Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meningitis; Shule zafungwa Niger

Shulenchini Niger zinafungwa kwa siku kadha wakati nchi hiyo inapojaribu kukabilian na mlipuko wa ugonjwa wa uti wa mgongo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

Niger battles meningitis outbreak

A mass immunisation programme to protect children against meningitis starts in Niger, as the death toll rises from 85 to 129.

 

10 years ago

BBC

Niger schools shut over meningitis

All schools in and around Niger's capital, Niamey, are to stay shut until Monday because of a meningitis outbreak that has killed 85 people this year.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola:Shule zote zafungwa Liberia

Rais wa Liberia ametangaza kufungwa kwa shule zote katika jitihada za kuzuia kuenea kwa Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Shule zafungwa Kenya kutokana na mgomo

Wanafunzi wengi Kenya wamesalia nyumbani baada ya serikali kuagiza kufungwa kwa shule zote leo kwa sababu ya mgomo wa walimu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Shule 700 zafungwa Korea Kusini

Zaidi ya shule 700 Korea Kusini zimefungwa kuhofia kuenea kwa ugonjwa uliozuka kwa ugonjwa unaoshambulia mfumo wa upumuaji.

 

10 years ago

Vijimambo

Nyarugusu shule zafungwa kuhifadhi wakimbizi wa Burundi.

Mratibu wa Idara ya Wakimbizi Kanda ya Kigoma, Tony Laiser (kulia) akimuhoji Mkimbizi kutoka nchini Burundi, Bibi Karumere (katikati) wakati wa kufanyiwa uhakiki wa taarifa zake ili aweze kutambulika rasmi kuwa ni Mkimbizi katika Kambi ya Nyarugusu, iliyopo Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma. Zaidi ya familia ya Wakimbizi 14,000 sawa na jumla ya Wakimbizi 68,000 wamefanyiwa uhakiki huo kambini hapo.Mama Mkimbizi kutoka nchini Kongo akiwa na mwanae, pamoja na wakimbizi wengine wakisubiria kwenda...

 

9 years ago

BBCSwahili

Shule zote Los Angeles zafungwa ghafla

Shule zote za uma katika jimbo Los Angeles Marekani zimefungwa mara moja kufuatia tishio la usalama.

 

9 years ago

StarTV

Shule mbili za msingi binafsi zafungwa Geita

Halmashauri ya Mji wa Geita imezifungia shule mbili za msingi za binafsi kwa kosa la kuendesha shule hizo kinyume na taratibu za usajili.

Shule zingine zimepewa barua za kuzuiwa kuendesha shule za awali ambazo baadhi yake hazina mazingira salama kwa wanafunzi.

Baadhi ya Shule za Msingi zimekuwa pia zikitumia ujanja wa kupeleka wanafunzi wa darasa la nne kufanya mitihani katika shule za binafsi zilizosajiliwa na baadae kuendelea na masomo katika shule zao.

Shule ya msingi Samandito na Maguzu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani