Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Namna ya kusajili biashara yoyote

Imekuwa ni kawaida kwa watu hapa nchini kufanya biashara bila kufuata taratibu na kanuni za kisheria.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Namna ya kusajili taasisi za kidini

Taasisi za kidini zinasajiliwa katika ofisi za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Hii ni pamoja na makanisa, misikiti, huduma au taasisi yoyote inayojihusisha na mambo ya kidini.

 

10 years ago

Mwananchi

Namna ya kusajili mashirika ya kijamii

Mashirika au vyama vya kijamii yanasimamiwa na Sheria ya Vyama vya Kijamii (The Societies Act). Usajili wa mashirika haya hufanyika katika Wizara ya Mambo ya Ndani kupitia ofisi ya Msajili wa Vyama.

 

9 years ago

Mwananchi

MJASIRIAMALI : Biashara yoyote inapaswa kuwa na maadili

Mara nyingi baadhi ya watu wamekuwa wakifikiri kuwa wajasiriamali ni watu wanaoendesha shughuli zao bila mfumo na maadili.

 

11 years ago

Mwananchi

Umuhimu na jinsi ya kusajili alama za biashara

Watanzania wengi tunamiliki biashara; tunazipa majina mbalimbali biashara au huduma zetu. Baada ya muda huduma au biashara unayoendesha inakuwa bora kila mtu anaipenda.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Brela na harakaki za kusajili majina ya biashara

HIVI karibuni, kuhusu Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) kupitia Ofisa Mtendaji Mkuu wake na Msajili wa Makampuni, Frank Kanyusi ilitangaza siku 90 kwa wamiliki na wakurugenzi wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbeya wahimizwa kusajili majina ya biashara zao

WAFANYABIASHARA mkoani Mbeya, wametakiwa kusajili majina ya biashara zao kama moja ya njia ya kuzirasimisha na hatimaye kuwa na uwezo wa kufaidika na huduma za kibenki. Rai hiyo ilitolewa mjini...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA SHERIA: HAITOSHI KUUNDA KAMPUNI, LAZIMA UWE NA LESENI YA BIASHARA, HII NI NAMNA YA KUPATA LESENI YA BIASHARA

Na   Bashir     Yakub
Katika  makala  iliyopita  nilisema  kuwa  vijana  wengi   wajasiriamali  wanaofungua   biashara  za  makampuni   wanao  uwezo  mkubwa   wa kufika mbali   isipokuwa  tatizo  lao  ni  taarifa za  mambo  mbalimbali   kuhusu uendeshaji  wa  kampuni   hizo. 
 Mambo  ya uendeshaji   wa  kampuni  ni  mepesi sana  na  yanawezwa   na  mtu  yeyote isiopokuwa   tatizo   ni   taarifa   na  elimu ya  namna  ya  uendeshaji  kisheria   ili   kampuni   ionekane  ni kampuni.  Nilieleza...

 

11 years ago

Mwananchi

Namna ya kukabiliana na changamoto za biashara

Wataalamu mbalimbali wa uchumi duniani wamefanya utafiti na kubaini kuwa biashara zinazoanza zinakabiliana na changamoto mbalimbali kwani takriban asilimia 64 ya biashara hushindwa kuendelea ndani ya miaka mitano tangu zimeanzishwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Namna ya kufanya biashara kwa faida

Tumekuwa tukisoma na hata kusikia mazungumzo ya kawaida na kwenye vyombo vya habari juu ya ndoto za wajasiriamali mbalimbali wakisema wanataka kuwa kama mfanyabiashara fulani maarufu kutokana na biashara wanazozifanya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani