Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAIS JOHN MAGUFULI ABAINISHA KAYA HEWA 73,5621 ZILIVYOTAFUNA YA FEDHA ZA TASAF , ATOA ONYO KALI


*Ataja  Wilaya  zilizoongoza kwa kuwa na kaya hewa, pia zilizofanikiwa kudhibiti 
*Azindua awamu ya tatu ya TASAF, ataja watakaonufaika wamo wazee, walemavu
 Na Said Mwishehe,Michuzi Globu.
RAIS Dk.John Magufuli amesema pamoja na mafanikio makubwa ambayo yamepatikana nchini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF) bado kumekuwepo na changamoto nyingi ikiwemo ya kubainika kwa fedha za mfuko huo ambazo zilikuwa zinalipa kaya hewa 73,5621 huku akitoa onyo kwa kali kwa watakaobainika kufuja...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI ATAKA MAKONDA ARUDISHE FEDHA ZA TASAF

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuzirudisha fedha za TASAF ambazo alizitumia vibaya kwa safari ya kwenda Dodoma ili hali sio Masikini.
Rais Magufuli ameyasema hayo hii leo tarehe 17, Febuari, 2020 wakati akizindua kipindi cha pili cha awamu ya tatu ya mpango wa Maendelo wa kunusuru Kaya masikini wa TASAF. Hafla imefanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere...

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama atoa onyo kali kwa Urussi

Rais wa Marekani ameonya Urussi kusitisha mpango wake wa kutaka kutwaa eneo la Crimea nchini Ukraine lasivyo iwekewe vikwazo

 

9 years ago

Mtanzania

Mwakifwamba atoa onyo kali kwa wasanii

mwakiNA GEORGE KAYALA
RAIS wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF), Simon Mwakifwamba, amewaonya wasanii wa filamu na wale wanaounga mkono Shirikisho hilo kutogombana na amewataka waungane kwa ajili ya kufanya kazi.

Akizungumza na MTANZANIA, Mwakifwamba alisema kuwa kwa muda mrefu kumekuwa na hali ya vuta nikuvute baina ya makundi hayo ya wasanii ugomvi uliochangia kuirudisha nyuma tasnia hiyo

“Tunashukuru ugomvi umeisha, sioni sababu ya wasanii kurudia hiyo tabia ya kutupiana vijembe kwani...

 

9 years ago

Mwananchi

Abramovich atoa onyo kali kwa nyota Chelsea

Siku mbili baada ya kutimuliwa kwa kocha Jose Mourinho kutoka Chelsea, mmiliki wa klabu hiyo, Roman Abramovich amewageukia wachezaji wa kikosi cha kwanza na kuwataka wabadilike.

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama atoa onyo kali kwa Afrika Kusini

Rais wa Marekani Barack Obama ameipa Afrika ya Kusini siku 60 kuondoa vikwazo katika bidhaa za kilimo kutoka Marekani la sivyo ataiondolea msamaha wa kodi wa bidhaa.

 

11 years ago

Habarileo

TASAF yaanza kutoa fedha kwa kaya masikini

MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF ) kwa upande wa Zanzibar tayari umetumia jumla ya Sh milioni 77.758 kwa ajili ya kuzihudumia kaya zenye watu masikini na kuendesha maisha yao na kujikwamua na umasikini.

 

5 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI: VIONGOZI WALIOCHUKUA FEDHA ZA TASAF KINYUME NA MALENGO WAZIREJESHE HARAKA


RAIS Dkt. John Magufuli amewataka Viongozi wote wa Serikali waliochukua fedha za mpango wa kunusuru kaya maskini nchini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) na kuzitumia isivyo sahihi kuzirejesha mara moja kwani serikali haipo tayari kuona fedha hizo zikitumika kinyume na malengo yaliyowekwa.
Akizngumza katika hafla ya uzinduzi wa Kipindi cha Pili cha Awamu ya Tatu ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) leo Jumatatu (Februari 17, 2020) Jijini Dar es...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI 'AMGEUZIA KIBAO'RC MAKONDA, AMTAKA ARUDISHE FEDHA ZA TASAF HARAKA

*Ni baada ya Makonda kudai mzee Mkapa alimpa fedha za TASAF
 Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
RAIS Dk.John Magufuli amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kurudisha fedha za Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF) huku akifafanua huenda kuwa Makonda ni kati ya wanakaya ambao si masikini lakini wamepata fedha hizo.
Ametoa kauli hiyo leo Februari 17 mwaka 2020 jijini Dar es Salaam wakati akizindua awamu ya tatu ya TASAF ikiwa ni mkakati wa mpango wa kunusuru kaya masikini kupitia...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA PONGEZI KWA RAIS MTEULE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANANIA,JOHN POMBE MAGUFULI

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARISalamu za pongezi kwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli zimeanza kumiminika nchini, za kwanza zikiwa zimetumwa na Rais  wa Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Saharawi Mheshimiwa Mohammed Abdelaziz.
     Katika salamu zake kwa Rais Mteule Magufuli, Rais wa Rwanda Mheshimiwa Kagame amesema: “Kufuatia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani