CWT chakanusha kuisaidia CCM fedha za kampeni
Chama cha Walimu Tanzania CWT kimekanusha habari zinazoenea katika mitandao ya kijamii kuwa viongozi wa chama hicho wamewasaliti wenzao na kukisaidia Chama cha Mapinduzi CCM fedha za Kampeni kiasi cha shilingi bilioni 35.
CWT pia wamepeleka taarifa hiyo katika Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA kuifanyia uchunguzi ili kumbaini anayesambaza taarifa hizo na iwapo atabainika atafikishwa mahakamani.
Baadhi ya tuhuma ambazo CWT kimetuhumiwa katika taarifa hiyo inayoenea kwa sasa ni kuwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo07 Apr
CWT watakiwa kuwa wawazi na fedha za michango
UONGOZI wa Chama cha Walimu (CWT) umenasihiwa kuongeza uwazi juu ya fedha za chama zinazotokana na michango ya walimu ili kupunguza shutuma za ubadhirifu na matumizi mabaya ya fedha.
9 years ago
Vijimambo21 Sep
KAMPENI ZA CCM ZAPAMBA MOTO,MWIGULU,LOVENESS MAMUYA WASHIRIKI UFUNGUZI WA KAMPENI KISESA-MEATU
![](https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/12047074_428101090725458_1216147968023663156_n.jpg?oh=a1488b21bfb4f65dcca8684d68f9cdf1&oe=569D8541)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpl1/v/t1.0-9/12002080_428100854058815_5135986780182457092_n.jpg?oh=d4b8080fc859d6d77fa64f99b05716d2&oe=565F6D4D&__gda__=1453282753_84af7ea48c0c4260286b22029bc18bcb)
![](https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/12003212_428100804058820_8832908201740269439_n.jpg?oh=7b856c53a1acac90c0349bad90782928&oe=56A87FA0)
![](https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/12042708_428101204058780_7143938062512622436_n.jpg?oh=f18a1c5016d958d5c79c0f787fb68201&oe=565ED955)
![](https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xat1/v/t1.0-9/12032154_428100934058807_4845867612073923492_n.jpg?oh=82f08167bb84b475b02b7b481c42560b&oe=5697921C&__gda__=1452854979_6159e918638e80bca871e83ec3eab8a9)
![](https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/12038119_428101027392131_3643435805773286259_n.jpg?oh=d3f6bbdb41e77ea448212d02482b801e&oe=56A3292B)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWcvGXc3zaY6XNL1DlQfgiRZQjwXHR0uPZ4zdl3Bi2sfYx8*Tqckg0aBH8JcOyvwiu5YNXmZsZmO6NizzU2tE-ej/1ACT.jpg)
CHAMA CHA ACT - TANZANIA CHAKANUSHA KUMILIKIWA NA ZITTO KABWE
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...
9 years ago
Raia Mwema10 Dec
Fedha za Stanbic ziligharimia kampeni Ukawa?
UCHUNGUZI unaoendelea wa serikali kuhusu ufisadi wa takribani shilingi bilioni 13 katika mkopo ul
Mwandishi Wetu
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-b-1eL1S8Ufg/Vfj6LBrAM8I/AAAAAAAB9jo/_mDOu5F7x3o/s72-c/mkuya0.jpg)
Waziri wa fedha , Bi Saada Mkuya azindua kampeni
![](http://3.bp.blogspot.com/-b-1eL1S8Ufg/Vfj6LBrAM8I/AAAAAAAB9jo/_mDOu5F7x3o/s640/mkuya0.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jtGS0jt9aFI/Vfj6LunEYZI/AAAAAAAB9js/NhlKxDTeVKo/s640/Mkuya1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xNaVCB_zm-s/Vfj6M1QqtWI/AAAAAAAB9j8/bIySHscNbgo/s640/mkuya3.jpg)
11 years ago
MichuziKAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM