Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CWT watakiwa kuwa wawazi na fedha za michango

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk Rehema NchimbiUONGOZI wa Chama cha Walimu (CWT) umenasihiwa kuongeza uwazi juu ya fedha za chama zinazotokana na michango ya walimu ili kupunguza shutuma za ubadhirifu na matumizi mabaya ya fedha.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WATAOPEWA FEDHA ZA ELIMU BURE WATAKIWA KUWA NA UADILIFU NA UAMINIFU –SHIRIKISHO

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), limesema  kuwa waliopewa wajibu wa kusimamia fedha za elimu  bure wanatakiwa uaminifu na uadilifu kutimiza suala hilo.
Akizungumza na waandishi habari  Mwenyekiti wa Shirikisho hilo, Zainabu Abdallah amesema kuwa kwa wale ambao watakiuka matumizi ya fedha za elimu bure, wamemtaka Rais John Pembe Magufuli  kutokuwa na huruma kwa yeyote atakayefanya urasimu usio na tija kukwamisha utekelezaji...

 

9 years ago

StarTV

CWT chakanusha kuisaidia CCM fedha za kampeni

Chama cha Walimu Tanzania CWT kimekanusha habari zinazoenea katika mitandao ya kijamii kuwa viongozi wa chama hicho wamewasaliti wenzao na kukisaidia Chama cha Mapinduzi CCM fedha za Kampeni kiasi cha shilingi bilioni 35.

CWT pia wamepeleka taarifa hiyo katika Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA kuifanyia uchunguzi ili kumbaini anayesambaza taarifa hizo na iwapo atabainika atafikishwa mahakamani.

Baadhi ya tuhuma ambazo CWT kimetuhumiwa katika taarifa hiyo inayoenea kwa sasa ni kuwa...

 

10 years ago

Habarileo

‘Tutakuwa wawazi uchimbaji mafuta

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles MwijageKUTOKANA na Sekta ya Nishati, Gesi na Mafuta kuwa sekta muhimu inayotupiwa macho kama eneo nyeti la uwekezaji, serikali imesema huu ni wakati wa kuwaweka Watanzania na wadau wazi kila mmoja afanye kazi yake kulingana na uwezo wa taaluma yake.

 

11 years ago

Habarileo

Walioiba fedha za tumbaku watakiwa kukamatwa

VIONGOZI wote wanaotuhumiwa kushiriki katika wizi wa fedha za tumbaku za wakulima, wameamriwa wakamatwa na kufikishwa mbele ya sheria.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watakiwa kuacha kuhifadhi fedha majumbani

BODI ya Bima ya Amana imewataka wananchi kujenga utamaduni na kuendelea kuweka fedha benki, kwani ni njia salama na ina faida kiuchumi kwao na kwa nchi. Akizungumza na waandishi wa...

 

10 years ago

Habarileo

Waislamu watakiwa kuwa na subira

Sadiki Godigodi WAISLAMU wametakiwa kuwa na subira wakati viongozi waliopewa dhamana ya kulifuatilia suala la Mahakama ya Kadhi wakifuatilia majibu.

 

10 years ago

Habarileo

Wasomi watakiwa kuwa makini

VIJANA wasomi nchini wametakiwa kutokuwa chambo na kutumiwa na baadhi ya wanasiasa wenye uchu wa kutaka madaraka ya nchi bali wawaepuke hususani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wataalam watakiwa kuwa wabunifu

Waatalamu wa Sekta za Nishati na Madini, wametakiwa kuwa wabunifu katika maandalizi na usimamizi wa miradi ili sekta hizo ziwe na mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi wa nchi. Wito...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wabunge watakiwa kuwa wazalendo

CHAMA cha Waandishi wa Habari wa Kupiga Vita Matumizi ya Dawa za Kulevya na Uhalifu Tanzania (OJADACT), kimewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuwa wazalendo wa kuzipigania tunu za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani