MJASIRIAMALI : Biashara yoyote inapaswa kuwa na maadili
Mara nyingi baadhi ya watu wamekuwa wakifikiri kuwa wajasiriamali ni watu wanaoendesha shughuli zao bila mfumo na maadili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 May
Namna ya kusajili biashara yoyote
5 years ago
BBCSwahili13 Mar
Biashara ya mapambo yamtayarisha mjasiriamali wa kike
5 years ago
BBCSwahili21 Apr
Lewis Hamilton amesema kuwa hana nia yoyote ya 'kuihama' Mercedes.
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
ANNASIMA MNUBI: Kuwa mjasiriamali si lazima uwe na mtaji mkubwa
Ni wazi kuwa hali ngumu ya kiuchumi ndiyo iliyowafanya wanawake wengi wakajiingiza katika ujasiriamali na kuachana na dhana ya utegemezi kwa wanaume wao kama ilivyokuwa awali. Wanawake kwa sasa wamekuwa...
5 years ago
BBCSwahili18 May
Joshna Maharaj: Mpishi maarifu atoboa siri kuwa hakuwa na uwezo wa kunusa harufu yoyote kwa miaka mitano
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QltHpcOjYwI/XoH2qUkgE1I/AAAAAAALllA/5q3xg4GDbog7jiegIqDlcUVO5z9-ea0ewCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Waziri wa Viwanda na Biashara ampongeza mjasiriamali mtanzania aliyebuni kifaa maalumu cha kunawia mikono ili kujikinga na virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-QltHpcOjYwI/XoH2qUkgE1I/AAAAAAALllA/5q3xg4GDbog7jiegIqDlcUVO5z9-ea0ewCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Akizungumza leo Waziri Bashungwa amempongeza Jonas Urio kwa ubunifu wake huo wa kutengeza kifaa kizuri na bora cha kunawia mikono ambacho kinaweza kutumiwa na taasisi mbalimbali za serikali na binafsi kuhudumia watu mbalimbali kusafisha mikono yao ili kuendeleza...
9 years ago
Mwananchi27 Aug
MJASIRIAMALI : Mazingira yanawezaje kumuathiri mjasiriamali?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_zJkLzAx7PQ/XoH6Grb4OjI/AAAAAAALllU/YowQO_PlklAlHSu9ZY5YdiwJd_fBf2LuwCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
TIMU YA WATAALAM TISA KUTOKA WIZARA NNE YAUNDWA KUTIMIZA NDOTO YA MJASIRIAMALI KISANGANI YA KUWA BILIONEA
TIMU ya wataalam 9 kutoka Wizara ya Madini, Wiziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Wizara ya Viwanda na Biashara na Wiziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) imeundwa ili kumsaidia Mjasiliamali wa miaka 60 kutoka mkoani Njombe wilaya ya Ludewa, Reuben Mtitu maarufu Mzee Kisangani ili kutimiza ndoto yake ya kuwa bilionea baada ya kubuni kiwanda kinachotengeneza zana zinazotokana na madini ya chuma.
Kamati hiyo imeundwa...
10 years ago
Dewji Blog11 Sep
Usimamizi wa maadili Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Dar waongeza ufaulu
Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam (CBE) Prof. Emanuel Mjema akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu maadhimisho miaka 50 ya chuo hicho yanayoendelea jijini Dar es salaam.
Na Aron Msigwa –MAELEZO
Hatua iliyochukuliwa na uongozi wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam (CBE) kuendelea kuweka msisitizo katika usimamizi wa maadili kwa wanafunzi imeanza kuzaa matunda kufuatia kuogezeka kwa ufaulu wa masomo kwa wanafunzi wanaosoma chuoni hapo.
Hayo yamebainishwa leo...