Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola:Shule zote zafungwa Liberia

Rais wa Liberia ametangaza kufungwa kwa shule zote katika jitihada za kuzuia kuenea kwa Ebola.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Shule zote Los Angeles zafungwa ghafla

Shule zote za uma katika jimbo Los Angeles Marekani zimefungwa mara moja kufuatia tishio la usalama.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Shule zafunguliwa Liberia

Maelfu ya wanafunzi wamerejea mashuleni hii leo huko liberia baada ya kufungwa kwa muda mrefu kufuatia mlipuko wa Ugonjwa wa Ebola

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Shule zaendelea kufungwa Liberia

Liberia imehairisha kufunguliwa kwa shule nchini kutokana na sababu kuwa hazijajiandaa kikamilifu kuzuia kusambaa kwa ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Meningitis; Shule zafungwa Niger

Shulenchini Niger zinafungwa kwa siku kadha wakati nchi hiyo inapojaribu kukabilian na mlipuko wa ugonjwa wa uti wa mgongo

 

9 years ago

BBCSwahili

Shule zafungwa Kenya kutokana na mgomo

Wanafunzi wengi Kenya wamesalia nyumbani baada ya serikali kuagiza kufungwa kwa shule zote leo kwa sababu ya mgomo wa walimu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Shule 700 zafungwa Korea Kusini

Zaidi ya shule 700 Korea Kusini zimefungwa kuhofia kuenea kwa ugonjwa uliozuka kwa ugonjwa unaoshambulia mfumo wa upumuaji.

 

10 years ago

Habarileo

Mashine za kisasa za ebola zafungwa

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa, Cosmas MwaifwaniKATIKA jitihada za Serikali kuimarisha mifumo ya kukinga taifa na maambukizi ya virusi hatari vya homa ya ebola, mashine mpya sita za kisasa zaidi za kukagua wageni wote wanaofika nchini kupitia usafiri wa anga, zimewasili nchini na tayari zimefungwa katika viwanja vikubwa vya ndege.

 

10 years ago

Vijimambo

Nyarugusu shule zafungwa kuhifadhi wakimbizi wa Burundi.

Mratibu wa Idara ya Wakimbizi Kanda ya Kigoma, Tony Laiser (kulia) akimuhoji Mkimbizi kutoka nchini Burundi, Bibi Karumere (katikati) wakati wa kufanyiwa uhakiki wa taarifa zake ili aweze kutambulika rasmi kuwa ni Mkimbizi katika Kambi ya Nyarugusu, iliyopo Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma. Zaidi ya familia ya Wakimbizi 14,000 sawa na jumla ya Wakimbizi 68,000 wamefanyiwa uhakiki huo kambini hapo.Mama Mkimbizi kutoka nchini Kongo akiwa na mwanae, pamoja na wakimbizi wengine wakisubiria kwenda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani