Ukawa wakataliwa Jangwani Jumamosi
Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umesema utatumia viwanja vya Jangwani Jumamosi, wiki hii, kuzindua kampeni za urais licha ya kupokea barua toka Manispaa ya Ilala inayoeleza kuwa siku hiyo kuna watu watatumia eneo hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV29 Aug
Ukawa leo Jangwani
![Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi](http://www.habarileo.co.tz/images/resized/images/isaya-mngurumi_210_120.jpg)
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kushirikiana na muungano wa vyama vingine vitatu vinavyounda umoja uliobatizwa jina la Ukawa, leo kinatarajiwa kuzindua kampeni zake katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.
Chama hicho kimetamba kufanya ufunguzi wa kampeni wa kihistoria.
Hatua hiyo imekuja baada ya chama hicho kuruhusiwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi, kutumia uwanja huo ambao awali...
9 years ago
Vijimambo30 Aug
MKUTANO WA UKAWA JANGWANI
Ahimidiwe MUNGU aletaye Wokovu. Ashukuriwe MUNGU atupaye yele tumwombao. Atukuzwe MUNGU atazamaye kila Mnyonge na kumfariji.
Posted by UKAWA Seattle Washington STATE on Saturday, August 29, 2015
9 years ago
IPPmedia28 Aug
Ukawa 'take over' Jangwani grounds tomorrow
IPPmedia
IPPmedia
After the initial bar, opposition coalition Ukawa and its presidential candidate under the Chadema ticket Edward Lowassa, have the go ahead to use Jangwani grounds in Dar es Salaam to inaugurate their General Election campaigns. Speaking to press ...
Lowassa woos women voters, pledges to boost their welfareDaily News
all 2
9 years ago
TheCitizen28 Aug
Relief as Ukawa gets go-ahead to use Jangwani
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FzBIK0EevxBq2-X1xJGdW*rQ600dWm6tYHZfPlsj2PJhk0zLhuBBziyetgEgAo2UIPSjh0c2FWSmcJkgLVhEUDpfzdbSmhLA/11181564_10153554510409339_6294991666889003088_n.jpg?width=650)
TASWIRA ZA UKAWA JANGWANI JIJINI DAR!
9 years ago
Habarileo27 Aug
Ukawa yang’ang’ania Jangwani
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umesema utafanya mkutano wake wa ufunguzi wa kampeni za urais katika Viwanja vya Jangwani Dar es Salaam licha ya kuambiwa uwanja huo tayari ulikuwa umelipiwa.
10 years ago
Vijimambo26 Oct
MKUTANO WA UKAWA JANGWANI JIJINI DAR
![](http://api.ning.com/files/LRabT8flycFEg2i3MHxQUI-28iH5Jh47TZxFcf5cyDK4Q5zkLEkIpJ*xPgSvp8b8t7TMDe*b-lLfpQP2T4b*mJfarnApm721/UKAWAMKUTANO1.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/LRabT8flycFddQj8cVTOWB1nq0uZRXILIB-uKcI5Mcb8U9KutSmI51k-vlRFFvNUqYid9PiKAtRJ-2912KmwPbuFFnla95nx/UKAWAMKUTANO2.jpg?width=650)
9 years ago
Mwananchi29 Aug
Ukawa waanza kazi Jangwani leo
9 years ago
Dewji Blog30 Aug
Uzinduzi wa kampeni za UKAWA, Jangwani yatapika