Fainali: CCM siri, Ukawa Jangwani
Wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 zikibakiza majuma matatu, vyama viwili vikubwa vimeanza kucheza karata zake kwa uangalifu, huku fainali ikisubiriwa siku ya kufunga kampeni Oktoba 24 kwa kuwahi viwanja na televisheni za kurusha matangazo ya moja kwa moja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Siri ya CCM, Ukawa Nyanda za Juu Kusini
9 years ago
Bongo Movies24 Sep
Mastaa Kuhama Ukawa Kwenda CCM, Siri Nzito Yafichuka
NYUMA ya wimbi kubwa la mastaa waliokuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuna siri nzito zilizojificha na Amani limechimbua kutoka kwa wahusika.
Hivi karibuni, mastaa mbalimbali akiwemo mwigizaji Aunt Ezekiel na Vincent Kigosi ‘Ray’ waliokuwa wakishabikia Chadema kinachoungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), walitangaza kuhamia CCM na kuzua taharuki kwa wafuasi wao.
Baada ya wawili hao kuhamia CCM, yaliibuka...
9 years ago
StarTV29 Aug
Ukawa leo Jangwani
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kushirikiana na muungano wa vyama vingine vitatu vinavyounda umoja uliobatizwa jina la Ukawa, leo kinatarajiwa kuzindua kampeni zake katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.
Chama hicho kimetamba kufanya ufunguzi wa kampeni wa kihistoria.
Hatua hiyo imekuja baada ya chama hicho kuruhusiwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi, kutumia uwanja huo ambao awali...
9 years ago
Vijimambo30 Aug
MKUTANO WA UKAWA JANGWANI
Ahimidiwe MUNGU aletaye Wokovu. Ashukuriwe MUNGU atupaye yele tumwombao. Atukuzwe MUNGU atazamaye kila Mnyonge na kumfariji.
Posted by UKAWA Seattle Washington STATE on Saturday, August 29, 2015
9 years ago
TheCitizen28 Aug
Relief as Ukawa gets go-ahead to use Jangwani
9 years ago
Mwananchi26 Aug
Ukawa wakataliwa Jangwani Jumamosi
9 years ago
IPPmedia28 Aug
Ukawa 'take over' Jangwani grounds tomorrow
IPPmedia
Ukawa 'take over' Jangwani grounds tomorrow
IPPmedia
After the initial bar, opposition coalition Ukawa and its presidential candidate under the Chadema ticket Edward Lowassa, have the go ahead to use Jangwani grounds in Dar es Salaam to inaugurate their General Election campaigns. Speaking to press ...
Lowassa woos women voters, pledges to boost their welfareDaily News
all 2
9 years ago
Mzalendo Zanzibar02 Oct
CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI
Asalamu Alaikhum Ndugu Watanzania Wa Zanzibar na Tanganyika natumai mumeamka salama na muko katika harakati za kutafuta KIJIO. Ama mimi sina budi ila kumshukuru Mwenyezi Mungu kwakunijaalia kunipa uzima, afay na muda huu mdogo wakufikisha ujumbe […]
The post CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo26 Oct
MKUTANO WA UKAWA JANGWANI JIJINI DAR