ACT-Wazalendo waomba kujiunga Ukawa
Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Anna Mgwira amesema chama hicho hakina matatizo na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na hata sasa kinasubiri majibu ya barua yao waliyoituma kwa umoja huo kuomba kuunganishwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Nov
ACT wakana kujiunga na Ukawa
CHAMA cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) kimesema kinaingia katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa bila kuungana na chama chochote cha siasa kwa sababu wanaamini itikadi za vyama hivyo haiendani na itikadi yao.
10 years ago
Mwananchi13 Apr
‘Marufuku wanachama wa ACT - Wazalendo kushabikia Ukawa’
9 years ago
Habarileo26 Aug
ACT Wazalendo kuzindua kampeni Jumapili, Ukawa Jumamosi
CHAMA cha ACT-Wazalendo kinatarajia kuzindua kampeni zake Jumapili Agosti 30, katika viwanja vya Mbagala Zakhem, jijini Dar es Salaam. Ofisa Habari wa chama hicho, Abdallah Khamisi alimwambia mwandishi wa habari hizi kwa njia ya simu kuwa mgombea urais, Anna Mghwira na mgombea mwenza wake, Hamad Mussa Yusuf watamwaga sera zao kwa wakazi wa Dar es Salaam siku hiyo.
10 years ago
Vijimambo10 years ago
GPLMWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Siku 10 za kampeni za ACT-Wazalendo
9 years ago
Mwananchi04 Oct
ACT Wazalendo kuimarisha kilimo
9 years ago
TheCitizen19 Aug
ACT-Wazalendo yet to get Ikulu candidate
10 years ago
TheCitizen27 Jul
Act-Wazalendo to go it alone in polls, Zitto says