ACT Wazalendo kuzindua kampeni Jumapili, Ukawa Jumamosi
CHAMA cha ACT-Wazalendo kinatarajia kuzindua kampeni zake Jumapili Agosti 30, katika viwanja vya Mbagala Zakhem, jijini Dar es Salaam. Ofisa Habari wa chama hicho, Abdallah Khamisi alimwambia mwandishi wa habari hizi kwa njia ya simu kuwa mgombea urais, Anna Mghwira na mgombea mwenza wake, Hamad Mussa Yusuf watamwaga sera zao kwa wakazi wa Dar es Salaam siku hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Aug
ACT - Wazalendo kuzindua kampeni leo
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Siku 10 za kampeni za ACT-Wazalendo
10 years ago
Mwananchi27 Aug
ACT kuzindua kampeni J’pili
10 years ago
Mwananchi14 May
ACT-Wazalendo waomba kujiunga Ukawa
10 years ago
Habarileo23 Aug
ACT kuzindua kampeni wakirejeshewa ratiba
CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema kuwa kitatoa ratiba ya uzinduzi wa kampeni zao wao mara tu Tume ya Taifa ya Uchaguzi itakapopitia ratiba yao na kuibariki. Ofisa habari wa chama hicho Abdalah Hamis alisema jana alipokuwa akizungumza na gazeti hili kuhusu uzinduzi rasmi wa kampeni kwa chama hicho.
10 years ago
Mwananchi13 Apr
‘Marufuku wanachama wa ACT - Wazalendo kushabikia Ukawa’
10 years ago
MichuziACT WAZALENDO JIMBO LA IRINGA WAZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE
Mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini Chiku Abwao akiwahutubia wananchi katika uzinduzi wa kampeni kwenye uwanja wa Mwembetogwa jana
Mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini Chiku Abwao akiwahutubia wananchi katika uzinduzi wa kampeni kwenye uwanja wa Mwembetogwa jana
10 years ago
Vijimambo25 Oct
ACT wazalendo walivyofunga kampeni za uchaguzi 2015 Kigoma.

ACT wazalendo walivyofunga kampeni za uchaguzi 2015 Kigoma.


Zitto Kabwe ndio anaonekana kwenye picha kwenye ufungaji wa kampeni za ACT Kigoma, vilevile Zitto anagombea ubunge wa jimbo la Kigoma mjini na...
10 years ago
Mwananchi30 Aug
ACT-Wazalendo wazindua kampeni, Mghwira aahidi serikali ya umoja