Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ACT-Wazalendo waanza kushambulia Kigoma

Chama cha ACT-Wazalendo kitaanza kampeni zake za mikoani leo kwenye kitongoji cha Mwanga mkoani Kigoma, kabla ya kuanza ziara ndefu kuzunguka Tanzania kuomba ridhaa ya wananchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

ACT Wazalendo yatoa Meya Kigoma Ujiji

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji limemchagua Diwani wa Kata ya Bangwe, Hussien Ruhavi kuwa Meya wa manispaa hiyo. Sambamba na hilo, Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini Zitto Kabwe (ACT Wazalendo) akiahidi kumshughulikia diwani yeyote atakayekwamisha mipango yao ya kuleta maendeleo katika manispaa hiyo.

 

9 years ago

Michuzi

KIGOMA UJIJI YAPATA MEYA TOKA ACT Wazalendo.

Madiwani wa Manispaa ya Kigoma ujiji wakiwa katika picha ya pamoja .Mwenyekiti wa uchaguzi wa Meya na Naibu meya mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe akitoa maelezo ya awali kabla ya uchaguzi.  Meya wa Manispaa ya kigoma Ujiji Hussein Ruhavi akimweleza jambo makamu meya  Athuman Mussa wa manispaa hiyo kushoto ni mbunge wa Kigoma mjini ndiye alikuwa mwenyeti wa uchaguzi Mmoja wa Madiwani akipiga kura ya kumchagua meya wa manispaa ya Kigoma Ujiji
Na Editha Karlo wa Globu ya Jamii,Kigoma

BARAZA ...

 

9 years ago

Dewji Blog

ACT Wazalendo wang’ara jimbo la Kigoma/Ujiji

act wazalendo kigoma

Hii ni kwa mujibu wa Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa Facebook ambapo anajivunia Kigoma/Ujiji kuwa Manispaa ya kwanza kuwa chini ya chama cha ACT Wazalendo.

Na haya ndio matokeo yenye kama alivyoorodhesha kwenye ukurasa wake wa Facebook.

Bangwe: ACT:1939, CCM:1243, CDM: 830

BUHANDA: ACT:1163, CCM: 581, CDM: 1147

BUSINDE: ACT: 376, CCM: 447, CDM: 139

BUZEBAZEBA: ACT: 2758, CCM: 1515, CDM: 1003

GUNGU: ACT: 3528, CCM: 1551, CDM: 1561

KAGERA: ACT: 939,...

 

9 years ago

Mwananchi

ACT Wazalendo kuanzisha benki kwa watu wa Kigoma

Chama cha ACT Wazalendo kimesema kitashawishi uanzishaji wa Benki ya Kijamii ya Watu wa Kigoma (Kigoma Community Bank) ili kuwawezesha wafanyabiashara, wakulima na vikundi vya ujasiriamali kupata mikopo kwa urahisi na riba nafuu.

 

9 years ago

Vijimambo

ACT wazalendo walivyofunga kampeni za uchaguzi 2015 Kigoma.


ACT wazalendo walivyofunga kampeni za uchaguzi 2015 Kigoma.October 24 2015 ndio ilikua siku ya mwisho ya vyama vya siasa Tanzania kupiga kampeni kwa ajili ya uchaguzi mkuu ambao tarehe yake ni October 25 ambapo baada ya kukuonyesha CCM na UKAWA walivyofunga kampeni kwenye post iliyopita, post hii ni ya ACT Wazalendo ambao wamefunga kampeni zao Kigoma.

Zitto Kabwe ndio anaonekana kwenye picha kwenye ufungaji wa kampeni za ACT Kigoma, vilevile Zitto anagombea ubunge wa jimbo la Kigoma mjini na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Zitto na ACT Wazalendo ‘waanza harakati za ukombozi Songea wafungua matawi kila kona

Mwenyekiti Anna Mngwira, baada ya Kuzindua ofisi za Mkoa  za chama cha ACT Mkoani Ruvuma.

Wafuasi wa ACT wakiwa kwenye msafara wa kuwapokea viongozi  wa chama hicho Mjini Songea Mkoani Ruvuma.

Wafuasi wa ACT wakiwa kwenye msafara wa kuwapokea viongozi wa chama hicho Mjini Songea Mkoani Ruvuma.

NA MWANDISHI WETU

MJI wa Songea jana ulizizima kwa mapokezi makubwa  ya viongozi wa  Chama cha ACT-Wazalendo wakiongozwa na kiongozi wa chama hicho Zitto Kabwe.

Zitto, ambaye ameambatana na viongozi wengine wa juu wa ACT akiwemo Mwenyekiti wa ACT Taifa, Anna Mghwira pamoja na Katibu Mkuu wake Samson Mwigamba.

Viongosi hao walisili jana mjini hapa  ambapo walilakiwa na mamia ya wananchi wa...

 

5 years ago

CCM Blog

CHAMA CHA ACT-WAZALENDO CHAPATA MAAFA KIGOMA, MADIWANI WAKE WATANO WANG'OKA NA KUHAMIA CCM, LEO

Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Kagera katika Manispaa ya Kigoma-Ujiji kwa tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo kinachoongozwa na Zitto Kabwe, Ismail Mahamudu  akizungumza mbele ya waandishi wa habari, baada ya yeye na madiwani wengine wanne wa chama hicho, kutangaza kung'oka ACT-Wazalendo.na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika mkutano na waandishi hao uliofanyika leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally na...

 

10 years ago

Michuzi

NCCR-MAGEUZI WAANZA KUSHAMBULIA JIMBO LA VUNJO,WAWATAMBULISHA WAGOMBEA WA NAFASI YA UDIWANI

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi taifa ,Hemed Msabaha akizungumza wakati wa mikutano wa kutamburisha wagombea wa nafasi ya udiwani inayofanyika katika jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro.Baadhi ya viongozi wa NCCR-Mageuzi jimbo la Vunjo wa kiwa katika moja ya mikutano hiyo kata ya Makuyuni.Msaidizi wa Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi taifa na Mbunge wa kuteuliwa, James Mbatia ,Bw Hamis Athuman akitoa salamu za mwenyekiti huyo wakati wa mkutano wa utamburisho wa wagombea...

 

10 years ago

GPL

MWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO‏

 Mwenyekiti wa ACT-Tanzania,  Lucas Kadawi Limbu.   Mwenyekiti wa ACT-Tanzania,  Lucas Kadawi Limbu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, ambapo alipinga Msajili wa Vyama Siasa Nchini, Jaji Francis Mtungi kubadilisha jina la chama cha ACT-Tanzania na kuwa ACT-Wazalendo bila ya kufuata utaratibu. Kulia ni Katibu Muenezi wa chama hicho, Fredy Kisena na Katibu Mkuu wa chama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani