Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siri ya Warioba, Ukawa hii hapa

WAZIRI Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Warioba na mwenzake katika wadhifa huo kwa nyakati tofauti za

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Warioba afichua siri ya Ukawa

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amefichua siri ya vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), akisema vilikwamisha mchakato huo ili baadaye viingize vipengele vyao wakiingia madarakani.

 

11 years ago

Mwananchi

Siri ya mapacha wa Snura hii hapa

Kila anapopanda jukwaani huambatana na ‘pacha’ wake wanaopamba maonyesho yako, kuongeza ladha ya muzikin wake

 

9 years ago

GPL

SIRI YA MGAWO WA UMEME HII HAPA

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Mhandisi Felchesmi Mramba. Wakati watu mbalimbali wakiwamo wanasiasa wakilishutumu Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kutokana na hali mbaya ya kukatika ovyo kwa umeme, imebainika kuwa chanzo cha tatizo hilo ni uzalishaji duni wa nishati hiyo katika mabwawa na vyanzo vingine vyote vinavyotegemewa na shirika hilo. Kadhalika, imeelezwa kuwa maamuzi mbalimbali ya kisiasa ndiyo yanayochangia kwa kiasi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Siri ya posho nono hii hapa

WAKATI wananchi wakiendelea kujadili hatua ya baadhi ya wajumbe wa Bunge la Katiba kutaka waongezwe posho, siri imefichuka kwamba huo ni mkakati wa makusudi uliopangwa na serikali kwa lengo la...

 

9 years ago

StarTV

Je wajua kauli gani ya Mwinyi iliyoivuruga UKAWA?Hii hapa.

Mkapa na Mwinyi Chama Cha Mapinduzi (CCM), jana  kilivunja rekodi yake kilipozindua kampeni zake katika viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam baada ya kuwakusanya maelfu ya wananchi waliojitokeza kuwasikiliza viongozi wa chama hicho na hasa mgombea urais, Dk. John Magufuli.

Katika uzinduzi huo ulihudhuriwa na rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, rais wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa na rais wa awamu ya awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete ambao wote walirusha makombora upande wa wapinzani wakimpigia...

 

11 years ago

Habarileo

Siri ya mapendekezo ya Tume ya Warioba

MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, ametaja mambo manne yaliyoishawishi Tume yake kupendekeza Muungano wa serikali tatu. Mambo hayo ni Tanganyika kuvaa koti la Muungano, kuongezeka kwa mambo ya Muungano, mgongano wa Katiba, michango na gharama za Muungano na mgao wa mapato ambayo alisema yanahatarisha Muungano wa sasa wa serikali mbili.

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Salim afichua siri ya JK na Tume ya Warioba

>Waziri Mkuu Mstaafu, Dk Salim Ahmed Salim amesema hakutarajia kusikia kauli za Rais Jakaya Kikwete alizozitoa bungeni kukosoa Rasimu Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa sababu walikuwa wanampa taarifa kwa kila hatua waliyokuwa wanafikia kabla ya kutoa rasimu hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Warioba afichua siri ya JWTZ kuhusu Muungano

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, ametoa siri ya msimamo wa majeshi ya Tanzania kuhusu muundo wa Muungano wa sasa. Jaji Warioba ametoa siri hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani