Mashine za kisasa za ebola zafungwa
KATIKA jitihada za Serikali kuimarisha mifumo ya kukinga taifa na maambukizi ya virusi hatari vya homa ya ebola, mashine mpya sita za kisasa zaidi za kukagua wageni wote wanaofika nchini kupitia usafiri wa anga, zimewasili nchini na tayari zimefungwa katika viwanja vikubwa vya ndege.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili31 Jul
Ebola:Shule zote zafungwa Liberia
9 years ago
MichuziMuhumbili yapatiwa msaada wa mashine ya kisasa ya Digital ya X-Ray
Mashine hiyo imegharimu Dola 200,000 za Marekani ambazo zimetolewa na serikali kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ambayo ina uwezo wa kusafirisha picha nje ya nchi ili kupata ushauri wa kitaalamu.
Akilelezea kuhusu maendeleo ya mashine ya MRI na CT-SCAN , Mkuu wa Idara ya Mionzi wa...
9 years ago
Dewji Blog03 Sep
Benki ya Stanbic yazindua mashine za kisasa za kutolea fedha
Benki ya Stanbic Tanzania katika kuboresha huduma zake zaidi kwa wateja wake imezindua mashine za kisasa za kutolea fedha (ATM) zenye kioo cha kugusa (Touch Screen) wakati wa kufanya miamala ikiwa ni benki ya kwanza kuleta mashine hizi za kisasa hapa nchini Tanzania.
Mkuu wa Huduma mbadala wa Stanbic Tanzania Farha Mohamed alisema...
10 years ago
MichuziMSAMA AKAMATA CD FEKI ZA MIL 200 PAMOJA NA MASHINE YA KISASA YA KURUDUFU CD
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
AUDIO: Jaji Lubuva akanusha vikali taarifa ya gazeti ‘Mkandarasi wa mashine za BVR amegoma kuleta mashine nchini’
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damiani Lubuva akitoa kanusho kuhusiana na Mkandarasi wa BVR kugoma kuleta vifaa, achachamaa kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Tanzania Daima.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lv0ys3pR-sE/U1kfUPhQuAI/AAAAAAAFcpo/LUbHaHjqi0A/s72-c/ko3.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA HOSPITALI KUBWA NA YA KISASA YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI KISASA KIJIJINI MLOGANZILA
![](http://3.bp.blogspot.com/-lv0ys3pR-sE/U1kfUPhQuAI/AAAAAAAFcpo/LUbHaHjqi0A/s1600/ko3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-b-9rLuTAafY/U1kfVLo73AI/AAAAAAAFcpw/EFC0qCv_Fcw/s1600/ko4.jpg)
9 years ago
BBCSwahili20 Aug
Kampuni 70 za mawakala zafungwa Tanzania
9 years ago
BBCSwahili30 Aug
Liverpool, Chelsea zafungwa nyumbani
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Meningitis; Shule zafungwa Niger