Mnyika aishukia Serikali utoroshaji fedha nje ya nchi
>Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imeilipua Serikali kwa kushindwa kudhibiti utoroshwaji mkubwa wa fedha kwenda nje.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1SeEsbZpMHc/VGvHa-5SKQI/AAAAAAAGyIc/T7wUPb340v4/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Serikali kudhibiti utoroshaji wa madini nje ya nchi
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Serikali idhibiti utoroshaji wanyama kwenda nje
9 years ago
Dewji Blog21 Aug
Huduma ya Tigopesa na WorldRemit wamerahisisha uhamishaji wa fedha kimataifa kwa Watanzania wanaoishi nje ya nchi
Huduma ya kifedha kwa kutumia njia ya simu ya mkononi ya Tigo ijulikayo kama Tigo Pesa inashirikiana na kampuni ya Worldremit ya Uingereza inayofanya huduma za kuhamisha fedha kwa njia ya mtandao ili kuwawezesha watanzania waishio nje ya nchi kutuma fedha moja kwa moja kuja kwa ndugu, jamaa na marafiki waishio Tanzania kwa kupitia simu zao za smartphone, tablets na tarakilishi.
Akitangaza wakati wa uzinduzi huo leo jijini Dar es Salaam, Mkuu wa huduma ya kifedha wa simu za mkononi za Tigo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8DWJmklRvYk/VGtanzEx3QI/AAAAAAAGyD8/7tkeuMdE7hw/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Serikali kudhibiti utoroshwaji wa madini nje ya nchi
Kamishna wa Madini nchini,Eng Paul Massanja amesema leo wakati wa maonesho ya madini ya Vito yanayofanyika jijini hapa ambayo yanahudhuriwa na washiriki kutoka mataifa mbalimbali.
Amesema kwa takwimu za mwaka 2013,Tanzania ilipata dola za marekani 38 milioni wakati nchi ya Kenya ilijipatia kiasi cha dola 100 milioni na India ilijikusanyia kitita cha dola 300...
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Serikali kuwabana madaktari inaowasomesha nje ya nchi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_x81dJ2AS_Q/XmegHoK-jnI/AAAAAAALidA/GeIEGKWcij4v432f4NJADGMpLrn8dGe6gCLcBGAsYHQ/s72-c/1-25.jpg)
SERIKALI ITAENDELEA KUTOA KIPAUMBELE KUTAFUTA RASILIMALI FEDHA ZA NDANI NA NJE
![](https://1.bp.blogspot.com/-_x81dJ2AS_Q/XmegHoK-jnI/AAAAAAALidA/GeIEGKWcij4v432f4NJADGMpLrn8dGe6gCLcBGAsYHQ/s640/1-25.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiwasilisha taarifa ya Ofisi hiyo kuhusu kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyotengewa fedha kwa mwaka wa fedha 2019/2020 mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira jijini leo Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-26.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mhe. Sadiq Murad akiongoza kikao cha kupokea na kujadili taarifa ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)...
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Lembeli aishukia serikali
SERIKALI imetakiwa kutoa maelezo ya kina kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira juu ya kubadilishwa kinyemela mipaka ya Hifadhi ya Arusha (ANAPA), hatua iliyochangia wananchi...
5 years ago
MichuziWABUNGE WAUNGA MKONO ZUIO LA SERIKALI UAGIZAJI VIFAA VYA UMEME NJE YA NCHI
Veronica Simba – Dar es Salaam
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imesema inaendelea kuunga mkono zuio la serikali kwa wakandarasi wa miradi mbalimbali ya umeme nchini kuagiza vifaa husika nje ya nchi.Akizungumza jijini Dar es Salaam, Machi 14 mwaka huu, baada ya Kamati hiyo kufanya ziara katika viwanda vya Europe Inc. Industries Ltd (Tropical) na Kilimanjaro Cables (T) Ltd (Africab), vinavyozalisha nyaya za umeme na mashine umba (transfoma), Mwenyekiti wa Kamati husika, Dunstan...
9 years ago
MichuziSERIKALI YATOA UFAFANUZI JUU YA UPATIKANAJI WA VIBALI VYA KUSAFIRISHA MAZAO NJE YA NCHI
Akitoa ufafanuzi huo, Mwanasheria wa Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika Bwana George Mandepo (Pichani) alisema kuwa vibali vya kusafirisha mazao ya kilimo nje ya nchi, hutolewa bila gharama na kuongeza kuwa biashara hiyo inaweza kufanywa na mtu yeyote, kinachotakiwa ni mhusika kuzingatia sheria na...