Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUSIGEUZE UCHAGUZI KUWA MTAJI WA KUCHUMIA FEDHA

Mwenyekiti wa Nec, Jaji Damian Lubuva. TUMSHUKURU Mungu kwa kuwa nchi yetu ya Tanzania kwa mara nyingine tena inaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu, Oktoba 25, mwaka huu tukiwa na amani, hivyo ahimidiwe daima.Nasema hivyo kwa kuwa baadhi ya vijana waliofikisha miaka 18 hivi karibuni hawajawahi kushiriki kwenye uchaguzi wowote na uchaguzi huu ni wa kwanza kwao. Vijana hawa na watu wengine, wanahitaji kujifunza au kukumbushwa juu ya mambo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAHITIMU WAHIMIZWA KUWA NA MTAJI UJUZI

Mkuu wa Chuo cha Royal, Nsajigwa Lugano akizungumza na waandishi wa habari (hwapo pichani) waliohudhuria katika semina ya Wanachuo hicho,iliyoandaliwa na kampuni ya Mpango Mkakati pamoja na Shirika lisilo la Kiserikali la nchini Marekani la (VSO) semina iliyofanyika katika viwanja vya Chuo hicho jijini Dar es Salaam leo. Katika Semina hiyo, Wahitimu wameaswa kuutumia ujuzi wao katika kujiajiri na sio kusubia kuajiwa.Picha na Avila Kiango, Globu ya Jamii.Naibu Waziri wa Elimu wa chuo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

ANNASIMA MNUBI: Kuwa mjasiriamali si lazima uwe na mtaji mkubwa

Ni wazi kuwa hali ngumu ya kiuchumi ndiyo iliyowafanya wanawake wengi wakajiingiza katika ujasiriamali na kuachana na dhana ya utegemezi kwa wanaume wao kama ilivyokuwa awali. Wanawake kwa sasa wamekuwa...

 

9 years ago

Michuzi

CCM YAANZA NA MTAJI WA UBUNGE KABLA YA UCHAGUZI MKUU

Ijumaa ikiwa ndio  ni siku ya Mwisho kuchukua na Kurejesha Fomu za Urais,Ubunge na Udiwani Katika Majimbo Yote ya Uchaguzi Nchini,Chama Cha Mapinduzi Kimeanza Vema Harakati Hizo baada ya Aliekuwa Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Abdallah Dadi Chikota (pichani) kupita bila kupingwa kuwa Mbunge wa Jimbo jipya la Nanyamba,Mkoani Mtwara
Hatua hiyo Imetokea baada ya wagombea wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Na aliekuwa Mgombea wa Chama cha Wananchi CUF Kutojitokeza Kurudisha Fomu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tusigeuze nchi gwaride la kijeshi

KATIKA siku za nyuma Watanzania wengi, Bara na Visiwani, walionekana kupumua pale Serikali ambayo ilikuwa ikipenda kutumia amri, badala ya sheria ilipoonekana kuwa na uvumiivu kwa watu kujieleza na kutoa maoni...

 

11 years ago

Habarileo

CWT watakiwa kuwa wawazi na fedha za michango

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk Rehema NchimbiUONGOZI wa Chama cha Walimu (CWT) umenasihiwa kuongeza uwazi juu ya fedha za chama zinazotokana na michango ya walimu ili kupunguza shutuma za ubadhirifu na matumizi mabaya ya fedha.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sarkozy ahojiwa kuhusu fedha za uchaguzi

Rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy anashikiliwa akihojiwa kutokana na matumizi mabaya ya fedha za uchaguzi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani