Shule zafungwa Kenya kutokana na mgomo
Wanafunzi wengi Kenya wamesalia nyumbani baada ya serikali kuagiza kufungwa kwa shule zote leo kwa sababu ya mgomo wa walimu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Meningitis; Shule zafungwa Niger
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Shule 700 zafungwa Korea Kusini
11 years ago
BBCSwahili31 Jul
Ebola:Shule zote zafungwa Liberia
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-hQOuDOb-Jo0/U_nWUdVii1I/AAAAAAAGCAg/DsPM3FFX-EI/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
Nyarugusu shule zafungwa kuhifadhi wakimbizi wa Burundi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-hQOuDOb-Jo0/U_nWUdVii1I/AAAAAAAGCAg/DsPM3FFX-EI/s640/unnamed%2B(55).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XMkxhjoejb0/U_nYNVZXZ2I/AAAAAAAGCA8/n61grqrNF9c/s640/unnamed%2B(58).jpg)
9 years ago
StarTV12 Nov
Shule mbili za msingi binafsi zafungwa Geita
Halmashauri ya Mji wa Geita imezifungia shule mbili za msingi za binafsi kwa kosa la kuendesha shule hizo kinyume na taratibu za usajili.
Shule zingine zimepewa barua za kuzuiwa kuendesha shule za awali ambazo baadhi yake hazina mazingira salama kwa wanafunzi.
Baadhi ya Shule za Msingi zimekuwa pia zikitumia ujanja wa kupeleka wanafunzi wa darasa la nne kufanya mitihani katika shule za binafsi zilizosajiliwa na baadae kuendelea na masomo katika shule zao.
Shule ya msingi Samandito na Maguzu...
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Shule zote Los Angeles zafungwa ghafla
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-cDpSE_SiaPE/VSujmXOoTKI/AAAAAAAAaqs/XBqllksIEu8/s72-c/1.jpg)
Shule Za Sekondari za Serikali Zafungwa Kwa Kukosa Chakula
![](http://2.bp.blogspot.com/-cDpSE_SiaPE/VSujmXOoTKI/AAAAAAAAaqs/XBqllksIEu8/s1600/1.jpg)
Shule mbalimbali za sekondari za bweni zinazomilikiwa na Serikali zimefungwa kutokana na kukosa chakula.
Uchunguzi umebaini takribani kwenye mikoa yote kuna shule zimefungwa na nyingine ziko hatarini kufungwa kwa kukosa chakula.Mkoani Dodoma Shule ya Sekondari Mpwapwa iliyopo katika Wilaya ya Mpwapwa ilitakiwa kufunguliwa tangu Aprili 8, lakini imeshindikana kutokana na ukosefu wa chakula.
Mkuu wa shule hiyo, Nelson Mbilinyi, alisema walifunga shule kwa ajili ya likizo fupi, lakini hadi sasa...
10 years ago
Vijimambo22 Sep
SHULE ZAFUNGWA JIJINI DAR KUHOFIA WATOTO KUTEKWA
![](http://www.baabkubwamagazine.com/wp-content/uploads/2014/09/114-560x336.jpg)