RAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA HOSPITALI KUBWA NA YA KISASA YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI KISASA KIJIJINI MLOGANZILA
![](http://3.bp.blogspot.com/-lv0ys3pR-sE/U1kfUPhQuAI/AAAAAAAFcpo/LUbHaHjqi0A/s72-c/ko3.jpg)
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Balozi wa Korea nchini Mhe. Chung IL wakikata utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa Hospitali kubwa na ya kisasa ya Chuo Kikuuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili kijijini Mloganzila maeneo ya Kwembe, Kilometa 24 kutoka jijini Dar es salaam, baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa hospitali hiyo itakayokuwa kubwa kuliko zote nchini leo April 24, 2014.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Balozi wa Korea nchini Mhe. Chungh...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EpMKUx7-Q3c/U-pjIhNqySI/AAAAAAAF_CE/Ax6718MSuGk/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MAGUFULI AKAGUA MIZANI YA KISASA YA VIGWAZA MKOANI PWANI PAMOJA NA UJENZI WA BARABARA YA KIBAMBA-KWEMBE-MAKONDEKO (17KM) ITAKAYOPITA KATIKA CHUO KIKUU CHA MUHIMBILI, MLOGANZILA, KIBAMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EpMKUx7-Q3c/U-pjIhNqySI/AAAAAAAF_CE/Ax6718MSuGk/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lBlRrWVh83k/U-pjJ9lCBqI/AAAAAAAF_CM/gF9e39XJUYY/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
10 years ago
Vijimambo04 Oct
RAIS KIKWETE AKAGUA CHUO CHA SAYANSI YA AFYA NA UCHUNGUZI WA MAGONJWA YA BINADAMU CHA UDOM
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/8OcIUHRT--_OAzviO2Xvcaq3hiyUREZFk39-1tWvYVgeWyPJMuoWzINQjQKwSpdH8XMqP60jCa1qPHQIhyooo3eIGDeW_zpM4hft-30X5aUkSJaJulUzM0Zr_Z4oRYl-PBcAncrUIot5IHFYD1s_-Ds2H5mMY3r-6Bms3NhG0ce51V5h6t-CAycvQrgUFZoinaTVYTvh9N6jQLi8YOozR3b77HlPZQ8_FTzvqc8pJ_u57QtHEwZaO0ejGYDtSydmqcggehC05IqxWH157wFTGPdPHD_S0YpgllVORLQtTc4a1BtcvOl4pMwbnGYwkoLRAzZGvyI3tGklmw=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-R5XjpaarlVc%2FVC_Mr9kNtyI%2FAAAAAAAGnto%2FdsSJ-t_nHQc%2Fs1600%2Fu2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
Rais Kikwete azindua rasmi kituo cha magonjwa ya Moyo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili Jijini Dar
Rais Dkt Jakaya Mrisho kikwete akiongea na mmoja wa wagonjwa watoto waliofanyiwa upasuaji kwenye kituo kipya na cha kisasa cha Moyo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kukifungua rasmi jana April 27, 2014.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Makamu Mwenyekiti wa chama tawala cha China cha National People’s Congress Mhe. Chen Changzhi (kushoto) wakioneshwa moja ya vifaa vya kisasa vya kuchunguzia maradhi kwenye kituo kipya na cha kisasa cha Moyo katika hospitali ya Taifa ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XswnwlaLlAiLoGgL8CrHx7lrZ11s5SccYFokRh6zk3vlE5FcEsDIjJ-MYPP69MtEDyo0AkcsbDDUBwhaZmd77Q9Jthzq9n6r/0L7C3878.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ASHIRIKI ZOEZI LA KUCHANGIA FEDHA ZA UJENZI WA CHUO KIKUU CHA TUMAINI TAWI LA DAR
9 years ago
MichuziNHIF YAKAMILISHA UJENZI WA KITUO CHA KISASA CHA UCHUNGUZI NA MATIBABU KILICHOJENGWA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-YF8Cl6f9BDk/Vlhpe8ekmZI/AAAAAAADC6U/V0-ykHicOj4/s640/NHIF%2BKAIMU%2BMKURUGENZI%2BMKUU%2B1.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U-QNuL7WAxldKMDeHAFj0Bua3eCVal51fDcoWjyJkKUIaW4JwS*JIPxwQsOxUkgicKDGCBiByLq9r6Y4caozTTq3H0-De2cp/12036945_1054195471265784_901197484293267345_n.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AZINDUA JENGO LA KISASA JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog12 Feb
Rais Kikwete azindua rasmi Jengo la kisasa la biashara Kilimanjaro
Mhe. Rais Dr. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua pazia kuzindua rasmi Jengo la kisasa la Kitega Uchumi la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Moshi, mkoani Kilimanjaro jana. Kushoto ni Waziri wa Kazi na Ajira, Bi. Gaudencia kabaka. (Na Mpigapicha Wetu).
![Mhe. Rais Dr. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi Jengo la kisasa la Kitega Uchumi la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii mjini Moshi Kilimanjaro jana. Wengine ni Waziri wa Kazi na Ajira, Bi. Gaudensia Kabaka (kushoto kwa Rais), Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhan Dau (kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Kilimajaro, Bw. Leonidas Gama.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/Utwpe-2.jpg)
Mhe. Rais Dr. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi Jengo la kisasa la Kitega Uchumi la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii mjini Moshi Kilimanjaro jana. Wengine ni Waziri wa Kazi na Ajira, Bi. Gaudensia Kabaka...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-TKJ4LewWkMc/VLFdbDdYvjI/AAAAAAAG8jk/ezxVtqxjCaA/s72-c/jw1.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA NYUMBA ZA KISASA ZA MAKAZI YA WANAJESHI GONGO LA MBOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-TKJ4LewWkMc/VLFdbDdYvjI/AAAAAAAG8jk/ezxVtqxjCaA/s640/jw1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gsOd-OgtVTY/VLFdsWTp-rI/AAAAAAAG8lQ/6Di1ohelyng/s640/jw3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Jan
Rais Kikwete azindua nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi Gongo la Mboto, Dar es Salaam
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Balozi wa China nchini Mhe Lu Youqing alipowasili kuzindua nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi Gongo la Mboto jijini Dar es salaam Jumamosi 10, 2015. Wengine ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga taifa Dkt Hussein Mwinyi, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange, na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Mhe Said Meck Sadick,
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana...