Benki ya Stanbic yateua Mkurugenzi Mkuu mpya
![](https://1.bp.blogspot.com/-eqbRlA550Wg/Xos8RFgJn2I/AAAAAAALmM8/nsbs_ayFzmkLc2g9A2lwY1CZfr81Y9w4ACLcBGAsYHQ/s72-c/Kevin%2BWingfield%2B1.jpg)
Benki ya Stanbic Tanzania imemteua Kevin Wingfield kuwa Mkurugenzi Mkuu kuanzia tarehe 01 Aprili 2020.
Wingfield anachukua nafasi ya Ken Cockerill ambae ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Standard Bank nchini Lesotho.
Safari ya Wingfield ilianza mwaka 1998, katika taasisi ya Standard Bank Group, mpaka sasa ana uzoefu wa zaidi miaka ishirini. Wingfield ameshika nyadhifa mbalimbali ndani ya taasisi hiyo ikiwemo; Mkurugenzi wa maendeleo ya kimkakati kwa wateja, huduma za kibenki za watu binafsi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
Benki ya Standard Chartered yateua Mkurugenzi wa kwanza Mtanzania
Sanjay Rughani (pichani) anakuwa Mtanzania wa kwanza kuiongoza benki ya Standard Chartered Tanzania akipokea uongozi wa benki hiyo kutoka kwa aliyekuwa mkurugenzi wake, Liz Lloyd, ambaye amerudi katika makao makuu ya benki hiyo, London, kuchukua nafasi ya Mshauri wa Kisheria wa benki hiyo.
Sanjay alijiunga na benki ya Standard Chartered Tanzania mwaka wa 1999 akiwa kama Meneja msaidizi wa kitengo cha Fedha. Baada ya miaka miwili Sanjay alipata cheo cha Meneja wa kitengo cha Fedha kwa Bara...
10 years ago
MichuziMkurugenzi Mkuu na Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Dunia afanya ziara katika Bandari ya Dar es Salaam
10 years ago
MichuziBENKI YA NBC TANZANIA YAPATA MKURUGENZI MTENDAJI MPYA.
10 years ago
Michuzi16 Sep
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vS91bNVLCL8/VafkgkZqpMI/AAAAAAAHqHU/Wa-mfYklEto/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
Mkurugenzi Mkuu mpya TCRA Dkt.Ally Yahaya Simba amtembelea Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
![](http://3.bp.blogspot.com/-vS91bNVLCL8/VafkgkZqpMI/AAAAAAAHqHU/Wa-mfYklEto/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gIVlifSpd8I/VafklLcnB8I/AAAAAAAHqHk/5DuUpv4LC2U/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
10 years ago
MichuziTCRA YAPATA MKURUGENZI MKUU MPYA
Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Ally Yahaya Simba alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Wizara ya Mawasiliano,...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-COiH_jcLt1E/U6rWxPVwq_I/AAAAAAAFs64/4tdvGclOAUU/s72-c/New+Picture.png)
SUMATRA YAPATA MKURUGENZI MKUU MPYA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA UCHUKUZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-COiH_jcLt1E/U6rWxPVwq_I/AAAAAAAFs64/4tdvGclOAUU/s1600/New+Picture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kwa mujibu wa Sheria ya Wakala wa Serikali No. 30 ya mwaka 1997, Kifungu Na. 9 ikisomwa pamoja na Marekebisho yake ya Mwaka 2009, Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Dkt. Harrison G. Mwakyembe(MB) amemteua Bw. Gilliad Wilson Ngewe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) kuanzia tarehe1/6/2014.
Kabla ya Uteuzi huo Bw. G. W. Ngewe , alikuwa Kaimu...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PHyjBmKI9K4/Vd71wO6nT6I/AAAAAAAH0Y0/-emk9ILJyYU/s72-c/k1.jpg)
RAIS AAGANA NA BALOZI WA UTURUKI NCHINI, MABALOZI WA TANZANIA UHOLANZI NA ZIMBABWE NA KUONANA NA MKURUGENZI MKUU WA BENKI YA NMB IKULU JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-PHyjBmKI9K4/Vd71wO6nT6I/AAAAAAAH0Y0/-emk9ILJyYU/s640/k1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OCQYlFJSu8E/Vd71wE0paOI/AAAAAAAH0Y4/oAHzXozn2m4/s640/k2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iyDyWgzFp8Y/Vl2hBaEQW_I/AAAAAAAIJh0/zB0_sjqDyr0/s72-c/_MG_1724.jpg)
BREAKING NYUZZZZZ: BENKI YA STANBIC TANZANIA MATATANI TENA
![](http://3.bp.blogspot.com/-iyDyWgzFp8Y/Vl2hBaEQW_I/AAAAAAAIJh0/zB0_sjqDyr0/s640/_MG_1724.jpg)
Amesema kuwa Benki kuu ilifanya ukaguzi wa benki hiyo na mambo mengine walibaini malipo yasiyokuwa ya kawaida kuhusiana na kampuni ya kitanzania inayoitwa Egma,malipo...