CWT watakiwa kuwa wawazi na fedha za michango
UONGOZI wa Chama cha Walimu (CWT) umenasihiwa kuongeza uwazi juu ya fedha za chama zinazotokana na michango ya walimu ili kupunguza shutuma za ubadhirifu na matumizi mabaya ya fedha.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8Rt6um2Zg0o/VnVZkA_r5LI/AAAAAAADD5E/EMlIxqfnKoc/s72-c/_MG_4310.jpg)
WATAOPEWA FEDHA ZA ELIMU BURE WATAKIWA KUWA NA UADILIFU NA UAMINIFU –SHIRIKISHO
![](http://2.bp.blogspot.com/-8Rt6um2Zg0o/VnVZkA_r5LI/AAAAAAADD5E/EMlIxqfnKoc/s320/_MG_4310.jpg)
SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), limesema kuwa waliopewa wajibu wa kusimamia fedha za elimu bure wanatakiwa uaminifu na uadilifu kutimiza suala hilo.
Akizungumza na waandishi habari Mwenyekiti wa Shirikisho hilo, Zainabu Abdallah amesema kuwa kwa wale ambao watakiuka matumizi ya fedha za elimu bure, wamemtaka Rais John Pembe Magufuli kutokuwa na huruma kwa yeyote atakayefanya urasimu usio na tija kukwamisha utekelezaji...
9 years ago
StarTV07 Oct
CWT chakanusha kuisaidia CCM fedha za kampeni
Chama cha Walimu Tanzania CWT kimekanusha habari zinazoenea katika mitandao ya kijamii kuwa viongozi wa chama hicho wamewasaliti wenzao na kukisaidia Chama cha Mapinduzi CCM fedha za Kampeni kiasi cha shilingi bilioni 35.
CWT pia wamepeleka taarifa hiyo katika Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA kuifanyia uchunguzi ili kumbaini anayesambaza taarifa hizo na iwapo atabainika atafikishwa mahakamani.
Baadhi ya tuhuma ambazo CWT kimetuhumiwa katika taarifa hiyo inayoenea kwa sasa ni kuwa...
10 years ago
Habarileo27 Feb
‘Tutakuwa wawazi uchimbaji mafuta
KUTOKANA na Sekta ya Nishati, Gesi na Mafuta kuwa sekta muhimu inayotupiwa macho kama eneo nyeti la uwekezaji, serikali imesema huu ni wakati wa kuwaweka Watanzania na wadau wazi kila mmoja afanye kazi yake kulingana na uwezo wa taaluma yake.
11 years ago
Habarileo23 Jul
Walioiba fedha za tumbaku watakiwa kukamatwa
VIONGOZI wote wanaotuhumiwa kushiriki katika wizi wa fedha za tumbaku za wakulima, wameamriwa wakamatwa na kufikishwa mbele ya sheria.
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Watakiwa kuacha kuhifadhi fedha majumbani
BODI ya Bima ya Amana imewataka wananchi kujenga utamaduni na kuendelea kuweka fedha benki, kwani ni njia salama na ina faida kiuchumi kwao na kwa nchi. Akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
Habarileo28 Jan
Waislamu watakiwa kuwa na subira
WAISLAMU wametakiwa kuwa na subira wakati viongozi waliopewa dhamana ya kulifuatilia suala la Mahakama ya Kadhi wakifuatilia majibu.
10 years ago
Habarileo24 Feb
Wasomi watakiwa kuwa makini
VIJANA wasomi nchini wametakiwa kutokuwa chambo na kutumiwa na baadhi ya wanasiasa wenye uchu wa kutaka madaraka ya nchi bali wawaepuke hususani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Wataalam watakiwa kuwa wabunifu
Waatalamu wa Sekta za Nishati na Madini, wametakiwa kuwa wabunifu katika maandalizi na usimamizi wa miradi ili sekta hizo ziwe na mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi wa nchi. Wito...
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Wabunge watakiwa kuwa wazalendo
CHAMA cha Waandishi wa Habari wa Kupiga Vita Matumizi ya Dawa za Kulevya na Uhalifu Tanzania (OJADACT), kimewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuwa wazalendo wa kuzipigania tunu za...