Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKUTANO WA UKAWA JANGWANI




Ahimidiwe MUNGU aletaye Wokovu. Ashukuriwe MUNGU atupaye yele tumwombao. Atukuzwe MUNGU atazamaye kila Mnyonge na kumfariji.
Posted by UKAWA Seattle Washington STATE on Saturday, August 29, 2015

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA UKAWA JANGWANI JIJINI DAR

Wananchi walijitokeza katika mkutano wa Ukawa leo katika Viwanja vya Jangwani muda huu.Wananchi wakiendelea kuwasikiliza viongozi mbalimbali wa Ukawa hawapo pichani.

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA MKUTANO WA UKAWA JANGWANI JIJINI DAR

Wananchi walijitokeza katika mkutano wa Ukawa leo katika Viwanja vya Jangwani muda huu. Wananchi wakiendelea kuwasikiliza viongozi mbalimbali wa Ukawa hawapo pichani. (PICHA NA…

 

10 years ago

Michuzi

MKUTANO WA UKAWA WAFANYIKA VIWANJA VYA JANGWANI.

 -Viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wakionesha hati za waraka walizotiliana saini za ushirikiano katika viwanja vya Jangwani Dar es Salaam jana. Kutoka kulia ni, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalimu Seif Sharifu Hamad , Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CUF, Ibrahim Lipumba na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia. Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalimu Seif Sharifu Hamad ,...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

MKUTANO WA MWISHO WA KAMPENI YA URAIS WA UKAWA KATIKA VIWANJA VYA JANGWANI DAR ES SALAAM.

Mgombea Urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA Ndugu Edward Ngoyai Lowassa akihutubia mamia ya wananchi waliohudhuria mkutano mkubwa wa kufunga kampeni za Urais uliofanyika katika viwanja vya Jangwani Dar es salaam. Pichani kutoka kushoto Mwenyekiti mwenza wa UKAWA Mh Freeman Mbowe, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Mh Edward Lowassa na Mgombea urais wa Zanzibar Mh

 

9 years ago

StarTV

Ukawa leo Jangwani

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kushirikiana na muungano wa vyama vingine vitatu vinavyounda umoja uliobatizwa jina la Ukawa, leo kinatarajiwa kuzindua kampeni zake katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.

Chama hicho kimetamba kufanya ufunguzi wa kampeni wa kihistoria.

Hatua hiyo imekuja baada ya chama hicho kuruhusiwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi, kutumia uwanja huo ambao awali...

 

9 years ago

TheCitizen

Relief as Ukawa gets go-ahead to use Jangwani

A potential clash between the police and opposition supporters was averted yesterday after the Ilala municipal authorities finally granted permission to Chadema to hold its presidential campaign launch meeting at Jangwani grounds.

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa wakataliwa Jangwani Jumamosi

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umesema utatumia viwanja vya Jangwani Jumamosi, wiki hii, kuzindua kampeni za urais licha ya kupokea barua toka Manispaa ya Ilala inayoeleza kuwa siku hiyo kuna watu watatumia eneo hilo.

 

9 years ago

IPPmedia

Ukawa 'take over' Jangwani grounds tomorrow


IPPmedia
Ukawa 'take over' Jangwani grounds tomorrow
IPPmedia
After the initial bar, opposition coalition Ukawa and its presidential candidate under the Chadema ticket Edward Lowassa, have the go ahead to use Jangwani grounds in Dar es Salaam to inaugurate their General Election campaigns. Speaking to press ...
Lowassa woos women voters, pledges to boost their welfareDaily News

all 2

 

9 years ago

GPL

UKAWA WAZUIWA KUZINDUA KAMPENI JANGWANI

JIJI la Dar es Salaam wamemzuia Mgombea wa UKAWA, Edward Lowassa kuzindua kampeni yake kwenye viwanja vya Jangwani Jumamosi ya 29 Agosti , 2015 . Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA, James Mbatia amesema jiji umewagomea kufanya uzinduzi huo Jangwani kwa madai kuwa tayari kuna mtu mwingine ambaye ameshalipia uwanja huo. Mbatia anasema pamoja na kufanya juhudi za kuomba kutajiwa aliyelipia uwanja huo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani