Benki ya Stanbic yazindua mashine za kisasa za kutolea fedha
Benki ya Stanbic Tanzania katika kuboresha huduma zake zaidi kwa wateja wake imezindua mashine za kisasa za kutolea fedha (ATM) zenye kioo cha kugusa (Touch Screen) wakati wa kufanya miamala ikiwa ni benki ya kwanza kuleta mashine hizi za kisasa hapa nchini Tanzania.
Mkuu wa Huduma mbadala wa Stanbic Tanzania Farha Mohamed alisema...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboBENKI YA STANBIC YAZINDUA TAWI LAKE JIJINI MBEYA
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
BMTL yaja na mashine za kutuma fedha benki
WAKATI wahalifu wakiwa wanabuni mbinu mpya kila siku za kuiba katika benki tofauti nchini, Kampuni Business Machines Tanzania Limited (BMTL), imekuja na mashine mpya za kuwadhibiti wahalifu ikiwemo ya kutuma...
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Benki ya NMB yazindua mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa mikopo, wateja sasa kupata mikopo ndani ya siku 4
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc Ineke Bussemaker akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa za mikopo uliozinduliwa na Benki hiyo. Mfumo huo utatutumika kwenye kanzi data ya Mikopo ya Benki hiyo ( CRB’s) kwa lengo la kuwawezesha wateja wakubwa na wadogo wa wanaoomba mikopo kuipata ndani ya siku 1 hadi 4 .
Afisa Mkuu Udhibiti wa Hasara wa Benki ya NMB Bw. Tom Borghols (wa pili kutoka kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa Habari (hawapo...
9 years ago
Dewji Blog28 Sep
Stanbic Tanzania yazindua tawi mkoani Mbeya
Mkuu wa wilaya ya Mbeya Bw.Nyerembe Munasa (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa tawi la Benki ya Stanbic tawi la Mbeya uliofanyika mwishoni mwa wiki kulia kwake ni Mwenyekiti wa Bodi ya Benki hiyo Hatib Senkoro na kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Stanbic Tanzania Bw. Ken Cockerill.
Mkuu wa wilaya ya Mbeya Bw.Nyerembe Munasa (katikati) akisoma maandishi ya bango lililopo kwenye benki ya Stanbic tawi la Mbeya muda mfupi baada ya kulizindua mwishoni mwa wiki kulia kwake ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eqbRlA550Wg/Xos8RFgJn2I/AAAAAAALmM8/nsbs_ayFzmkLc2g9A2lwY1CZfr81Y9w4ACLcBGAsYHQ/s72-c/Kevin%2BWingfield%2B1.jpg)
Benki ya Stanbic yateua Mkurugenzi Mkuu mpya
![](https://1.bp.blogspot.com/-eqbRlA550Wg/Xos8RFgJn2I/AAAAAAALmM8/nsbs_ayFzmkLc2g9A2lwY1CZfr81Y9w4ACLcBGAsYHQ/s400/Kevin%2BWingfield%2B1.jpg)
Wingfield anachukua nafasi ya Ken Cockerill ambae ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Standard Bank nchini Lesotho.
Safari ya Wingfield ilianza mwaka 1998, katika taasisi ya Standard Bank Group, mpaka sasa ana uzoefu wa zaidi miaka ishirini. Wingfield ameshika nyadhifa mbalimbali ndani ya taasisi hiyo ikiwemo; Mkurugenzi wa maendeleo ya kimkakati kwa wateja, huduma za kibenki za watu binafsi...
9 years ago
Raia Mwema10 Dec
Fedha za Stanbic ziligharimia kampeni Ukawa?
UCHUNGUZI unaoendelea wa serikali kuhusu ufisadi wa takribani shilingi bilioni 13 katika mkopo ul
Mwandishi Wetu
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iyDyWgzFp8Y/Vl2hBaEQW_I/AAAAAAAIJh0/zB0_sjqDyr0/s72-c/_MG_1724.jpg)
BREAKING NYUZZZZZ: BENKI YA STANBIC TANZANIA MATATANI TENA
![](http://3.bp.blogspot.com/-iyDyWgzFp8Y/Vl2hBaEQW_I/AAAAAAAIJh0/zB0_sjqDyr0/s640/_MG_1724.jpg)
Amesema kuwa Benki kuu ilifanya ukaguzi wa benki hiyo na mambo mengine walibaini malipo yasiyokuwa ya kawaida kuhusiana na kampuni ya kitanzania inayoitwa Egma,malipo...
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Mnyika ayataka majina waliochukua fedha Stanbic
10 years ago
Habarileo09 Sep
Mashine za kisasa za ebola zafungwa
KATIKA jitihada za Serikali kuimarisha mifumo ya kukinga taifa na maambukizi ya virusi hatari vya homa ya ebola, mashine mpya sita za kisasa zaidi za kukagua wageni wote wanaofika nchini kupitia usafiri wa anga, zimewasili nchini na tayari zimefungwa katika viwanja vikubwa vya ndege.