Lengo ni kuwawezesha kufanya biashara zao kwa tija
Halmashahuri ya Manispaa ya Morogoro, kwa kushirikiana na Chuo cha Ufundi Stadi (Veta), inakusudia kuanzisha mpango maalumu wa elimu kwa wajasiriamali wadogo wenye lengo la kuwawezesha kupata maarifa ya kuendesha biashara zao kwa tija.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog05 Sep
Mifumo ya biashara ya Jotoardhi ina tija kwa taifa
Naibu Kiongozi wa Timu ya Shirika linanoshughulikia masuala ya Jotoardhi Afrika Mashariki (EAGER) Bw. John Heath akiwaelimisha wadau mbalimbali wa Kampuni inashughulikia Uendelezaji wa Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Wizara ya Nishati na Madin, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) pamoja na wadau wa Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO) kuhusu Mifumo mbalimbali ya biashara kwa soko la Jotoardhi. Warsha inayofanyika tarehe 2- 4 Septemba, 2015 jijini Dar es...
11 years ago
MichuziKATAA UMEME FAMILY YAWAKEMEA WATU WANAOTUMIA PICHA ZAO KWENYE BIASHARA ZAO ZA MADAWA YA KUPUNGUZA UZITO
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Namna ya kufanya biashara kwa faida
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Mbinu sahihi za kufanya biashara kwa mafanikio
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wu_jzvmv_pc/VUot_w-d03I/AAAAAAAAAYY/ofX1VHDlt0c/s72-c/DSC_0671.jpg)
WAFUGAJI WATAKIWA KUFANYA SHUGHULI ZAO KWA KUFUATA SHERIA-CCWT
10 years ago
Bongo511 Nov
Wasomi wengi hawawezi kufanya biashara, ila wanasaidia biashara nyingi kukua
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4AE2pg-iTOs/Uzf3ncSzWWI/AAAAAAAACTk/by-GRdrCoU4/s72-c/MALAYA+WA+DAR.jpg)
KIZIMBANI KWA KUPELEKA WANAWAKE KENYA KUFANYA BIASHARA YA NGONO
![](http://4.bp.blogspot.com/-4AE2pg-iTOs/Uzf3ncSzWWI/AAAAAAAACTk/by-GRdrCoU4/s1600/MALAYA+WA+DAR.jpg)
WANAWAKE wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kusafirisha mabinti kutoka Tanzania kwenda Kenya kwa ajili ya kuwafanyisha ngono.
Washtakiwa hao Jackline Milinga (23) na Mary Amukowa (29) ambaye ni Mkenya walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashtaka ya kuwasafirisha mabinti 10.
Wakisomewa mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Waliarwande Lema na Wakili wa Serikali, Jackline Nyantori na Selestine Makoba walidaiwa kutenda...
9 years ago
Mtanzania17 Sep
Kizimbani kwa kupeleka wanawake Kenya kufanya biashara ya ngono
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WANAWAKE wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kusafirisha mabinti kutoka Tanzania kwenda Kenya kwa ajili ya kuwafanyisha ngono.
Washtakiwa hao Jackline Milinga (23) na Mary Amukowa (29) ambaye ni Mkenya walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashtaka ya kuwasafirisha mabinti 10.
Wakisomewa mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Waliarwande Lema na Wakili wa Serikali, Jackline Nyantori na Selestine Makoba walidaiwa kutenda...