Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ANNASIMA MNUBI: Kuwa mjasiriamali si lazima uwe na mtaji mkubwa

Ni wazi kuwa hali ngumu ya kiuchumi ndiyo iliyowafanya wanawake wengi wakajiingiza katika ujasiriamali na kuachana na dhana ya utegemezi kwa wanaume wao kama ilivyokuwa awali. Wanawake kwa sasa wamekuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

HAPPINESS: KUWA MISS TZ SI LAZIMA UWE MCHARUKO!

Stori: Imelda Mtema
Miss Tanzania 2013, Hapiness Watimanywa, ameibuka na kusema kuwa kunyakuwa taji la urembo wa Miss Tanzania sio tiketi ya kuwa na skendo mbalimbali au kufanya mambo ambayo ni kinyume na maadili. Miss Tanzania 2013, Hapiness Watimanywa. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Happy alisema kuwa anaamini siyo kwamba mtu anapopata taji la urembo ndiyo linampa kichwa cha kuwa mcharuko, bali inategemea na uelewa wa...

 

10 years ago

Bongo5

Je umeweza kuchunguza njia ya kufanya na kwenda ili uwe Mjasiriamali?

Una wazo zuri au kubwa la biashara, lakini huo ni mwanzo tu. Kuna habari za mtaani nyingi sana ukiona hivyo inawezekana ukafikiri kuwa utakuwa mtu uliyefanikiwa muda si mrefu sana. Hebu fikiria kwenye mpango wako na ujaribu kuangalia soko na maisha yako binafsi. Utahitajika kujua je mteja wako ni nani na uweze kuweka hiyo biashara […]

 

11 years ago

Michuzi

9 years ago

Bongo5

Redio na TV zitawalipa wasanii, asilimia 60 ya muziki utaochezwa lazima uwe wa nyumbani – Nape

Waziri Nape akihojiwa

Wakati baadhi ya wasanii na wadau mbalimbali wa burudani nchini wakiendelea kuwa na hofu juu ya mfumo mpya unaovitaka vituo vya redio na runinga kuwalipa wasanii mirahaba inayotokana na kucheza kazi zao, serikali imesema imeunda sheria ambayo itavifanya vishindwe kuepuka kucheza nyimbo za wasanii wa ndani.

Waziri Nape akihojiwa

Akizungumza na Bongo5 Jumanne hii kwenye uzinduzi wa filamu ya ‘Home Coming’ Mlimani City jijini Dar es Salaam, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnauye alisema...

 

9 years ago

GPL

MPOTO: NATAKA MSIBA WANGU UWE MKUBWA

Imelda mtema
Dah! Mwanamuziki mahiri wa mashairi ya kughani Bongo, Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ amefungua kinywa na kusema kuwa anataka siku akifa msiba wake uwe mkubwa.  Mwanamuziki mahiri wa mashairi ya kughani Bongo, Mrisho Mpoto ‘Mjomba’. Akizungumza na GlobalTV Online wikiendi iliyopita, Mpoto alisema kuwa siku zote anafikiria sana ni jinsi gani aongeze bidii kwenye kila jambo analofanya ili azidi kufahamika zaidi....

 

10 years ago

Bongo5

Mwana FA: Makampuni tusaidieni kuufanya muziki wetu uwe mkubwa, ni baada ya ushindi wa Diamond

Wasanii mbalimbali wakubwa na wadogo wameendelea kumpongeza Diamond Platnumz kwa ushindi mkubwa alioupata Jumamosi iliyopita baada ya kunyakua tuzo tatu za Channel O (CHOAMVA). Kupitia Instagram Mwana FA ameandika jinsi anavyouchukulia kwa uzito ushindi huo wa Platnumz pamoja na ushauri wake kwa makampuni na wadau katika kuwekeza kwenye muziki. “Sawa…nilikuwa nangoja woooote mmalize ili mnisikilize […]

 

10 years ago

Michuzi

WAHITIMU WAHIMIZWA KUWA NA MTAJI UJUZI

Mkuu wa Chuo cha Royal, Nsajigwa Lugano akizungumza na waandishi wa habari (hwapo pichani) waliohudhuria katika semina ya Wanachuo hicho,iliyoandaliwa na kampuni ya Mpango Mkakati pamoja na Shirika lisilo la Kiserikali la nchini Marekani la (VSO) semina iliyofanyika katika viwanja vya Chuo hicho jijini Dar es Salaam leo. Katika Semina hiyo, Wahitimu wameaswa kuutumia ujuzi wao katika kujiajiri na sio kusubia kuajiwa.Picha na Avila Kiango, Globu ya Jamii.Naibu Waziri wa Elimu wa chuo...

 

9 years ago

GPL

TUSIGEUZE UCHAGUZI KUWA MTAJI WA KUCHUMIA FEDHA

Mwenyekiti wa Nec, Jaji Damian Lubuva. TUMSHUKURU Mungu kwa kuwa nchi yetu ya Tanzania kwa mara nyingine tena inaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu, Oktoba 25, mwaka huu tukiwa na amani, hivyo ahimidiwe daima.Nasema hivyo kwa kuwa baadhi ya vijana waliofikisha miaka 18 hivi karibuni hawajawahi kushiriki kwenye uchaguzi wowote na uchaguzi huu ni wa kwanza kwao. Vijana hawa na watu wengine, wanahitaji kujifunza au kukumbushwa juu ya mambo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani