Siku 10 za kampeni za ACT-Wazalendo
Chama cha ACT-Wazalendo juzi kimehitimisha siku 10 za awamu ya kwanza kwa kutembelea mikoa minane ya Tanzania Bara, huku wakisisitiza kaulimbiu yao ya utu, uzalendo na uadilifu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi30 Aug
ACT - Wazalendo kuzindua kampeni leo
9 years ago
Habarileo26 Aug
ACT Wazalendo kuzindua kampeni Jumapili, Ukawa Jumamosi
CHAMA cha ACT-Wazalendo kinatarajia kuzindua kampeni zake Jumapili Agosti 30, katika viwanja vya Mbagala Zakhem, jijini Dar es Salaam. Ofisa Habari wa chama hicho, Abdallah Khamisi alimwambia mwandishi wa habari hizi kwa njia ya simu kuwa mgombea urais, Anna Mghwira na mgombea mwenza wake, Hamad Mussa Yusuf watamwaga sera zao kwa wakazi wa Dar es Salaam siku hiyo.
9 years ago
Vijimambo25 Oct
ACT wazalendo walivyofunga kampeni za uchaguzi 2015 Kigoma.
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/10/Z-3.jpg?resize=501%2C370)
ACT wazalendo walivyofunga kampeni za uchaguzi 2015 Kigoma.
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/10/Z-1.jpg?resize=582%2C427)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/10/Z-2.jpg?resize=584%2C429)
Zitto Kabwe ndio anaonekana kwenye picha kwenye ufungaji wa kampeni za ACT Kigoma, vilevile Zitto anagombea ubunge wa jimbo la Kigoma mjini na...
9 years ago
MichuziACT WAZALENDO JIMBO LA IRINGA WAZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE
Mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini Chiku Abwao akiwahutubia wananchi katika uzinduzi wa kampeni kwenye uwanja wa Mwembetogwa jana
Mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini Chiku Abwao akiwahutubia wananchi katika uzinduzi wa kampeni kwenye uwanja wa Mwembetogwa jana
9 years ago
Mwananchi30 Aug
ACT-Wazalendo wazindua kampeni, Mghwira aahidi serikali ya umoja
9 years ago
VijimamboACT WAZALENDO YAZINDUA KAMPENI ZAKE WILAYANI BAHI MKOANI DODOMA
9 years ago
MichuziUZINDUZI WA KAMPENI KWA ACT WAZALENDO PALE MBAGALA ZAKHEEM LEO
9 years ago
Dewji Blog16 Sep
Chama cha ACT WAZALENDO chazindua kampeni zake za Ubunge jimbo la Manyoni
baadhi ya wagombea ubunge wa chama cha ACT Wazalendo waliohudhuria mkutano wa uzinduzi katika jimbo la Manyoni-Singida.
Na, Jumbe Ismailly, Manyoni
CHAMA Cha ACT Wazalendo wilaya ya Manyoni Mkoani Singida kimezindua kampeni za ubunge wa jimbo la Manyoni mashariki kwa kumnadi mgombea ubunge wa jimbo hilo,Muttee John Henry na kuwatisha watendaji wa idara ya afya wanaouza madawa kwenye vituo vya kutolea huduma na hivyo kusababisha wananchi kukosa huduma katika vituo vya kutolea huduma...
9 years ago
Dewji Blog31 Aug
Chama cha ACT-Wazalendo chazindua kampeni zake viwanja vya Mbagala Zakhem Dar Es Salaam
Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Anna Mghwira (kushoto), akihutubia katika uzinduzi wa kampeni ya chama hizo uliofanyika viwanja vya Zakhem Mbagala jijini Dar es Salaam jana.
Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Kabwe Zitto akihutubia katika uzinduzi huo.
Mshauri wa Chama cha ACT-Wazalendo, Profesa Kitila Mkumbo akihutubia kwenye uzinduzi huo.
Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Kabwe Zitto (kushoto), akiteta jambo na Mgombea urais wa Tanzania...