ACT WAZALENDO JIMBO LA IRINGA WAZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE
Viongozi wa ACT wazalendo Iringa wakijiandaa kwa wimbo wa Taifa jukwaani wakati wa uzinduzi wa kampeni zao kwenye uwanja wa Mwembetogwa jana mjini Iringa jana
Mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini Chiku Abwao akiwahutubia wananchi katika uzinduzi wa kampeni kwenye uwanja wa Mwembetogwa jana
Mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini Chiku Abwao akiwahutubia wananchi katika uzinduzi wa kampeni kwenye uwanja wa Mwembetogwa janaMsanii Baba Revo akiwa na Chiku...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog16 Sep
Chama cha ACT WAZALENDO chazindua kampeni zake za Ubunge jimbo la Manyoni
baadhi ya wagombea ubunge wa chama cha ACT Wazalendo waliohudhuria mkutano wa uzinduzi katika jimbo la Manyoni-Singida.
Na, Jumbe Ismailly, Manyoni
CHAMA Cha ACT Wazalendo wilaya ya Manyoni Mkoani Singida kimezindua kampeni za ubunge wa jimbo la Manyoni mashariki kwa kumnadi mgombea ubunge wa jimbo hilo,Muttee John Henry na kuwatisha watendaji wa idara ya afya wanaouza madawa kwenye vituo vya kutolea huduma na hivyo kusababisha wananchi kukosa huduma katika vituo vya kutolea huduma...
9 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO, KARAMA MASUDI "KALAPINA" AZINDUA KAMPENI ZAKE
9 years ago
VijimamboMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MBAGALA (ACT-WAZALENDO), AHAIDI MAKUBWA KATIKA JIMBO HILO
Na Dotto Mwaibale
MGOMBEA ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Soud Rajabu ameahidi endapo atachaguliwa nafasi hiyo atahakikisha anapunguza gharama za huduma...
9 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MBAGALA (ACT-WAZALENDO), AAHIDI MAKUBWA KATIKA JIMBO HILO
Na Dotto MwaibaleMGOMBEA ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Soud Rajabu ameahidi endapo atachaguliwa nafasi hiyo atahakikisha anapunguza gharama za huduma...
9 years ago
Mwananchi30 Aug
ACT-Wazalendo wazindua kampeni, Mghwira aahidi serikali ya umoja
11 years ago
Michuzi23 Feb
CHADEMA WAZINDUA RASMI KAMPENI ZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KALENGA
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/G7xbiEkgezPx6pgAsGhFATtWjUlpHntqCo7v0HvMowjpN5GyZxSV1WXWlqkjIYUmx-7vvbPcpmjAwnoXiuclDnwmTm2GwunD4-2Tngy7pLDDjrIRp5_dvyhuMhwgFJqAVUASs7UNSuoXTKvl401l6WNRtdsbd82F3nhzosG_7kqyZ_S6yg1NtjgbddlEyyDzBKTP9dFhkiElZ-Zw9PDov8D52UT7auGFvxat_NwZoltD3uGxmvHUKbAJmkmBvpLThYKxVj6j2y2_2nS_ZEnhUg=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.mjengwablog.com%2Fimages%2Fkumnadii_f8eb3.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![makumbusho_a0aac.jpg](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/8cun0biI9zPKy_3UlDuWaEuG7bPQA45XdTfdG4qjwmaPLoAUHFhfv5LE6JGHD_fGNt8tqjkJJRACA8n1_idrh4TAjg6NfWxvPXvEJQ=s0-d-e1-ft#http://www.mjengwablog.com/images/makumbusho_a0aac.jpg)
![mvua_6aa63.jpg](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Xiwgp_BncZTSH3c4qCRnfWmxJjZiYHaXnqOF5DvOzfveQ2qa_NQKp15_tlOTH8ruBU5ul9_f0WeRj4hpLe3Y8TG0qUugSQ=s0-d-e1-ft#http://www.mjengwablog.com/images/mvua_6aa63.jpg)
![kumnadii_f8eb3.jpg](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/hAEBiMlUb_44sPj6cf9ViOEcQubXhu-t3MliYjW3scEJcs1iqIfNP0h6AcTdeixPgk-DDgN5934RU8JiUkidCuc8txeu9epg8uo=s0-d-e1-ft#http://www.mjengwablog.com/images/kumnadii_f8eb3.jpg)
9 years ago
MichuziCHAMA CHA ACT WAZALENDO WAFUNGUA KAMPENI ZA CHAMA HICHO IRINGA
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
Na MatukiodaimaBLogCHAMA cha ACT wazalendo kimezindua kampeni zake za ubunge katika jimbo la Iringa huku mgombea wake ubunge katika jimbo hilo Bi Chiku Abwao akivilalamikia baadhi ya vyombo vya habari nchini kwa kukalia habari zake zinazohusiana na uchafu wa mgombea Urais wa chama cha Demokrasia na maendeleo (chadema) anayewakilisha vyama vinavyounda umoja wa...
10 years ago
Dewji Blog26 Jan
Wasanii mkoani Iringa wamemtungia wimbo mgombea ubunge jimbo la Iringa Mjini Frank Kibiki
MSANII wa muziki wa kizazi, kipya mjini Iringa, ONE LEE akitoa zawadi ya ngoma kwa mwandishi wa Habari Frank Kibiki kwa niaba ya wasanii wenzake, ambaye hivi karibuni alitangaza nia ya kugombea ubunge katika jimbo la Iringa mjini.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Iringa, wasanii hao walisema wameamua kutengeneza wimbo huo kutokana na mchango mkubwa wa mwanahabari huyo, katika fani yao.
Msanii huyo Richard Kayombo ‘One Lee’ ambaye alikabidhi wimbo kwa niaba ya wasanii wenzake...
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Siku 10 za kampeni za ACT-Wazalendo