UKAWA WAZUIWA KUZINDUA KAMPENI JANGWANI

JIJI la Dar es Salaam wamemzuia Mgombea wa UKAWA, Edward Lowassa kuzindua kampeni yake kwenye viwanja vya Jangwani Jumamosi ya 29 Agosti , 2015 . Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA, James Mbatia amesema jiji umewagomea kufanya uzinduzi huo Jangwani kwa madai kuwa tayari kuna mtu mwingine ambaye ameshalipia uwanja huo. Mbatia anasema pamoja na kufanya juhudi za kuomba kutajiwa aliyelipia uwanja huo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Ukawa ruksa kuzindua kampeni Jangwani kesho
10 years ago
Dewji Blog30 Aug
Uzinduzi wa kampeni za UKAWA, Jangwani yatapika
10 years ago
Michuzi
UKAWA WALIPOZINDUA KAMPENI ZAO JANGWANI JIJINI DAR



10 years ago
Mwananchi29 Aug
Ukawa wazindua kampeni viwanja vya Jangwani Dar
10 years ago
Vijimambo
PICHA ZINGINE ZA UKAWA WAZINDUA KAMPENI ZAO JANGWANI JIJINI DAR LEO





10 years ago
Habarileo26 Aug
ACT Wazalendo kuzindua kampeni Jumapili, Ukawa Jumamosi
CHAMA cha ACT-Wazalendo kinatarajia kuzindua kampeni zake Jumapili Agosti 30, katika viwanja vya Mbagala Zakhem, jijini Dar es Salaam. Ofisa Habari wa chama hicho, Abdallah Khamisi alimwambia mwandishi wa habari hizi kwa njia ya simu kuwa mgombea urais, Anna Mghwira na mgombea mwenza wake, Hamad Mussa Yusuf watamwaga sera zao kwa wakazi wa Dar es Salaam siku hiyo.
10 years ago
CHADEMA Blog
MKUTANO WA MWISHO WA KAMPENI YA URAIS WA UKAWA KATIKA VIWANJA VYA JANGWANI DAR ES SALAAM.
10 years ago
GPL
HOTUBA YA EDWARD LOWASSA WAKATI WA KUZINDUA KAMPENI ZA UKAWA JANA
10 years ago
Bongo Movies30 Aug
Hawa Ndiyo Wasanii Mbalimbali Waliojitokeza Viwanja vya Jangwani Kwenye Uzinduzi wa Kampeni za UKAWA
Hawa Ndiyo Wasanii Mbalimbali Waliojitokeza Viwanja vya Jangwani Kwenye Uzinduzi wa Kampeni za UKAWA
Credit:MillardAyo.Com