TASAF yaanza kutoa fedha kwa kaya masikini
MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF ) kwa upande wa Zanzibar tayari umetumia jumla ya Sh milioni 77.758 kwa ajili ya kuzihudumia kaya zenye watu masikini na kuendesha maisha yao na kujikwamua na umasikini.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziDC ZAINABU KAWAWA AWAPA SOMO TASAF KUSIMAMIA FEDHA ZINAZOTOLEWA KWA KAYA MASIKINI
9 years ago
Habarileo29 Nov
TASAF yatoa mil 249/- kwa kaya masikini
SERIKALI kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) , imetoa Sh milioni 249 .02 kwa ajili ya kaya zipatazo 7,055 zilizopo wilya ya Gairo, mkoani Morogoro, ikiwa ni utekelezaji wa mpango wa kunusuru kaya masikini nchini.
11 years ago
MichuziTASAF YATOA MAFUNZO KWA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASIKINI HUKO UNGUJA
11 years ago
Dewji Blog06 Aug
TASAF kunususru kaya masikini
Na Mwandishi wetu
Mpango wa kunusuru kaya maskini wilayani Manyoni, Mkoani Singida, umeanndikisha kaya 8,113 kati ya kaya 8,404 zilizotambuliwa na mpango huo katika kipindi cha kuanzia Aprili hadi Julai,mwaka huu.
Kaimu Mratibu wa TASAF Wilaya ya Manyoni, Mkoani Singida, Bwana Herilabert Sagali alisema mpango huo ulianzishwa kwa malengo mawili ambayo ni pamoja na kutambua kaya maskini na kuandikisha kaya maskini.
Kwa mujibu wa mratibu huyo malengo ni kujenga uwezo pamoja na kuwezesha kaya...
9 years ago
MichuziTasaf Manyara yasaidia kaya masikini
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Tasaf kuzinufaisha zaidi kaya masikini
10 years ago
Habarileo03 Feb
TASAF yatakiwa kufikia kaya masikini Pemba
Ofisa Mdhamini katika ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Issa Juma Ali alisema upembezi yakinifu uliofanywa katika mpango wa kunusuru kaya masikini umebaini zaidi ya kaya 15 zinahitaji kufikiwa na kuingizwa katika Mpango wa Mradi wa Tasaf, Pemba.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kgAoAoz_QKo/VSvsopxdHBI/AAAAAAAC3Gs/GkN_ODgQPfE/s72-c/New%2BPicture.png)
KAYA MASIKINI ZATAMBULIWA MUFINDI KUPITIA MRADI WA TASAF
![](http://2.bp.blogspot.com/-kgAoAoz_QKo/VSvsopxdHBI/AAAAAAAC3Gs/GkN_ODgQPfE/s1600/New%2BPicture.png)
Taarifa ya Ofisi ya habari na Mawasiliano ya Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi kwa vyombo vya habari, imetanabaisha kuwa, wawezeshaji wapatao 72 walijengewa uwezo wa kubaini vigezo...
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
TASAF yatumia bilioni 4.2 kuzinusuru kaya masikini Singida
Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Singida, Aziza Mumba, akizungumza wakati akifungua semina ya siku moja iliyoitishwa na ofisi ya Mtaribu wa TASAF mkoa, kwa ajili ya kuwajengea uwezo wadau wa mfuko huo ili waweze kufahamu vema.
Mratibu wa mfuko wa maendeleo ya jamii (TASAF) mkoa wa Singida,Patrick Kasango akitoa ufafanuzi juu ya misaada ya fedha ya zaidi ya shilingi 4.2 bilioni zilizotolewa kwa kaya maskini 42,218, ili kuzinusuru ziweze kupata lishe bora, huduma za afya na elimu.
Baadhi ya...