Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muhumbili yapatiwa msaada wa mashine ya kisasa ya Digital ya X-Ray

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imepata mashine mpya na ya kisasa ya Digital X-ray ambayo wataalamu wake hawatalazimika kutumia filamu kusafisha picha kama ilivyozoeleka katika mashine za kawaida.
Mashine hiyo imegharimu Dola 200,000 za Marekani ambazo zimetolewa na serikali kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ambayo ina uwezo wa kusafirisha picha nje ya nchi ili kupata ushauri wa kitaalamu.
Akilelezea kuhusu maendeleo ya mashine ya MRI na CT-SCAN , Mkuu wa Idara ya Mionzi wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI YAPATIWA MASHINE YA MATIBABU YA MOYO

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dk Hussein Kidanto (kushoto) akipokea mashine za matibabu ya kufuatilia mwenendo wa mapigo ya moyo kutoka kwa Mwenyekiti wa taasisi ya Human Welfare Trust, Gulab Shah, kwenye makabidhiano ya mashine hizo zilizotolewa ikiwa ni msaada kutoka kwa wanachama wa taasisi hiyo, jijini Dar es Salaam jana. Wengine pichani ni wanachama wa taaisi hiyo

 

10 years ago

Tanzania Daima

Shule yapatiwa msaada wa mil 14/-

MFANYABIASHARA na Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Arif Abri ametoa msaada wa sh milioni 14 kwa shule ya Sekondari ya Nyerere iliyopo wilaya ya Iringa kwa...

 

9 years ago

Michuzi

Muhimbili yapatiwa msaada wa vifaa vya kuokoa maisha ya watoto

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imepatiwa msaada wa vifaa kumi  vya tiba vya kuwahudumia watoto  mara wapougua na kufikishwa kwenye hospitali hiyo.
Vifaa hivyo vina thamani ya Dola za Kimarekani Laki moja sawa na zaidi Sh milioni 2 vimetolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF),kwa lengo la kupunguza vifo vya watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.
Baadhi ya vifaa vilivyotolewa  ni Ventilator, medical, adult –child ,w/access pamoja na Warmer system , newborn,...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Shule ya msingi Mtemani Wingwi yapatiwa vifaa vya kisasa vya maktaba

Na: Moh’d Said Shule ya msingi ya mtemani Wingwi iliyoko Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba, imekabidhiwa vifaa vya kisasa kwa ajili ya ujenzi na uanzishaji wa maktaba ya kisasa (Digital Library) inayaotarajiwa kufunguliwa hivi […]

The post Shule ya msingi Mtemani Wingwi yapatiwa vifaa vya kisasa vya maktaba appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Michuzi

SHULE YA MSINGI MTEMANI WINGWI MKOA WA KASKAZINI PEMBA YAPATIWA VIFAA VYA KISASA VYA MAKTABA

Na: Moh’d Said  Shule ya msingi ya mtemani Wingwi iliyoko Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba, imekabidhiwa vifaa vya kisasa kwa ajili ya ujenzi na uanzishaji wa maktaba ya kisasa (Digital Library) inayaotarajiwa kufunguliwa hivi karibuni. Tukio hilo lilifanyika leo katika viwanja vya shule ya mtemani mbele ya kamati ya shule hiyo ambapo muhisani na mdau wa maendeleo nchini ambaye pia ni mhadhiri kutoka chuo kikuu cha London, SOAS, Bwana Yussuf Shoka Hamad alikabidhi zawadi hizo...

 

10 years ago

Habarileo

Mashine za kisasa za ebola zafungwa

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa, Cosmas MwaifwaniKATIKA jitihada za Serikali kuimarisha mifumo ya kukinga taifa na maambukizi ya virusi hatari vya homa ya ebola, mashine mpya sita za kisasa zaidi za kukagua wageni wote wanaofika nchini kupitia usafiri wa anga, zimewasili nchini na tayari zimefungwa katika viwanja vikubwa vya ndege.

 

9 years ago

Dewji Blog

Benki ya Stanbic yazindua mashine za kisasa za kutolea fedha

stan atms

Mkuu wa Huduma mbadala wa Stanbic Tanzania Farha Mohamed akionyesha jinsi ATM za kisasa zinavyofanya kazi wakati wa uzinduzi uliofanyika jijini Dar es Salaam.

Benki ya Stanbic Tanzania katika kuboresha huduma zake zaidi kwa wateja wake imezindua  mashine za kisasa za kutolea fedha (ATM) zenye kioo cha kugusa (Touch Screen) wakati wa kufanya miamala ikiwa ni benki ya kwanza kuleta mashine hizi za kisasa hapa nchini  Tanzania.

Mkuu wa Huduma mbadala wa Stanbic Tanzania Farha Mohamed alisema...

 

10 years ago

Michuzi

MSAMA AKAMATA CD FEKI ZA MIL 200 PAMOJA NA MASHINE YA KISASA YA KURUDUFU CD


Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akionyesha mashine ya kisasa aina ya LG iliyokamatwa kutoka kwa watuhumiwa wa kurudufu kazi za wasanii (CD FEKI) katika maeneo ya Kariakoo na Kimarta Bonyokwa jijini Dar es Salaam.  Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akionesha mashine ya kisasa aina ya LG waliyokamatwa nayo watuhumiwa wa kurudufu CD feki za kazi za wasanii katika maeneo ya Kariakoo na Kimara Bonyokwa jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mrakibu Msaidizi wa...

 

5 years ago

Michuzi

ZANZIBAR YAPATA MSAADA WA MASHINE ZA KUPIMA JOTO

 Mfanyabiashara Said Nasser Nassor {Bopar} Kushotoakimkabidhi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Mashine za Kupimia Joto kukamilisha ahadi aliyotoa Wiki iliyopita ya mchango wake wa kusaidia Vifaa kwenye mapambano dhidi ya Virusi vya Corona. Balozi Seif akiangalia moja ya Mashine hiyo ya kupimia Jotola mwili inayosaidia kutoa viashiria vya kutambua matatizo ya maradhi kwenye Mwili wa Mwanaadamu.Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddiakitoa shukrani mara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani