Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fedha za Stanbic ziligharimia kampeni Ukawa?

UCHUNGUZI unaoendelea wa serikali kuhusu ufisadi wa takribani shilingi bilioni 13 katika mkopo ul

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mnyika ayataka majina waliochukua fedha Stanbic

Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema) ametaka watu wote waliopokea fedha zaidi ya Sh73 bilioni kutoka kwenye akaunti mbili za PAP katika Benki ya Stanbic iliyopokea fedha za escrow watajwe majina na kufilisiwa mali zao.

 

9 years ago

Dewji Blog

Benki ya Stanbic yazindua mashine za kisasa za kutolea fedha

stan atms

Mkuu wa Huduma mbadala wa Stanbic Tanzania Farha Mohamed akionyesha jinsi ATM za kisasa zinavyofanya kazi wakati wa uzinduzi uliofanyika jijini Dar es Salaam.

Benki ya Stanbic Tanzania katika kuboresha huduma zake zaidi kwa wateja wake imezindua  mashine za kisasa za kutolea fedha (ATM) zenye kioo cha kugusa (Touch Screen) wakati wa kufanya miamala ikiwa ni benki ya kwanza kuleta mashine hizi za kisasa hapa nchini  Tanzania.

Mkuu wa Huduma mbadala wa Stanbic Tanzania Farha Mohamed alisema...

 

5 years ago

CCM Blog

TUJIKUMBUSHE KAMPENI ZA URAIS TANZANIA 2015: DK MAGUFULI AVUNJA REKODI YA UKAWA MKUTANO WA KAMPENI JIJINI MBEYA


Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akitembea kwa miguu baada ya kumaliza kujinadi katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe, jijini Mbeya, AGOSTI 28,2015. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOGMgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwapungia mkono wananchi baada ya kumaliza kujinadi  katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe, jijini Mbeya Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Siri fedha za UKAWA zaanikwa

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umetoa siri ya vyanzo vyake vya fedha zinazowezesha kuzunguka nchi nzima na kufanya mikutano ya hadhara kuelimisha umma. UKAWA imesema kuwa chanzo chake cha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuzihurimie fedha zetu si UKAWA

WATANZANIA ni watu wa ajabu sana, maajabu yenyewe yanakuja hivi; linakuja wazo la kutengeneza kitu linakubaliwa kitu kitengenezwe. Inatengwa fedha nyingi sana kwa ajili ya maandalizi, kitu kinatengenezwa na kukubalika...

 

9 years ago

Vijimambo

Waziri wa fedha , Bi Saada Mkuya azindua kampeni

Mgombea ubunge jimbo la Welezo, Waziri wa Fedha , Bi Saada mkuya akimwaga sera katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni jimboni. mkutana ulifanyika jana uwanja wa KimaraMeza kuu ikimsikiliza kwa makini mgombea Ubunge wa jimbo la Weleze Bi Saada Mkuya(hayupo pichani) akijinadi na kumwaga sera. Mkutano huu pia ulihudhuriwa na mgombea uwakilishi wa jimbo hilo la Welezo, Hassan Hafidh (wa pili kulia waliokaa)Wanachama na wapenzi wa CCM kutoka jimbo la Welezo waliohudhuria uzinduzi wa Kampeni ya...

 

9 years ago

StarTV

CWT chakanusha kuisaidia CCM fedha za kampeni

Chama cha Walimu Tanzania CWT kimekanusha habari zinazoenea katika mitandao ya kijamii kuwa viongozi wa chama hicho wamewasaliti wenzao na kukisaidia Chama cha Mapinduzi CCM fedha za Kampeni kiasi cha shilingi bilioni 35.

CWT pia wamepeleka taarifa hiyo katika Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA kuifanyia uchunguzi ili kumbaini anayesambaza taarifa hizo na iwapo atabainika atafikishwa mahakamani.

Baadhi ya tuhuma ambazo CWT kimetuhumiwa katika taarifa hiyo inayoenea kwa sasa ni kuwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Siku 10 kampeni za Lowassa Ukawa

Elimu bure hadi chuo kikuu, kuondoa umaskini, kuondoa ushuru wa mazao, kuweka riba kwa mazao yanayokopwa, ujenzi wa viwanda na kuongeza kasi katika utendaji kazi serikalini, ni mambo yaliyoibuka katika siku 10 za kampeni za mgombea wa Chadema, Edward Lowassa.

 

9 years ago

Habarileo

Ukawa Morogoro wazindua kampeni

VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) Jimbo la Morogoro Mjini vimezindua kampeni zao kwa kumnadi mgombea wa ubunge kupitia Chadema, Marcossy Albanie pamoja na wagombea wa udiwani kwa kata 29.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani