji ni kwa nini hakuna taarifa ya mgawanyo huo hatua iliyomlazimu mkuu wa Mkoa...
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Hukumu ya Kesi ya talaka na mgawanyo wa mali ya mwenye shule za St Mathew kesho
Na Mwandishi Wetu
MAHAKAMA ya Mwanzo Kizuiani Mbagala Jijini Dar es Salaam, kesho, Oktoba 25 inatarajia kutoa hukumu kwenye kesi ya madai ya talaka na mgawanyo wa mali iliyofunguliwa na mkazi wa Singida, Magreth Mwangu dhidi ya Mkurugenzi wa Shule ya Sekondari ya St. Mathew na St. Marks,Thadei Mtembei.
Katika madai yake ya Msingi, Mwangu anaomba mahakama imuamuru mdaiwa kutoa Sh. Milioni 800 na makazi ya kukaa mdai na watoto wake.
Kesi hiyo inasikilizwa na Hakimu Rajab Tamaambele.
Miongoni...