UZINDUZI WA KAMPENI KWA ACT WAZALENDO PALE MBAGALA ZAKHEEM LEO
Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Anna Mghwira (kushoto), akihutubia katika uzinduzi wa kampeni ya chama hizo uliofanyika viwanja vya Zakhem Mbagala jijini Dar es Salaam leo.
Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo, Mhe. Zitto Kabwe akihutubia katika uzinduzi huo uliofanyika leo katika uwanja wa Zakheem Mbagala jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na maelfu ya wananchi.
Mshauri wa chama cha ACT-Wazalendo, Prof. Kitila Mkumbo akihutubia kwenye uzinduzi huo.
Viongozi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboCHAMA CHA ACT-WAZALENDO CHAZINDUA KAMPENI ZAKE VIWANJA VYA MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
Dewji Blog31 Aug
Chama cha ACT-Wazalendo chazindua kampeni zake viwanja vya Mbagala Zakhem Dar Es Salaam
Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Anna Mghwira (kushoto), akihutubia katika uzinduzi wa kampeni ya chama hizo uliofanyika viwanja vya Zakhem Mbagala jijini Dar es Salaam jana.
Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Kabwe Zitto akihutubia katika uzinduzi huo.
Mshauri wa Chama cha ACT-Wazalendo, Profesa Kitila Mkumbo akihutubia kwenye uzinduzi huo.
Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Kabwe Zitto (kushoto), akiteta jambo na Mgombea urais wa Tanzania...
9 years ago
Mwananchi30 Aug
ACT - Wazalendo kuzindua kampeni leo
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hEfyesP0w8A/Vd4zgdpHbkI/AAAAAAAH0Q8/nxLOx4_IzEg/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-8Q3RNVOW9bY/VRWEaN4RiQI/AAAAAAAAq0c/9qzzVl5pYRI/s72-c/Tundu-Lisu.jpg)
LISSU AWAZUIA WABUNGE WA CHADEMA KUHUDHURIA UZINDUZI WA ACT-WAZALENDO
![](http://2.bp.blogspot.com/-8Q3RNVOW9bY/VRWEaN4RiQI/AAAAAAAAq0c/9qzzVl5pYRI/s640/Tundu-Lisu.jpg)
Lissu awazuia wabunge wa chadema kuhudhuria uzinduzi wa act-wazalendo.Lissu awazuia wabunge wa Chadema kuhudhuria Uzinduzi wa Chama cha ACT-WAZALENDO. Amesema atakaye hudhuria ni msaliti ndani ya Chadema na hatua kali zitachukuliwa dhidi ya mbunge huyo
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Siku 10 za kampeni za ACT-Wazalendo
9 years ago
VijimamboMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MBAGALA (ACT-WAZALENDO), AHAIDI MAKUBWA KATIKA JIMBO HILO
Na Dotto Mwaibale
MGOMBEA ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Soud Rajabu ameahidi endapo atachaguliwa nafasi hiyo atahakikisha anapunguza gharama za huduma...
9 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MBAGALA (ACT-WAZALENDO), AAHIDI MAKUBWA KATIKA JIMBO HILO
Na Dotto MwaibaleMGOMBEA ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Soud Rajabu ameahidi endapo atachaguliwa nafasi hiyo atahakikisha anapunguza gharama za huduma...
9 years ago
Vijimambo25 Oct
ACT wazalendo walivyofunga kampeni za uchaguzi 2015 Kigoma.
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/10/Z-3.jpg?resize=501%2C370)
ACT wazalendo walivyofunga kampeni za uchaguzi 2015 Kigoma.
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/10/Z-1.jpg?resize=582%2C427)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/10/Z-2.jpg?resize=584%2C429)
Zitto Kabwe ndio anaonekana kwenye picha kwenye ufungaji wa kampeni za ACT Kigoma, vilevile Zitto anagombea ubunge wa jimbo la Kigoma mjini na...