Siri nzito Ukawa, vikao vyaendelea mfululizo
>Licha ya Baraza Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF) kupokea taarifa ya Ukawa na kuamua chama hicho kiendelee kushiriki katika umoja huo, bado suala la mgombea urais wa vyama vinavyounda umoja huo limeendelea kuwa siri nzito.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 Aug
Vikao Bunge la Katiba vyaendelea
VIKAO vya Bunge Maalumu la Katiba vinaendelea leo mjini hapa kwa kamati mbalimbali za bunge hilo kujadili sura zilizopo katika Rasimu ya Katiba.
9 years ago
Bongo Movies24 Sep
Mastaa Kuhama Ukawa Kwenda CCM, Siri Nzito Yafichuka
NYUMA ya wimbi kubwa la mastaa waliokuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuna siri nzito zilizojificha na Amani limechimbua kutoka kwa wahusika.
Hivi karibuni, mastaa mbalimbali akiwemo mwigizaji Aunt Ezekiel na Vincent Kigosi ‘Ray’ waliokuwa wakishabikia Chadema kinachoungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), walitangaza kuhamia CCM na kuzua taharuki kwa wafuasi wao.
Baada ya wawili hao kuhamia CCM, yaliibuka...
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Siri nzito
SIKU moja baada ya marais wawili wa Tanzania kukabidhiwa Katiba inayopendekezwa, viongozi wa dini za Kikristo na Kiislam wamehitimisha kikao chao wakiwa na siri nzito kuhusu mustakabali wa taifa. Baadhi...
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
JK siri nzito
RAIS Jakaya Kikwete ana siri nzito moyoni ya kile anachotaka kuwaambia Watanzania wakati atakapolihutubia Bunge Maalumu la Katiba leo mjini Dodoma. Hotuba hiyo inayoashiria uzinduzi rasmi wa Bunge hilo la...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyWjVveS5cS4kFOotDNWCx8l8wEx5KJWDoF**0I-ncraAOv0RY1DZ23N2WibH4Q5DAm*c*M2U5nk1dN8LAWJh6rf/mastaa.jpg?width=650)
SIRI NZITO ZAFICHUKA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BM3*tIQqFL9HzGeLIYvahjVhiA0B2jJfaIysv5A-geLRIGQiTWK3eYJp7HR0Zvk9niAjDB00rp9BzGiAX-hlGqcSsJu9LNIi/FRONT.jpg)
DIAMOND, JK SIRI NZITO!
10 years ago
Mtanzania16 Feb
Ugaidi Tanga Siri nzito
OSCAR ASSENGA, TANGA
WAKATI nchi ikiwa bado kwenye taharuki ya mashambulio yanayodaiwa kufanana na ya kigaidi yaliyotokea katika Kijiji cha Mleni nje kidogo ya Jiji la Tanga, kumezuka madai mapya yanayowashutumu viongozi wa Jeshi la Polisi kwa kushindwa kutoa uamuzi wa haraka kudhibiti wahalifu hao.
Uzembe huo unadaiwa kufanywa na uongozi wa polisi makao makuu Dar es Salaam pamoja na Tanga na hivyo kutoa fursa kwa wahalifu kufanya mashambulio na baadaye kutoroka.
Chanzo cha kuaminika kutoka...
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Siri nzito bidhaa za machinga
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Siri nzito CCM 2015