Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siri fedha za UKAWA zaanikwa

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umetoa siri ya vyanzo vyake vya fedha zinazowezesha kuzunguka nchi nzima na kufanya mikutano ya hadhara kuelimisha umma. UKAWA imesema kuwa chanzo chake cha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Siri za kuua upinzani zaanikwa

HOFU ya kung’oka madarakani iliyojengeka kwa baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wasiokuwa waadilifu imeelezwa kuwa sababu ya kudhoofisha vyama vya upinzani nchini. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na...

 

9 years ago

Habarileo

Warioba afichua siri ya Ukawa

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amefichua siri ya vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), akisema vilikwamisha mchakato huo ili baadaye viingize vipengele vyao wakiingia madarakani.

 

9 years ago

Raia Mwema

Siri ya Warioba, Ukawa hii hapa

WAZIRI Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Warioba na mwenzake katika wadhifa huo kwa nyakati tofauti za

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Mwananchi

Fainali: CCM siri, Ukawa Jangwani

Wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 zikibakiza majuma matatu, vyama viwili vikubwa vimeanza kucheza karata zake kwa uangalifu, huku fainali ikisubiriwa siku ya kufunga kampeni Oktoba 24 kwa kuwahi viwanja na televisheni za kurusha matangazo ya moja kwa moja.

 

10 years ago

Mwananchi

Siri nzito Ukawa, vikao vyaendelea mfululizo

>Licha ya Baraza Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF) kupokea taarifa ya Ukawa na kuamua chama hicho kiendelee kushiriki katika umoja huo, bado suala la mgombea urais wa vyama vinavyounda umoja huo limeendelea kuwa siri nzito.

 

9 years ago

Mwananchi

Siri ya CCM, Ukawa Nyanda za Juu Kusini

Mikoa ya Rukwa, Katavi, Iringa, Mbeya na Njombe imekuwa kimbilio la Taifa wakati wa njaa, lakini wanasiasa wana sababu nyingine ya kuwahishia kampeni zao Nyanda za Juu Kusini ambako kuna kura takriban milioni 3.92.

 

10 years ago

Habarileo

Mjadala mgombea mmoja Ukawa bado siri

Dk Willbrod SlaaUPATIKANAJI wa mgombea mmoja wa urais kupitia vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umeendelea kujadiliwa katika kikao cha siri cha vyama hivyo, huku hali ikijionesha kuwepo kwa mvutano baina ya vyama vikuu katika umoja huo.

 

10 years ago

GPL

PICHA ZA MSANII BONGO AKIJIFUNGUA ZAANIKWA!

Imelda Mtema
MSANII zao la Kundi la Sanaa la Kaole, Mwasiti Mohamed ‘Sishi’ zimeanikwa katika mtandao wa kijamii wa Instagram zikimuonesha wakati akijifungua akiwa kwenye uchungu mkali. Sishi ambaye kwa sasa anaishi Ufaransa, katika picha hizo alionekana kusaidiwa na mama aliyejulikana kwa jina la Bi. Rukia, ambaye ndiye aliyempeleka nchini humo, huku mashabiki walioziona picha hizo baadhi wakimuonea huruma huku...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mastaa Kuhama Ukawa Kwenda CCM, Siri Nzito Yafichuka

NYUMA ya wimbi kubwa la mastaa waliokuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuna siri nzito zilizojificha na Amani limechimbua kutoka kwa wahusika.

Hivi karibuni, mastaa mbalimbali akiwemo mwigizaji Aunt Ezekiel na Vincent Kigosi ‘Ray’ waliokuwa wakishabikia Chadema kinachoungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), walitangaza kuhamia CCM na kuzua taharuki kwa wafuasi wao.

Baada ya wawili hao kuhamia CCM, yaliibuka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani