RAIS MAGUFULI: VIONGOZI WALIOCHUKUA FEDHA ZA TASAF KINYUME NA MALENGO WAZIREJESHE HARAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-R6juBeRkVkM/XkqEzoQjvhI/AAAAAAALdug/WlgVEZdBd6MB4GbKB17NXBcm-zeT20OvQCLcBGAsYHQ/s72-c/86970582_2658308160933509_7126830295872962560_n.jpg)
RAIS Dkt. John Magufuli amewataka Viongozi wote wa Serikali waliochukua fedha za mpango wa kunusuru kaya maskini nchini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) na kuzitumia isivyo sahihi kuzirejesha mara moja kwani serikali haipo tayari kuona fedha hizo zikitumika kinyume na malengo yaliyowekwa.
Akizngumza katika hafla ya uzinduzi wa Kipindi cha Pili cha Awamu ya Tatu ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) leo Jumatatu (Februari 17, 2020) Jijini Dar es...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-E35COP3PfC8/Xkqtg4xlQAI/AAAAAAALdyA/pzSLpFCjW-w-8yy4QzRRQBgPqZpeBqA6ACLcBGAsYHQ/s72-c/6.jpg)
RAIS MAGUFULI 'AMGEUZIA KIBAO'RC MAKONDA, AMTAKA ARUDISHE FEDHA ZA TASAF HARAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-E35COP3PfC8/Xkqtg4xlQAI/AAAAAAALdyA/pzSLpFCjW-w-8yy4QzRRQBgPqZpeBqA6ACLcBGAsYHQ/s400/6.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
RAIS Dk.John Magufuli amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kurudisha fedha za Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF) huku akifafanua huenda kuwa Makonda ni kati ya wanakaya ambao si masikini lakini wamepata fedha hizo.
Ametoa kauli hiyo leo Februari 17 mwaka 2020 jijini Dar es Salaam wakati akizindua awamu ya tatu ya TASAF ikiwa ni mkakati wa mpango wa kunusuru kaya masikini kupitia...
5 years ago
CCM BlogRAIS MAGUFULI ATAKA MAKONDA ARUDISHE FEDHA ZA TASAF
Rais Magufuli ameyasema hayo hii leo tarehe 17, Febuari, 2020 wakati akizindua kipindi cha pili cha awamu ya tatu ya mpango wa Maendelo wa kunusuru Kaya masikini wa TASAF. Hafla imefanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rGEMXD7NWqI/XkqbpusF9yI/AAAAAAALdvk/Mgd4NOeY6GEutgHarwHyfNmY7kDAzQsvACLcBGAsYHQ/s72-c/c71793d9-4f31-4596-b823-50f2ed7faf20.jpg)
RAIS JOHN MAGUFULI ABAINISHA KAYA HEWA 73,5621 ZILIVYOTAFUNA YA FEDHA ZA TASAF , ATOA ONYO KALI
*Ataja Wilaya zilizoongoza kwa kuwa na kaya hewa, pia zilizofanikiwa kudhibiti
*Azindua awamu ya tatu ya TASAF, ataja watakaonufaika wamo wazee, walemavu
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu.
RAIS Dk.John Magufuli amesema pamoja na mafanikio makubwa ambayo yamepatikana nchini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF) bado kumekuwepo na changamoto nyingi ikiwemo ya kubainika kwa fedha za mfuko huo ambazo zilikuwa zinalipa kaya hewa 73,5621 huku akitoa onyo kwa kali kwa watakaobainika kufuja...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-mykYb_A5mMI/Xr6HuaBDzvI/AAAAAAALqVc/wrTLFOVC4WA5wo0dYyDyoafcK0VaaoD7wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200326_123154-730x375.jpg)
TAKUKURU YAWAAMURU VIONGOZI WA TFF KUREJESHA FEDHA ALIZOZITOA RAIS MAGUFULI KUSAIDIA MAANDALIZI MICHUANO YA VIJANA AFCON
Yassir Simba, Michuzi Tv
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU imewataka maofisa wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini TFG kuzirejesha fedha walizochukua kabla hatia nyingine hazijafuata.
Hatua hiyo imekuja baada ya TAKUKURU kudai Shirikisho limekuwa na matumizi mabaya ya fedha ikiwemo fedha zilizotolewa na Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya AFCON ya Vijana chini ya Miaka 17 yaliyofanyika mwaka jana hapa nchini.
Akizungumza na vyombo vya...
10 years ago
Mwananchi29 Nov
‘Waliochukua fedha za Escrow wachukuliwe hatua’
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Mnyika ayataka majina waliochukua fedha Stanbic
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vGqnhEYFc7w/XsV11cHqFkI/AAAAAAALrBY/vb1dsdvG9iQCTS9EO-b0W7OXJruuqmWLwCLcBGAsYHQ/s72-c/9AAA-768x660.jpg)
Rais Magufuli na Rais Kenyatta waagiza viongozi kukutana na kutatua mgogoro wa malori mpakani
![](https://1.bp.blogspot.com/-vGqnhEYFc7w/XsV11cHqFkI/AAAAAAALrBY/vb1dsdvG9iQCTS9EO-b0W7OXJruuqmWLwCLcBGAsYHQ/s640/9AAA-768x660.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cOsJN32WjWQ/XkWCMLTIW7I/AAAAAAALdTw/eHlF1leSStkY5cYhOHSKe75oolccjdBMwCLcBGAsYHQ/s72-c/7b7b2725-e07b-4e68-911a-4824982ce4e8.jpg)
RAIS MAGUFULI KUZINDUA KIPINDI CHA PILI CHA AWAMU YA TATU YA TASAF
![](https://1.bp.blogspot.com/-cOsJN32WjWQ/XkWCMLTIW7I/AAAAAAALdTw/eHlF1leSStkY5cYhOHSKe75oolccjdBMwCLcBGAsYHQ/s640/7b7b2725-e07b-4e68-911a-4824982ce4e8.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe. George Mkuchika (Mb) akisisitiza jambo kwa Waandishi wa Habari leo alipokuwa akizungumza nao kuhusu uzinduzi wa Kipindi cha Pili cha Awamu ya Tatu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) utakaofanyika siku ya Jumatatu tarehe 17Februari, 2020 kwenye...
9 years ago
CCM Blog07 Nov
RAIS DK. MAGUFULI ATINGA GHAFLA WIZARA YA FEDHA LEO
![mg1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/mg1.jpg)
![mg2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/mg2.jpg)
![mg3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/mg3.jpg)