Namna ya kufanya biashara kwa faida
Tumekuwa tukisoma na hata kusikia mazungumzo ya kawaida na kwenye vyombo vya habari juu ya ndoto za wajasiriamali mbalimbali wakisema wanataka kuwa kama mfanyabiashara fulani maarufu kutokana na biashara wanazozifanya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AHtCAqhEx-Y/XvSfh6YnF_I/AAAAAAALvZA/GMhSF9u2y_saCX-gR-Zw2ijpolspJrvagCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200624-WA0041.jpg)
NAMNA BIASHARA YA UTUMWA ILIVYOANZA KWA KUUZA WAFUNGWA IRISH
![](https://1.bp.blogspot.com/-AHtCAqhEx-Y/XvSfh6YnF_I/AAAAAAALvZA/GMhSF9u2y_saCX-gR-Zw2ijpolspJrvagCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200624-WA0041.jpg)
Katika miaka ya 1660 Irishi ilikua kitovu cha biashara ya utumwa na wengi wao waliuzwa katika maeneo ya Antigua na Montserrat na kwa wakati huo asilimia 70 ya watu Montserrat walikuwa watumwa kutoka Irish.
Irish imeandikwa katika historia kwa kuwa kitovu cha biashara ya wanadamu...
10 years ago
Michuzi19 Feb
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3rYO1fT7-a8/VMapyZS60II/AAAAAAAG_o0/ZnWy8X5VYn0/s72-c/12.jpg)
MAKALA SHERIA: HAITOSHI KUUNDA KAMPUNI, LAZIMA UWE NA LESENI YA BIASHARA, HII NI NAMNA YA KUPATA LESENI YA BIASHARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3rYO1fT7-a8/VMapyZS60II/AAAAAAAG_o0/ZnWy8X5VYn0/s1600/12.jpg)
Katika makala iliyopita nilisema kuwa vijana wengi wajasiriamali wanaofungua biashara za makampuni wanao uwezo mkubwa wa kufika mbali isipokuwa tatizo lao ni taarifa za mambo mbalimbali kuhusu uendeshaji wa kampuni hizo.
Mambo ya uendeshaji wa kampuni ni mepesi sana na yanawezwa na mtu yeyote isiopokuwa tatizo ni taarifa na elimu ya namna ya uendeshaji kisheria ili kampuni ionekane ni kampuni. Nilieleza...
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Mbinu sahihi za kufanya biashara kwa mafanikio
10 years ago
Bongo511 Nov
Wasomi wengi hawawezi kufanya biashara, ila wanasaidia biashara nyingi kukua
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Lengo ni kuwawezesha kufanya biashara zao kwa tija
9 years ago
Mtanzania17 Sep
Kizimbani kwa kupeleka wanawake Kenya kufanya biashara ya ngono
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WANAWAKE wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kusafirisha mabinti kutoka Tanzania kwenda Kenya kwa ajili ya kuwafanyisha ngono.
Washtakiwa hao Jackline Milinga (23) na Mary Amukowa (29) ambaye ni Mkenya walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashtaka ya kuwasafirisha mabinti 10.
Wakisomewa mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Waliarwande Lema na Wakili wa Serikali, Jackline Nyantori na Selestine Makoba walidaiwa kutenda...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4AE2pg-iTOs/Uzf3ncSzWWI/AAAAAAAACTk/by-GRdrCoU4/s72-c/MALAYA+WA+DAR.jpg)
KIZIMBANI KWA KUPELEKA WANAWAKE KENYA KUFANYA BIASHARA YA NGONO
![](http://4.bp.blogspot.com/-4AE2pg-iTOs/Uzf3ncSzWWI/AAAAAAAACTk/by-GRdrCoU4/s1600/MALAYA+WA+DAR.jpg)
WANAWAKE wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kusafirisha mabinti kutoka Tanzania kwenda Kenya kwa ajili ya kuwafanyisha ngono.
Washtakiwa hao Jackline Milinga (23) na Mary Amukowa (29) ambaye ni Mkenya walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashtaka ya kuwasafirisha mabinti 10.
Wakisomewa mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Waliarwande Lema na Wakili wa Serikali, Jackline Nyantori na Selestine Makoba walidaiwa kutenda...
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Faida za kutathmini biashara
WAFANYABIASHARA wengi hawana utamaduni wa kupima hali ya biashara zao, wamekuwa wakifanya biashara kimazoea. Jambo hilo huwagharimu na hata wakati mwingine biashara inashindwa kustahimili na kuanguka kabisa. Biashara inapaswa kuchekiwa...