Mnyika ayataka majina waliochukua fedha Stanbic
Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema) ametaka watu wote waliopokea fedha zaidi ya Sh73 bilioni kutoka kwenye akaunti mbili za PAP katika Benki ya Stanbic iliyopokea fedha za escrow watajwe majina na kufilisiwa mali zao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Nov
‘Waliochukua fedha za Escrow wachukuliwe hatua’
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-R6juBeRkVkM/XkqEzoQjvhI/AAAAAAALdug/WlgVEZdBd6MB4GbKB17NXBcm-zeT20OvQCLcBGAsYHQ/s72-c/86970582_2658308160933509_7126830295872962560_n.jpg)
RAIS MAGUFULI: VIONGOZI WALIOCHUKUA FEDHA ZA TASAF KINYUME NA MALENGO WAZIREJESHE HARAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-R6juBeRkVkM/XkqEzoQjvhI/AAAAAAALdug/WlgVEZdBd6MB4GbKB17NXBcm-zeT20OvQCLcBGAsYHQ/s640/86970582_2658308160933509_7126830295872962560_n.jpg)
RAIS Dkt. John Magufuli amewataka Viongozi wote wa Serikali waliochukua fedha za mpango wa kunusuru kaya maskini nchini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) na kuzitumia isivyo sahihi kuzirejesha mara moja kwani serikali haipo tayari kuona fedha hizo zikitumika kinyume na malengo yaliyowekwa.
Akizngumza katika hafla ya uzinduzi wa Kipindi cha Pili cha Awamu ya Tatu ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) leo Jumatatu (Februari 17, 2020) Jijini Dar es...
9 years ago
Raia Mwema10 Dec
Fedha za Stanbic ziligharimia kampeni Ukawa?
UCHUNGUZI unaoendelea wa serikali kuhusu ufisadi wa takribani shilingi bilioni 13 katika mkopo ul
Mwandishi Wetu
9 years ago
Dewji Blog03 Sep
Benki ya Stanbic yazindua mashine za kisasa za kutolea fedha
Benki ya Stanbic Tanzania katika kuboresha huduma zake zaidi kwa wateja wake imezindua mashine za kisasa za kutolea fedha (ATM) zenye kioo cha kugusa (Touch Screen) wakati wa kufanya miamala ikiwa ni benki ya kwanza kuleta mashine hizi za kisasa hapa nchini Tanzania.
Mkuu wa Huduma mbadala wa Stanbic Tanzania Farha Mohamed alisema...
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Mnyika: JK aweke hadharani fedha za masoko ya Machinga
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika, amemtaka Rais Jakaya Kikwete aweke hadharani fedha alizosema zimetengwa kwa ajili ya kujengea masoko ya kisasa ya machinga kila Wilaya Mkoa wa Dar es Salaam,...
11 years ago
Mwananchi31 May
Mnyika aishukia Serikali utoroshaji fedha nje ya nchi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bIjGfIPeqx0/XkVu-777hJI/AAAAAAALdSE/hfu_70dOXcMKc44tzv5liOKHNib62QRmACLcBGAsYHQ/s72-c/6_1.jpg)
MFANYABIASHARA RUGEMALIRA AIAMBIA MAHAKAMA AMEMUANDIKIA BARUA GAVANA BOT ILI KUORODHESHA MAJINA YA WALIOPOKEA FEDHA ZA ESCRO
![](https://1.bp.blogspot.com/-bIjGfIPeqx0/XkVu-777hJI/AAAAAAALdSE/hfu_70dOXcMKc44tzv5liOKHNib62QRmACLcBGAsYHQ/s320/6_1.jpg)
MFANYABIASHARA James Rugemalira ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa amemuandikia barua Gavana wa Benki Kuu ya Tanzani(BoT), akimuomba amuorodheshee majina ya watu wote waliopokea fedha kutoka kwenye akaunti ya Tegeta Escrow ili ajisafishe kwani yeye hakupokea hata senti moja.
Hata hivyo Gavana alimjibu atatoa orodha hiyo pale atakapopata amri halali ya Mahakama ya kumtaka kufanya hivyo. Pia Rugemalira amedai ameandika notisi kwa taasisi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NIEdaUaNA-k/XvTcwRkkY-I/AAAAAAALvfQ/dtXZqQxDUwALIWw4qCZJlM9bVUi-52degCLcBGAsYHQ/s72-c/932d26b0-e06a-4d21-87c2-9e1973da8bec.jpg)
DC ayataka makampuni mafuta na gesi kuimarisha mifumo ya usalama na afya kazini
![](https://1.bp.blogspot.com/-NIEdaUaNA-k/XvTcwRkkY-I/AAAAAAALvfQ/dtXZqQxDUwALIWw4qCZJlM9bVUi-52degCLcBGAsYHQ/s640/932d26b0-e06a-4d21-87c2-9e1973da8bec.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2b1e6908-7b34-4c9f-a590-95a81e9806aa.jpg)
Kaimu Mtendaji Mkuu wa OSHA Bi Khadija Mwenda akiongea kwenye Kikao na wadau wa mafuta na gesi, kwenye kikao cha Kujadiliana masuala ya utekelezaji wa masula ya usalama na Afya kwenye sekta hiyo, kilichofanyika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aRzvlUZRZOhWdlnn-BLPKdZc3clrKpNrhbhbU6iJUWiq43Fl4*qiMa-y8GT-eG8ieBzgTu7Z2tWdeqC2uGkmE3d/TIAno1.jpg?width=650)
MWIGULU AYATAKA MABARAZA YA WAFANYAKAZI WA TAASISI ZA ELIMU YA JUU KUFANYA KAZI KWA WELEDI