ACT wazalendo walivyofunga kampeni za uchaguzi 2015 Kigoma.
ACT wazalendo walivyofunga kampeni za uchaguzi 2015 Kigoma.October 24 2015 ndio ilikua siku ya mwisho ya vyama vya siasa Tanzania kupiga kampeni kwa ajili ya uchaguzi mkuu ambao tarehe yake ni October 25 ambapo baada ya kukuonyesha CCM na UKAWA walivyofunga kampeni kwenye post iliyopita, post hii ni ya ACT Wazalendo ambao wamefunga kampeni zao Kigoma.
Zitto Kabwe ndio anaonekana kwenye picha kwenye ufungaji wa kampeni za ACT Kigoma, vilevile Zitto anagombea ubunge wa jimbo la Kigoma mjini na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 May
UCHAGUZI UPINZANI 2015: Anna Mghwira, Mwenyekiti ACT- Wazalendo
9 years ago
Mwananchi06 Sep
ACT-Wazalendo waanza kushambulia Kigoma
9 years ago
Habarileo18 Dec
ACT Wazalendo yatoa Meya Kigoma Ujiji
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji limemchagua Diwani wa Kata ya Bangwe, Hussien Ruhavi kuwa Meya wa manispaa hiyo. Sambamba na hilo, Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini Zitto Kabwe (ACT Wazalendo) akiahidi kumshughulikia diwani yeyote atakayekwamisha mipango yao ya kuleta maendeleo katika manispaa hiyo.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cnpC_2YmAek/VnUUP5e4JqI/AAAAAAADD4A/0W9Ek9K-qEo/s72-c/x.jpg)
KIGOMA UJIJI YAPATA MEYA TOKA ACT Wazalendo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-cnpC_2YmAek/VnUUP5e4JqI/AAAAAAADD4A/0W9Ek9K-qEo/s640/x.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qwU0-3A8Fk8/VnUTUKMHN0I/AAAAAAADD3g/6Gp0HYnnQss/s640/a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3oFQ3B60FMc/VnUUPSC9oJI/AAAAAAADD3w/zWgV326HkVs/s640/e.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tcypMUE14Hk/VnUUO2zmCPI/AAAAAAADD3s/7IFy3A_XzZM/s640/w.jpg)
Na Editha Karlo wa Globu ya Jamii,Kigoma
BARAZA ...
9 years ago
Mwananchi29 Sep
ACT Wazalendo kuanzisha benki kwa watu wa Kigoma
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
ACT Wazalendo wang’ara jimbo la Kigoma/Ujiji
Hii ni kwa mujibu wa Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa Facebook ambapo anajivunia Kigoma/Ujiji kuwa Manispaa ya kwanza kuwa chini ya chama cha ACT Wazalendo.
Na haya ndio matokeo yenye kama alivyoorodhesha kwenye ukurasa wake wa Facebook.
Bangwe: ACT:1939, CCM:1243, CDM: 830
BUHANDA: ACT:1163, CCM: 581, CDM: 1147
BUSINDE: ACT: 376, CCM: 447, CDM: 139
BUZEBAZEBA: ACT: 2758, CCM: 1515, CDM: 1003
GUNGU: ACT: 3528, CCM: 1551, CDM: 1561
KAGERA: ACT: 939,...
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Siku 10 za kampeni za ACT-Wazalendo
9 years ago
Mwananchi30 Aug
ACT - Wazalendo kuzindua kampeni leo
9 years ago
Habarileo26 Aug
ACT Wazalendo kuzindua kampeni Jumapili, Ukawa Jumamosi
CHAMA cha ACT-Wazalendo kinatarajia kuzindua kampeni zake Jumapili Agosti 30, katika viwanja vya Mbagala Zakhem, jijini Dar es Salaam. Ofisa Habari wa chama hicho, Abdallah Khamisi alimwambia mwandishi wa habari hizi kwa njia ya simu kuwa mgombea urais, Anna Mghwira na mgombea mwenza wake, Hamad Mussa Yusuf watamwaga sera zao kwa wakazi wa Dar es Salaam siku hiyo.