Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fainali: CCM siri, Ukawa Jangwani

Wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 zikibakiza majuma matatu, vyama viwili vikubwa vimeanza kucheza karata zake kwa uangalifu, huku fainali ikisubiriwa siku ya kufunga kampeni Oktoba 24 kwa kuwahi viwanja na televisheni za kurusha matangazo ya moja kwa moja.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Siri ya CCM, Ukawa Nyanda za Juu Kusini

Mikoa ya Rukwa, Katavi, Iringa, Mbeya na Njombe imekuwa kimbilio la Taifa wakati wa njaa, lakini wanasiasa wana sababu nyingine ya kuwahishia kampeni zao Nyanda za Juu Kusini ambako kuna kura takriban milioni 3.92.

 

9 years ago

Bongo Movies

Mastaa Kuhama Ukawa Kwenda CCM, Siri Nzito Yafichuka

NYUMA ya wimbi kubwa la mastaa waliokuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuna siri nzito zilizojificha na Amani limechimbua kutoka kwa wahusika.

Hivi karibuni, mastaa mbalimbali akiwemo mwigizaji Aunt Ezekiel na Vincent Kigosi ‘Ray’ waliokuwa wakishabikia Chadema kinachoungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), walitangaza kuhamia CCM na kuzua taharuki kwa wafuasi wao.

Baada ya wawili hao kuhamia CCM, yaliibuka...

 

9 years ago

StarTV

Ukawa leo Jangwani

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kushirikiana na muungano wa vyama vingine vitatu vinavyounda umoja uliobatizwa jina la Ukawa, leo kinatarajiwa kuzindua kampeni zake katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.

Chama hicho kimetamba kufanya ufunguzi wa kampeni wa kihistoria.

Hatua hiyo imekuja baada ya chama hicho kuruhusiwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi, kutumia uwanja huo ambao awali...

 

9 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA UKAWA JANGWANI




Ahimidiwe MUNGU aletaye Wokovu. Ashukuriwe MUNGU atupaye yele tumwombao. Atukuzwe MUNGU atazamaye kila Mnyonge na kumfariji.
Posted by UKAWA Seattle Washington STATE on Saturday, August 29, 2015

 

9 years ago

TheCitizen

Relief as Ukawa gets go-ahead to use Jangwani

A potential clash between the police and opposition supporters was averted yesterday after the Ilala municipal authorities finally granted permission to Chadema to hold its presidential campaign launch meeting at Jangwani grounds.

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa wakataliwa Jangwani Jumamosi

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umesema utatumia viwanja vya Jangwani Jumamosi, wiki hii, kuzindua kampeni za urais licha ya kupokea barua toka Manispaa ya Ilala inayoeleza kuwa siku hiyo kuna watu watatumia eneo hilo.

 

9 years ago

IPPmedia

Ukawa 'take over' Jangwani grounds tomorrow


IPPmedia
Ukawa 'take over' Jangwani grounds tomorrow
IPPmedia
After the initial bar, opposition coalition Ukawa and its presidential candidate under the Chadema ticket Edward Lowassa, have the go ahead to use Jangwani grounds in Dar es Salaam to inaugurate their General Election campaigns. Speaking to press ...
Lowassa woos women voters, pledges to boost their welfareDaily News

all 2

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI

Asalamu Alaikhum Ndugu Watanzania Wa Zanzibar na Tanganyika natumai mumeamka salama na muko katika harakati za kutafuta KIJIO. Ama mimi sina budi ila kumshukuru Mwenyezi Mungu kwakunijaalia kunipa uzima, afay na muda huu mdogo wakufikisha ujumbe […]

The post CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA UKAWA JANGWANI JIJINI DAR

Wananchi walijitokeza katika mkutano wa Ukawa leo katika Viwanja vya Jangwani muda huu.Wananchi wakiendelea kuwasikiliza viongozi mbalimbali wa Ukawa hawapo pichani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani