Wahimizwa kuchangamkia biashara Comoro
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amewahimiza wafanyabiashara wa Tanzania kuchangamkia fursa za biashara na uwekezaji Visiwani Comoro, kwani uhusiano baina ya nchi hizo mbili umeimarika.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV10 Oct
Wadau barani Afrika wahimizwa kuchangamkia fursa za biashara
Wadau wa sekta ya uchumi barani Afrika wamehimizwa kuzichangamkia fursa za biashara na masoko kwa kuzingatia uwekezaji madhubuti ili kukuza uchumi wa nchi zao.
Wito huo umetolewa jijini Nairobi na meneja masoko wa kampuni ya Kenya airways Chris Diaz, akijielekeza zaidi kuzungumzia wajibu wa makampuni ya kibiashara barani Afrika kuzisaidia nchi za kiafrika kufanikisha mpango wa maendeleo wa 2030.
Mpango wa miaka kumi na tano ulioainishwa na Umoja wa mataifa hivi karibuni ukilenga kumaliza...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SMxCktd9lV8/VTpa8ewIU8I/AAAAAAAHS9Y/dX_YT_EvH14/s72-c/unnamed%2B(99).jpg)
Membe awahimiza Watanzania kuchangamkia fursa za kibiashara na kuwekeza katika Visiwa vya Comoro
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Mtwara, Lindi wahimizwa kuchangamkia fursa
WANANCHI wa mikoa ya Lindi na Mtwara, wametakiwa kuchangamkia fursa zinazotokana na kuongezeka kwa uwekezaji katika mikoa hiyo kutokana na kugundulika kwa gesi asilia. Akizungumza na Waandishi wa Habari katika...
10 years ago
Vijimambo23 Jan
Watanzania wahimizwa kuchangamkia fursa za ajira, Emirates
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-xDr2YplPBiI/VTiy5LdTXsI/AAAAAAABXj0/RNUhSgFoigU/s72-c/Picha%2B2%2BComoro.jpg)
WAZIRI CHIZA AHUDHURIA KONGAMANO LA BIASHARA COMORO
![](http://3.bp.blogspot.com/-xDr2YplPBiI/VTiy5LdTXsI/AAAAAAABXj0/RNUhSgFoigU/s1600/Picha%2B2%2BComoro.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-S6ZKV6JgOWc/VTiz3GKJJHI/AAAAAAABXkI/hqTMHpl76pc/s1600/PIcha%2BNo%2B1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rYC1B31H6Vk/XmvQAlviRGI/AAAAAAABMvo/fx9kFzJo23Iecj46H4ijSBTwxO6PItMewCNcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
DC MASASI AWATAKA WAFANYABIASHARA KUCHANGAMKIA FURSA NA NBC BIASHARA CLUB
Mzee amesema, Kuanzishwa kwa NBC Biashara Club liwe ni ni zoezi endelevu ili liweze kuleta tija katika mkoa wa Masasi.
Ameongeza kusema kuwa, kadri watakavyo hudumia wafanyabiashara ndivyo watakavyozidi kuleta fedha kwenye benki.
"Wafanyabiashara wa Masasi wawe makini nkuchangamkia fursa zinazojitokeza ili muweze...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OwPBlT_ORVM/VTigDEeUPqI/AAAAAAAHSuc/LSwc8iM07SI/s72-c/unnamed%2B(97).jpg)
Waziri Chiza kuhudhuria kongamano Kubwa la Biashara Visiwa vya Comoro
Lengo kuu la kongamano hilo ni “kuongeza kiwango cha biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na Comoro kwa kutambua fursa zilizopo kati ya nchi hizi mbili na kurasimisha biashara ambayo kwa sasa hairatibiwi”.
Kongamano hilo ambalo litawakutanisha viongozi, maafisa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Tw81UHILW7g/Vb836EeOjUI/AAAAAAAAS3Y/ryFyCNXSYNY/s72-c/unnamed.jpg)
WAFANYABIASHARA MKOANI SHINYANGA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA BIASHARA KATIKA MIGODI YA ACACIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Tw81UHILW7g/Vb836EeOjUI/AAAAAAAAS3Y/ryFyCNXSYNY/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QH3Ap0l4u-A/Vb83o5NY4sI/AAAAAAAAS2o/mOCVUJ-rGdY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xWcg3a1yFqU/Vb83o35ghoI/AAAAAAAAS2k/DFxWzfDwO18/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SqBfiynwYt4/Vb83ozNkBBI/AAAAAAAAS2g/8waExSdjUOM/s640/3.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima19 Sep
Mbeya wahimizwa kusajili majina ya biashara zao
WAFANYABIASHARA mkoani Mbeya, wametakiwa kusajili majina ya biashara zao kama moja ya njia ya kuzirasimisha na hatimaye kuwa na uwezo wa kufaidika na huduma za kibenki. Rai hiyo ilitolewa mjini...